Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Mwenzetu alilipia ukumbi wa kura za Maoni akashinda

Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Mwenzetu alilipia ukumbi wa kura za Maoni akashinda

Aliyeshiriki kura za maoni ubunge Arusha bwana Victor Njau na kutupiliwa mbali kisha kufichua mikakati ya Rushwa iliyofanyika kwa kiwango cha kutisha yamemkuta.

Akiwa hospitalini Mount Meru aliko lazwa kwa kipigo kikali na kutupwa ameeleza yaliyomkuta.

Kweli CCM ni chama hatari na kuna uwezekano hii rushwa wakatoana roho, ndio maana kwa zaidi ya wiki sasa Kamati kuu inashindwa kukutana na kutoa majina ya wagonbea ubunge kinyume na kalenda yao na ya Tume.

Hakika JPM ameharibu sana chama alichokabidhiwa na JK. Kweli alikipewa kimechafuka lakini yeye kakiozesha na kunuka uvundo
Screenshot_20200814-185644.jpg
 
Mugamboo wanaruka na kukanyagana......hahahah...INA maana alikuwa hajui hiki ni chama cha majambawazi?pole yake......

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Wanafuata nyayo za mwenyekiti wao, ambaye ametumia rushwa ya tril. 2.5 kuhonga watu wamkubali
 
Mrisho Gambo analalamikiwa na wengi sana.miaka yote ya uongozi wake kama Mkuu wa Mkoa Arusha aliutumia kujijenga kisiasa huku akiwadanganya Wakuu wake eti anaibomoa CDM.

Matokeo yake ndio hayo hakuna wa kumlaumu zaidi ya aliyemteua.RPC,Mkuu wa TAKUKURU waliwekwa mfuko badala ya kupambana na rushwa wakawa walinda mtoa rushwa.

Wajumbe walionunuliwa walilazimishwa kupiga picha karatasi ya kura kama ishara ya ushahidi kwamba walitimiza ahadi yao kwa mtoa rushwa.

Kamati kuu ya CCM inawajibu mkubwa wa kuwaondoa wale wote waliobainika kutoa rushwa ili kujenga heshima ya chama

Wasalamu

Ngongo

Safarini Masasi,kwasasa nimefika Rufiji.
Mtoa rushwa alikuwa anatumwa na mwenyekiti wetu kazi ya kuibomoa chadema, Kamati kuu ya chama tunashindwa kufanya maamuzi
 
Back
Top Bottom