Uchaguzi 2020 Mgombea urais anatoa vitisho kwa wananchi, NEC shughulikieni hilo

Bora wapinzani ni mbuzi lakini wanafanya mambo kama binadamu kuliko nyinyi binadamu lakini mnaishi na kuwaza kama mbuzi.
Andamana sasa mbuzi wakushikishe adabu
 
Tatizo sio kumpumzisha, tatizo ni tukimpumzisha tunampa nani?
 
Think like a real Man;Hiyo haki ya kuwapangia wengine cha kufanya umeitoa wap?
Sipingani na chama chochote wala sina chama chochote

Umeshawahi kujiuliza tukishaipora nchi Ccm tunampa nani?
 
Sipingani na chama chochote wala sina chama chochote

Umeshawahi kujiuliza tukishaipora nchi Ccm tunampa nani?
Swali gani sasa hili ndugu yangu? au ndo kujaza server za Jf kwenyewe?
 
Q
Haya nayo yatapita. Mungu mkubwa miaka mitano sio mingi kiviile....
Yaani mitano tena?Tutakuwa tumefariki sote kwa mateso,alisema ataongeza zaidi maana hii mitano ya kwanza zilikuwa ni rasharasha.Tutalimia meno hakika.
 
Mwaka Huu Naona Watu Maji Watayaita Mmaa
 
Hii ni kauli ya hatari sana, anapaswa atambue kuwa yeye ni rais wa waislamu, wakristo, Hindu, wapagani, wenye vyama na wasio na vyama, waliomchagua na waliompinga nk . Na ukishachaguliwa una angalia nchi kwa ujumla wake, na yeye anatunzwa yeye na familia yake na kodi za watanzania wote , hata wale waliompinga/wanaompinga. Haiwezekani ukasema nyama ya nguruwe haramuhalafu mchuzi wake unakunywa,
Kama Bunda hawapaswi kuletewa maendeleo, basi hata kodi zinazotoka Bunda zimeharamika
 
Mbona unaandika huku ukitokwa na jasho na vishuzi vya jumlajumla kwa mbali? Si mlisema mna mbinu 7000 na mshatumia 1? Kwani shida nini hadi ayaongee kwenye kadamnasi yale ambayo huyafanya sirini?
 
Ha!aaaaaaaaaaaa Haaaaaaaaaaah Duuuuuuuu. Siasa Buana
 
Sasa kuwaambia watu ukweli ni kuwatisha?
Wewe uliyeandika hicho kichwa cha habari huna upeo wa kutosha wa kuchanganua mambo. Na hujui maana ya uhuru na haki. "Uchaguzi huu utakuwa HURU na HAKI" na Chama Cha Mapinduzi kitapita kwa kishindo.

Raisi Dr. John Pombe Magufuli ni mkweli kabisa. Kawaambia ukweli, ukweli huo utawaweka Huru. Wafanye maamuzi mazuri Wasijepata shida wakasema hawakuambiwa.
 
Hahahaaaaaahaaaa eti "Mkiamua"

Amueni sasa tuone.

Bado hamjafanya maamuzi.
Afadhali mzee Sipunda anaongea point kuliko huyo mpiga jitaa, hana cha kusema na ndio maana kawafukuza waandishi wa habari. Nadhani hakuamka na cha kuongea au alikuwa hajapiga mtungi apate idea.
 
Ikiwa mwenyewe amesema hawatishi sasa ni kama hadhari tu sasa unataka nini zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…