mwakyindi
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,599
- 2,192
Huyu bibi tulia hela zake 2mekula na kura hatumpi ng'ooWanawajenga kuipenda CCM tangy utotoni. Hata wakiwa wakubwa huwaambii kitu juu ya CCM. Magwanda endeleeni kushangaa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bibi tulia hela zake 2mekula na kura hatumpi ng'ooWanawajenga kuipenda CCM tangy utotoni. Hata wakiwa wakubwa huwaambii kitu juu ya CCM. Magwanda endeleeni kushangaa tu
Mafisadi ya CCM yanachezea tu pesa za watzWamewavalisha mpaka jenzi
Hiki chuo nacho dah !Huyo ni mtaalamu wa sheria kutoka chuo cha yudizimu
Lakini ukiwa ni binadamu mtu mzima mwenye akili timamu na kwa kuzingatia makubaliano ya UN ya haki za mtoto, utawaacha watoto wawe watoto, wa-enjoy utoto wao, michezo yao, shule zao na sio kuwalisha pumba za kisiasa kabla ya wakati wao. Ma-CCM m wakatili hata kwa watoto wa wenzenu.Wanawajenga kuipenda CCM tangy utotoni. Hata wakiwa wakubwa huwaambii kitu juu ya CCM. Magwanda endeleeni kushangaa tu
Wanawajenga kuipenda CCM tangy utotoni. Hata wakiwa wakubwa huwaambii kitu juu ya CCM. Magwanda endeleeni kushangaa tu
Kwani hakuwa na wasanii?
ungekuwa na mtoto ungeelewa?Wanawajenga kuipenda CCM tangy utotoni. Hata wakiwa wakubwa huwaambii kitu juu ya CCM. Magwanda endeleeni kushangaa tu
Zile 2.4 T ndio ziko zinatumika ndio kwanza wametumia 0.5TAcha choyo bhana wacha wapigwe pesa
Inaonyesha dhahiri sasa kuwa kifo chao CCM kimekaribia mno............Katika hali ya kushangaza, wanasiasa wa Chama cha Mapinduzi wameanza kufanya siasa za ajabu sana kwenye uchaguzi mkuu huu. Wameanza kutumia watoto wadogo kisiasa.
Watoto ambao walihitaji kulindwa na serikali dhidi ya kushiriki matendo wasiyokuwa na ufahamu nayo kama vile siasa za kampeni na manipuations za kisiasa, inashangaza kuona kuwa chama cha mapinduzi kimekuwa kikitumia watoto kwenye mikutano yake.
Tumeona, Mikutano ya Mgombea uraisi wa CCM ndugu Magufuli ikisheheni watoto wadogo.
Na wananchi wanalalamika badala ya watoto wao kwenda shule kusoma, wanaambiwa wao na walimu wao waahudhurie mikutano ya CCM.
Inashangaza zaidi, Majuzi hapa tumefiwa na rais mstaafu hayati Benjamin Mkapa hakuna agizo lolote kutoka serikalini la kutangazia watoto wasiende shule hata wale wa Dar ili wakamuage, lakini shule kwenye mikutano ya mgombea wa CCM huko Mwanza tunaelezwa kuwa zimesitisha masomo na kuwataka wanafunzi na walimu waende kwenye kampeni za Magufuli. Hii ni ajabu sana.
Hapa Chini ni video na picha za watoto kwenye mikutano ya CCM
View attachment 1562251
View attachment 1562258