Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge wa Mbeya Mjini, Tulia Ackson afanya kampeni na watoto wadogo

Ukisikia Simba hula majani akizidwa kwa njaa, basi ndio hiki kinachofanywa na CCM hii ya leo!!
 
Watoto ni Taifa la kesho hao wanaitwa Chipukizi.

CCM ina future nzuri.
 
Wanawajenga kuipenda CCM tangy utotoni. Hata wakiwa wakubwa huwaambii kitu juu ya CCM. Magwanda endeleeni kushangaa tu
Lakini ukiwa ni binadamu mtu mzima mwenye akili timamu na kwa kuzingatia makubaliano ya UN ya haki za mtoto, utawaacha watoto wawe watoto, wa-enjoy utoto wao, michezo yao, shule zao na sio kuwalisha pumba za kisiasa kabla ya wakati wao. Ma-CCM m wakatili hata kwa watoto wa wenzenu.
 
Yaani CCM pamoja na policcm, tumeccm, mahakamaccm, bungeccm, tissccm bado mmeongeza na watoto wa shule ccm kweli mko maji ya shingo Mpaka mkataka kuchukua na kifimbo cha baba wa taifa kwa lazima nyinyi mnatafuta laana , Kama mlivyopanga mlazimisha Bibi wa watu aje kwenye mkutano wenu wa kijani kibichi.
 
watoto wadogo kama hao wanapaswa kua shule, hao wanafanya nini kwenye mikutano ya siasa maji taka
 
Tulia angeenda Kugombea kwao huko Rungwe angepata jshindi mkubwa sana wa kishindo.

Nani amemdanganya huyu dada?

Kwa nini CCM hawapendi Amani?

Sugu ni Rais wa Mbeya.
 
Inaonyesha dhahiri sasa kuwa kifo chao CCM kimekaribia mno............

Hakika kitakuwa tarehe 28/10/2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…