Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matukio haya sio ishara nzuri
Huijui siasa ndo maana unaongea upupu mkuu..
Marekani imeua Marais wake wawil livelive na watu wanadaiwa wasiojulikana.
Mtu Kama JF. Kennedy na Abraham linkolin.
Siasa Ni Mchezo mchafu kote usitake kuichukulia marekan Kama MUNGU wako nakwenyewe kuna mapuuza Sana tu.
Ccm ina wenywe, wenyewe ndio hao wazee wa mapanga shaaaaa“Taarifa mbaya tulizopokea muda huu ni kwamba mgombea Udiwani Kata ya Sandari kwenye Jimbo letu la Temeke amevamiwa muda huu, akapigwa mapanga na kunyang'anywa form ya Ugombea. Viongozi wa jimbo wanafuatilia.”
Hivi umetumia kichwa kunielewa nilichokiandika au umetumia makalio kuelewa. Ni Wapi umeona nimeunga mkono?Acha kuunga mkono uhuni na ushenzi, siasa siyo chafu ila wanasiasa wahuni ndiyo wachafu.
Weka bunduki chini tujibishane kwa hoja.Narudia Tena siasa Ni Mchezo mchafu. Ukiamua kuingia huko Basi jua muda wote uhai wako unahitajika kwa mtu au watu Fulani.
Siasa siyo taasisi ya dini Bali Ni uwanja wa mapambano Ila zisitufanye tuumizane na kuuana Sisi kwa Sisi.
Kuna maisha nje ya siasa wakuu.
If we know who did it, he/she will tell us who was behind.Who is behind all this cruelity?
Katika hali ya kushangaza mgombea udiwani kupitia chama cha CHADEMA amevamiwa na watu wasiojulikana na kumkatakata na mapanga na hivi sasa yupo hospitali kupata huduma ya kwanza.
Jamani kama watanzania tunaelekea wapi? Je ccm imeshindwa kuongoza nchi hii kiasi kwamba sasa inabidi itumike nguvu kuzuia watanzania?
Haya tuendelee, mwisho utafika.View attachment 1547226
Ndo hapo nashidwa kuwaelewa viongozi wa dini, hili la kuua na kujerui awalikemei ila mtu akija kulalamika kuwa hatuta kubari kuvumiria matukio haya ya kinyama utaona wanalalanika shida eti wajengewe makanisa na misikiti. Yesu alisema NYUMBA YA BABA YANGO SIYO PANGO LA WANYANG'ANYIKatika hali ya kushangaza mgombea udiwani kupitia chama cha CHADEMA amevamiwa na watu wasiojulikana na kumkatakata na mapanga na hivi sasa yupo hospitali kupata huduma ya kwanza.
Jamani kama watanzania tunaelekea wapi? Je ccm imeshindwa kuongoza nchi hii kiasi kwamba sasa inabidi itumike nguvu kuzuia watanzania?
Haya tuendelee, mwisho utafika.View attachment 1547226
Imeandikwa Chadema, wewe unauliza wa chama gani!Wa chama gani ACT au Chadema maana hawa wamekuwa wahanga kama swala na nyumbu mbugani
Huwa nasema kila siku ccm ni mashetani sana.ccm ni chama cha kishetani
Tume ndiyo inaratibu huu uhuni na huyo judge wa tume naye ni mhuni tu kama wahuni wengine wanaomzungukaNEC ingesema hata Kama umevamiwa umeporwa fomu wanaruhusu aliyeporwa kujaza upya Tena nadhani huu uhuni ungeisha