The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Kwanini usiseme ni 'mnyama na mpumbavu' ?!!Huu sasa ni unyama na upumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usiseme ni 'mnyama na mpumbavu' ?!!Huu sasa ni unyama na upumbavu.
Akili zinaanza kuwarudini taratibu! Pumbavu nyie!Huu sasa ni unyama na upumbavu.
Mzee mpumbavu sana yule!sasa kama jiwe hataki ushindani si afute tu huo uchaguzi mkuu abaki kuwa mfalme?!.
Taahira Jiwe!Who is behind all this cruelity?
Apparently CCM is running the show of uncivility politics throughout the country. Now we know why the Government banned Tanzania Daima newspaper....it was part of the strategy to plan and carry out these political killings.Who is behind all this cruelity?
CCM mpya ni genge la kigaidiCCM Mpya wamekasimu shughuli za "kisiasa" kwa wahuni kutokana na wanasiasa wa CCM kuwa waoga wasio na hoja za ushawishi kuvutia wapiga kura kuwachagua kupitia sanduku la kura, CCM Mpya wanataka ushindi wa bila kupingwa wa mezani.
UvccmWho is behind all this cruelity?
Ushahidi wa mazingira unaonyesha viashiria vya CCM wapenda kuteuliwa.Who is behind all this cruelity?
Huijui siasa ndo maana unaongea upupu mkuu..Ni kwenye shitihole kantiri pekee au hata kwenye dunia ya Kwanza?
Sikumbuki kusikia ujinga kama huu nchi kama Marekani.
Huijui siasa ndo maana unaongea upupu mkuu..
Marekani imeua Marais wake wawil livelive na watu wanadaiwa wasiojulikana.
Mtu Kama JF. Kennedy na Abraham linkolin.
Siasa Ni Mchezo mchafu kote usitake kuichukulia marekan Kama MUNGU wako nakwenyewe kuna mapuuza Sana tu.
Acha kuunga mkono uhuni na ushenzi, siasa siyo chafu ila wanasiasa wahuni ndiyo wachafu.Narudia Tena siasa Ni Mchezo mchafu. Ukiamua kuingia huko Basi jua muda wote uhai wako unahitajika kwa mtu au watu Fulani.
Siasa siyo taasisi ya dini Bali Ni uwanja wa mapambano Ila zisitufanye tuumizane na kuuana Sisi kwa Sisi.
Kuna maisha nje ya siasa wakuu.