Uchaguzi 2020 Mgombea Udiwani CHADEMA Kata ya Sandari Temeke akatwakatwa mapanga na kupokonywa fomu

Uchaguzi 2020 Mgombea Udiwani CHADEMA Kata ya Sandari Temeke akatwakatwa mapanga na kupokonywa fomu

Huwa nasema kila siku ccm ni mashetani sana.

Hawana tena hoja za kupeleka kwa wananchi wanachokifanya sasa hivi ni kuhakikisha wananchi hawana chaguo jingine zaidi ya mwanaccm tu
Hawa jamaa wananishangaza sn yani.. wanaogopa uchaguzi utadhani ndege wamenunua CHADEMA😀😀
 
Back
Top Bottom