Elections 2015 Mgombea Urais CCM 2015: Ni Bernard Membe au January Makamba

Wote wanaotajwa kuwania urais kupitia CCM hakuna hata mmoja mwenye vigezo vya kuwa rais wa nchi,Membe hana uwezo wa kuongoza,Pinda ameshathibitisha udhaifu wake kwa kushindwa kutoa maamuzi pale apostahili kufanya hivo,kitendo chake cha kulia bungeni kiliprove his failure. Lowassa ameonesha uchu wa madaraka uliopitiliza kwa kutumia a lot of money kuusaka huo urais.Janury Makamba huyo ndo kabisaaa mana kama ni waziri na hajui kuwa yeye ni sehemu ya serikali basi akili yake ni nyembamba haijajua methali.....
 
Nikadhani unauliza ili upate jibu, kumbe unauliza ili uendelee kusikitika juu ya ukweli kwamba Membe anapanda chati miongoni mwa wagombea. Swali lina maana gani kama jibu tayari unalo? Huyo mgonjwa wenu hata tano bora hakanyagi na mnajuwa hilo. Ccm haiwezi kuchagua mgonjwa wa parkson na dementia awe kiongozi hata kama and washabiki wengi.
 
Kwasababu anachekacheka na mlopokaji pia cos alishalopoka "tutawapiga walawi nk, pia anaweza kulinda mali za viongozi waliopita kwasababu hata yeye alishachuma kwa sana huku mtwara na hotel kama 3 moja hii kubwa kuliko
 

Ushindwe na kiswaengilish chako. Unatia kichefuchefu
 

kwa akili na maono haya,kwanini usijitoe kwenye hilo kundi?
 


Duh!
Hivi kuna uwezekano CDM wakamsimamisha jamaa?
maana naona anazidi kuwa Popular kila siku!
 
Mchambuzi umejitahidi sana kuwachambua mabosi wako kwa undani na sifa zao,ila mimi sikungi mkono bse inaoneka we kama vile umetumwa wala si akili yako hasa ulivyoanza kuzungumzia kambi ya membe na january.kaka kweli nikuambie tu sasahivi wananchi hawangalii chama wanangalia uwezo wa mtu na je kama alishawahi kushika madaraka je aliwatendea nini ambacho kimekuwa na benefit at individual level up to family level,sikutegemea wewe na akili zako uanze kuangalia umri na kuwa mjumbe wa nec hivi hata wewe unaweza kuwa nazo lakini je unamudu kuongoza watanzania 45m na kuhakikisha wote wanapata huduma muhimu zote in terms of quality and quantity.
 
hahahahahahaha Dhaifu again ikulu? haiwezi tokea na haitatokea kamwe......................watanzania hawawezi kuchaguliwa rais na Mama Salma mambo yamebadilika saizi sio miaka ya 47...... Membe akawe rais wa WAMA...... by the way anataka urais gani sii tayari ni rais wa WAMA.......
 
Anayefaa hajulikani, anayejulikana hafai.
 

Nami ninakubaliana nawe 90%. Most likely Mhe. January anaweza kuwa Rais wa 5 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siasa ni Hesabu tu!
 
Nami ninakubaliana nawe 90%. Most likely Mhe. January anaweza kuwa Rais wa 5 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siasa ni Hesabu tu!

Pamoja na mahaba yenu kwa ccm tambueni watanzania hatuko tayari kutawaliwa tena na ccm 2015.Labda kama hao mnaowasema kuwa marais wawe ni kwa chama kingine na si ccm.
 
Naamini Mkuu amezingatia pia kuwa wakti huu ni zamu ya Wakristo, ila pia kumbuka na wenyewe sikuzote ni Wakatoliki tu, je safari hii tutapata nje ya katoliki?

Ila pia kumbuka kuna uwezekano ikawa ni Zamu ya ZNZ na hapo ndipo Mwinyi atakapo chomoza na kuacha watu kwenye mataa tukiduwaa.
 
Membe hafai,ana makuzi ya kipwani.ukilelewa Pwani huwi mtendaji mzuri na mwoga kutoa maamuzi magumu.Tumeona JK anavyofanya mambo kama anacheza ngoma.marehemu Kighoma Malima alipokuwa waziri,Kawambwa na viongozi wengine Wa sasa na waliowahi kuwa mawaziri na viongozi Wa ngazi mbalimbali Wa kutokea ukanda wa pwani,kutoka Tanga hadi Mtwara, wengi wao hawakuwa viongozi bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…