Mgombea Urais CCM 2015: Vita kali yatabiriwa kati ya Wasira, Lowassa na Nchimbi

Nchimbi ama Wassira akiwa raisi wa nchi hii nitatorokea Malawi..... Akili ndogo kuongoza kubwa, tutakuwa na hali mbaya zaidi ya ilivyo sasa,kile kiti si cha kufanya majaribio,tulikosea 2010 tukikosea tena 2015 tumekwishaaa!!
 

Kwa hilo inaweza ikawezekana. Ila kaka kama na wewe ni mpenda mageuzi usipende kufa moyo mapema. Amini kila kitu kinawezekana usiamini kuwa kila kitu ni kigumu. Mageuzi yanawezekana pamoja tukiwa mimi na wewe. Come on boy...!!
 

no permanent friends in politics, only permanent interest...kikwete atampiga chini lowassa sababu lowassa ni mtu wa kisasi hawezi kuwa sure na leadership yake..kama sitta aliyopigwa mweleka uspika same for lowassa...no permanent friends in politics, urafiki wa mwaka 47 wa nchimbi na lowassa...jk will give tz a suprise candidate or compromising candidate...stay tune theory ya urafiki haipo na lowassa might not be
 
Duh...kumbe hata Wassira na Nchimbi nao presidential materials?
 
Analysis ya kampaign! Mbona hao waliotajwa woote majanga tuu! We want new idea! Nchimbi ni new generation na old idea!
 
Mungu wangu, hata Nchimbi naye anaota kuwa Rais wa nchi hii? Pole sana Tanzania. Wassira by default hana uwezo wa kuongoza nchi hii ije mvua lije jua.
 
Membe ametangaza lini kwamba angegombea na ametangaza lini kwamba hata gombea? Au hii ni mbinu ya mahasimu wake kumwondoa katika kutajwatajwa? Mbona kazi wanayo hao wanaopingana naye? Mbona kuna taarifa kwamba ameshaoteshwa na sasa anapiga jalamba? Kaazi kweli kweli kuamini yupi anasema ukweli na yupi anapiga ushabiki JF
 
Mungu wangu, hata Nchimbi naye anaota kuwa Rais wa nchi hii? Pole sana Tanzania. Wassira by default hana uwezo wa kuongoza nchi hii ije mvua lije jua.

by default hana uwezo? au by default ndio de facto nominee? sijakuelewa! default huwa ni sure thing...Lolote linawezekana TZ
 
Hatma ya Urais wa nchi hii ipo mikononi mwa Mungu na kwenye kura za Watanzania na wala si mieleka na hivi vikumbo wanavyopigana sasa
 
by default hana uwezo? au by default ndio de facto nominee? sijakuelewa! default huwa ni sure thing...Lolote linawezekana TZ
kwa kauli hii nakubaliana na wewe kabisa.
 
Ni bora hata huyu mama
Prof.Tibaijuka ajiandae kuchua fomu ya Urais
 

Hata huyu babu anataka kuongoza kizazi cha dot.com? sasa haya ni mahoka
 
hata huyu babu anataka kuongoza kizazi cha dot.com? Sasa haya ni mahoka

Wasira ana miaka 67, Dr. Slaa 67, JKikwete 63, Benard Membe 61, Edward Lowassa 61, Samwel6 73, Reginald mengi 74....hapo nani sio babu...babu sambeke kafa kwa ndege hata hamsini hajafika.r.i.p to the high flyer...kizazi cha Social Media kina mababu watupu kaka
 

Wasiraana zaidi ya miaka 70,sina uhakika na Mengi ila niltaka kujua tu hata Sambeke naye alikuwa ana nia ya kugombea urais?au ni kunogesha taarifa tu.
 
Tutasikia mengi sana kutoka kwa ccm mpaka 2015 ikifika tutakuwa tumesikia ya kutosha. mimi ninauhakika watafalakana hao yetu macho.
 
Atakuwa raisi nyumbani kwake. CCM wakileta ushenzi wanaipa CHADEMA nafais we subiri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…