Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge wa Mbeya Mjini, Tulia Ackson afanya kampeni na watoto wadogo

Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge wa Mbeya Mjini, Tulia Ackson afanya kampeni na watoto wadogo

Huyo n Naibu speaker tuu,hata mjikojoleee bungeni anarudi Sasa sijui mnahangaika nini!kwani awamu iliyopita mlimchagua?
 
Wanachokifanya CCM Si kupuuzwa na vyama vyengine, Vizazi vinaingia katika siasa angali vichanga.

Mapenzi yanaanza utotoni ndio maana mama akimuacha mtoto analia, wanachora ramani ya mapenzi kwao kwani wanaamini kuna tabaka linaondoka.

Kuwatoa watoto shule sikubaliani nalo.
 
Wanawajenga kuipenda CCM tangy utotoni. Hata wakiwa wakubwa huwaambii kitu juu ya CCM. Magwanda endeleeni kushangaa tu
Ndiyo maana tukiwaambia siasa hawaijui wanaona kama tunawaonea. CCM inawekeza kwa ajili ya Leo, kesho na keshokutwa.

Chadema inawekeza kwa ajili ya leo. Hata Sera yao ya maendeleo ya watu ni uwekezaji Wa leo bila kujali kesho na keshokutwa itakuwaje.

Watoto wanaonekana leo kwenye mikutano ndiyo wapiga kura Wa kesho kutwa
 
CCM uwa inawajenga watoto kuanzia chipkizi.chipkizi ni watoto wanao elekea ujana kwa vijana mliozaliwa miaka ya karibuni inawezekana hamfahamu ilo. Watoto wanashonewa sare za CCM tangu wakiwa bado wabichi na kufundishwa itikadi za CCM. Usi ione CCM ni kubwa katika Afrika, msingi wake umeanzia chini sana. Ili upate uhakika waulize baba na mama yako kuhusu chipkizi wakupe ufafanuzi kabla hauja andika usilo lijua.
 
Maisha ya watoto wetu yapo hatarini.
Bahati mbaya wahusika wapo tayari kutumia lugha yoyote kutetea udhalimu huu. Naamini ipo siku jamii italitambua hili hata kama si kesho, lakini hukumu mioyoni itabaki.

Picha za watoto wetu zinahuzunisha, lakini hakuna namna.

Picha zao zinaleta maumivu kuliko hata matusi/ na kejeli za wanasiasa wa pande zote wanapokuwa majukwaani.
Tutumie mamlaka kwa namna inayompendeza Mungu
 
Katika hali ya kushangaza, wanasiasa wa Chama cha Mapinduzi wameanza kufanya siasa za ajabu sana kwenye uchaguzi mkuu huu. Wameanza kutumia watoto wadogo kisiasa.

Watoto ambao walihitaji kulindwa na serikali dhidi ya kushiriki matendo wasiyokuwa na ufahamu nayo kama vile siasa za kampeni na manipuations za kisiasa, inashangaza kuona kuwa chama cha mapinduzi kimekuwa kikitumia watoto kwenye mikutano yake.

Tumeona, Mikutano ya Mgombea uraisi wa CCM ndugu Magufuli ikisheheni watoto wadogo.

Na wananchi wanalalamika badala ya watoto wao kwenda shule kusoma, wanaambiwa wao na walimu wao waahudhurie mikutano ya CCM.

Inashangaza zaidi, Majuzi hapa tumefiwa na rais mstaafu hayati Benjamin Mkapa hakuna agizo lolote kutoka serikalini la kutangazia watoto wasiende shule hata wale wa Dar ili wakamuage, lakini shule kwenye mikutano ya mgombea wa CCM huko Mwanza tunaelezwa kuwa zimesitisha masomo na kuwataka wanafunzi na walimu waende kwenye kampeni za Magufuli. Hii ni ajabu sana.

Hapa Chini ni video na picha za watoto kwenye mikutano ya CCM


View attachment 1562251

View attachment 1562258
Kwa wale Wahenga wenzangu, mnakumbuka Korea Kaskazini ilikuwa inaongozwa na Kim Il Sung. Watoto wadogo walikuwa wakiambiwa walie na kumuomba mungu wao ili awaletee biskuti na pipi. Wale watoto walifanya vile na hawakuvipata vile walivyoomba. Hapo basi waliambiwa wamuombe Kiongozi Mkuu Kim Il Sung ili wapatiwe walichohitaji. Na mara moja mabox ya biskuti na pipi yakamwagwa mbele ya watoto hao. Watoto hao walikuwa na wakawa watu wazima. Je, utashangaa kwamba alipofariki huyo Kim Il Sung hao watu wazima walilia kwa uchungu na kutoa machozi na kamasi mbele ya jeneza lake? Ogopa sana "indoctrination" kwa watoto wadogo.
 
Katika hali ya kushangaza, wanasiasa wa Chama cha Mapinduzi wameanza kufanya siasa za ajabu sana kwenye uchaguzi mkuu huu. Wameanza kutumia watoto wadogo kisiasa.

Watoto ambao walihitaji kulindwa na serikali dhidi ya kushiriki matendo wasiyokuwa na ufahamu nayo kama vile siasa za kampeni na manipuations za kisiasa, inashangaza kuona kuwa chama cha mapinduzi kimekuwa kikitumia watoto kwenye mikutano yake.

Tumeona, Mikutano ya Mgombea uraisi wa CCM ndugu Magufuli ikisheheni watoto wadogo.

Na wananchi wanalalamika badala ya watoto wao kwenda shule kusoma, wanaambiwa wao na walimu wao waahudhurie mikutano ya CCM.

Inashangaza zaidi, Majuzi hapa tumefiwa na rais mstaafu hayati Benjamin Mkapa hakuna agizo lolote kutoka serikalini la kutangazia watoto wasiende shule hata wale wa Dar ili wakamuage, lakini shule kwenye mikutano ya mgombea wa CCM huko Mwanza tunaelezwa kuwa zimesitisha masomo na kuwataka wanafunzi na walimu waende kwenye kampeni za Magufuli. Hii ni ajabu sana.

Hapa Chini ni video na picha za watoto kwenye mikutano ya CCM


View attachment 1562251

View attachment 1562258
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
waac
Katika hali ya kushangaza, wanasiasa wa Chama cha Mapinduzi wameanza kufanya siasa za ajabu sana kwenye uchaguzi mkuu huu. Wameanza kutumia watoto wadogo kisiasa.

Watoto ambao walihitaji kulindwa na serikali dhidi ya kushiriki matendo wasiyokuwa na ufahamu nayo kama vile siasa za kampeni na manipuations za kisiasa, inashangaza kuona kuwa chama cha mapinduzi kimekuwa kikitumia watoto kwenye mikutano yake.

Tumeona, Mikutano ya Mgombea uraisi wa CCM ndugu Magufuli ikisheheni watoto wadogo.

Na wananchi wanalalamika badala ya watoto wao kwenda shule kusoma, wanaambiwa wao na walimu wao waahudhurie mikutano ya CCM.

Inashangaza zaidi, Majuzi hapa tumefiwa na rais mstaafu hayati Benjamin Mkapa hakuna agizo lolote kutoka serikalini la kutangazia watoto wasiende shule hata wale wa Dar ili wakamuage, lakini shule kwenye mikutano ya mgombea wa CCM huko Mwanza tunaelezwa kuwa zimesitisha masomo na kuwataka wanafunzi na walimu waende kwenye kampeni za Magufuli. Hii ni ajabu sana.

Hapa Chini ni video na picha za watoto kwenye mikutano ya CCM


View attachment 1562251
waacheni watoto wadogo waje kwangu...
 
Katika hali ya kushangaza, wanasiasa wa Chama cha Mapinduzi wameanza kufanya siasa za ajabu sana kwenye uchaguzi mkuu huu. Wameanza kutumia watoto wadogo kisiasa.

Watoto ambao walihitaji kulindwa na serikali dhidi ya kushiriki matendo wasiyokuwa na ufahamu nayo kama vile siasa za kampeni na manipuations za kisiasa, inashangaza kuona kuwa chama cha mapinduzi kimekuwa kikitumia watoto kwenye mikutano yake.

Tumeona, Mikutano ya Mgombea uraisi wa CCM ndugu Magufuli ikisheheni watoto wadogo.

Na wananchi wanalalamika badala ya watoto wao kwenda shule kusoma, wanaambiwa wao na walimu wao waahudhurie mikutano ya CCM.

Inashangaza zaidi, Majuzi hapa tumefiwa na rais mstaafu hayati Benjamin Mkapa hakuna agizo lolote kutoka serikalini la kutangazia watoto wasiende shule hata wale wa Dar ili wakamuage, lakini shule kwenye mikutano ya mgombea wa CCM huko Mwanza tunaelezwa kuwa zimesitisha masomo na kuwataka wanafunzi na walimu waende kwenye kampeni za Magufuli. Hii ni ajabu sana.

Hapa Chini ni video na picha za watoto kwenye mikutano ya CCM


View attachment 1562251

View attachment 1562258
Sheria za haki za zinakataza watoto kutumikishwa iwe ni kuajiriwa, nk.:
>Kuwatoa madarasani ni kunyima watoto haki zao,
>Kuwashinisha njaa siku nzima kwenye mikutano ya kampeni ni kuwanyima haki,
>Kuwaanika juani pia ni kuwanyima haki,
>Kuwaondolea utu na malezi bora pia ni kuwanyima haki.
 
CCM kwisha habari yao dadadeq.. wasubiri kuiba kura & kuwanunua & kuwalewesha & kuwazuia mawakala wasiingie kwenye vituo hadi saa nne nne hivi wapitishe mabox yao yaliyokwisha kupigiwa kura.
 
Wanawajenga kuipenda CCM tangy utotoni. Hata wakiwa wakubwa huwaambii kitu juu ya CCM. Magwanda endeleeni kushangaa tu
I do not think your theory does hold water! Tumezaliwa na Tumekulia kwenye chama kimoja, wimbo mmoja wa Tanu/CCM, rais mmoja Nyerere and the like, lakini leo tupo upinzani!
 
Katika hali ya kushangaza, wanasiasa wa Chama cha Mapinduzi wameanza kufanya siasa za ajabu sana kwenye uchaguzi mkuu huu. Wameanza kutumia watoto wadogo kisiasa.

Watoto ambao walihitaji kulindwa na serikali dhidi ya kushiriki matendo wasiyokuwa na ufahamu nayo kama vile siasa za kampeni na manipuations za kisiasa, inashangaza kuona kuwa chama cha mapinduzi kimekuwa kikitumia watoto kwenye mikutano yake.

Tumeona, Mikutano ya Mgombea uraisi wa CCM ndugu Magufuli ikisheheni watoto wadogo.

Na wananchi wanalalamika badala ya watoto wao kwenda shule kusoma, wanaambiwa wao na walimu wao waahudhurie mikutano ya CCM.

Inashangaza zaidi, Majuzi hapa tumefiwa na rais mstaafu hayati Benjamin Mkapa hakuna agizo lolote kutoka serikalini la kutangazia watoto wasiende shule hata wale wa Dar ili wakamuage, lakini shule kwenye mikutano ya mgombea wa CCM huko Mwanza tunaelezwa kuwa zimesitisha masomo na kuwataka wanafunzi na walimu waende kwenye kampeni za Magufuli. Hii ni ajabu sana.

Hapa Chini ni video na picha za watoto kwenye mikutano ya CCM


View attachment 1562251

View attachment 1562258
Bonge la nyomi
 
Ndivyo ilivyokuwa na leo. Kwa kutazama kwa haraka, mkutano wa Magufuli leo Mwanza, 60% ya waliohudhuria walikuwa wanafunzi. Kama 20% hivi walikuwa watu waliosombwa toka wilaya za jirani. 20% ndio walikuwa wakazi wa Mwanza wati wazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Me Niko mwanza acha kusema uongo
 
Back
Top Bottom