Mrisho Gambo analalamikiwa na wengi sana.miaka yote ya uongozi wake kama Mkuu wa Mkoa Arusha aliutumia kujijenga kisiasa huku akiwadanganya Wakuu wake eti anaibomoa CDM.
Matokeo yake ndio hayo hakuna wa kumlaumu zaidi ya aliyemteua.RPC,Mkuu wa TAKUKURU waliwekwa mfuko badala ya kupambana na rushwa wakawa walinda mtoa rushwa.
Wajumbe walionunuliwa walilazimishwa kupiga picha karatasi ya kura kama ishara ya ushahidi kwamba walitimiza ahadi yao kwa mtoa rushwa.
Kamati kuu ya CCM inawajibu mkubwa wa kuwaondoa wale wote waliobainika kutoa rushwa ili kujenga heshima ya chama
Wasalamu
Ngongo
Safarini Masasi,kwasasa nimefika Rufiji.