Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiraana zaidi ya miaka 70,sina uhakika na Mengi ila niltaka kujua tu hata Sambeke naye alikuwa ana nia ya kugombea urais?au ni kunogesha taarifa tu.
hivi alirudisha kadi ya nccr!naomba nikurekebishe mkuu!
Ataitwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa stephen masato wasira.
Huyu mkurya hana mpinzani ndani ya chama chake na nje ya ccm, kinachoonekana hapa ni majungu ya wafuasi wa ugaidi.
Lowassa is the best! NOT MATTER WHAT!
unawasiwasi gani mpe kura yako dr slaa tuu!my god.... Wote mambulula hao.. Hamna raisi hapo..
Jaribuni kuwa siriaz ndugu
Wasiraana zaidi ya miaka 70,sina uhakika na Mengi ila niltaka kujua tu hata Sambeke naye alikuwa ana nia ya kugombea urais?au ni kunogesha taarifa tu.
Ikitokea wasira akawa rais, mimi nahama nchi. Atakuwa ni rais mwenye roho mbaya na sura mbaya duniani. Nadhani huyu atavunja hata rekodi ya Idd Amin wa uganda. Kitu cha kwanza atahakikisha anabadili katiba na kufuta vyama vyote vya upinzani. Yeye siku zote anajua upinzani ni uadui.
Oh... NDIO Maana WASSIRA anaongelea SIRI za SERIKALI - USALAMA wa TAIFA; Hizo ni SIRI hazitakiwi kuongelewa, kwenye FARAGHA Ina Maana anagombea URAIS? atakuwa Raisi MBAYA na DIKTETA kupindukia... SIJUI HIYO KATIBA MPYA itasaidia...
Ikitokea wasira akawa rais, mimi nahama nchi. Atakuwa ni rais mwenye roho mbaya na sura mbaya duniani. Nadhani huyu atavunja hata rekodi ya Idd Amin wa uganda. Kitu cha kwanza atahakikisha anabadili katiba na kufuta vyama vyote vya upinzani. Yeye siku zote anajua upinzani ni uadui.
Nafasi ya kuzunguka dunia, kuhudhuria misiba ya watu maarufu,Urais ni nini?
Kwenye msafara wa ........... hata panya wapo hivyo sikushangai,tena hao wasindikizaji kwa midundo na nyimbo zao ni nzuri sana na kawaida hawapendezi hata kuwaangalia wamevaa matambara au ngozi tena ya zamani eti ni fashion lakini midomoni mwao,hiyo sauti ni nzuri na mirindimo yao hautachoka kuiangalia wakati huo mwenye msafara kanyamaza tu anaangalia jinsi mnavyohangaika juu yake anaogopa asidhuriwe kama kina Prof. na kina Dr. Mw....... kabla msafara haujafika huko kulikokusudiwa
Hakuna Ubishi kuwa MEMBE AMEAMUA KUNYOOSHA MIKONO MIMI KWA UZOEFU WANGU NDANI YA SIASA ZA CCM MTU MWENYE NGUVU KUBWA NDANI YA CCM KWA MIEZI 16 ILIYOBAKI HADI KIKWETE KUONDOKA MADARAKANI NI EDWARD NGOYAI LOWASSA PIA KUMBUKENI NCHIMBI NI MFUASI MWAMINIFU KWA LOWASSA NA NI WAZRI MKUU MTARAJIWA WA LOWASSA AKIINGIA MJENGONI NA IKUMBUKWE LOWASSA ALIMSAIDIA SANA NCHIMBI KUUSHIKA UONGOZI WA UMOJA WA VIJANA UVCCM...
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kuhimili nguvu ya Chadema hapo - tusitanaiane.
Umesahau kucheka cheka ovyo, uzinzi, umatonya, kupeana vyeo vya kiushkaji, kutokuwa na maamuzi magumu, ufisadi , kupenda madem ect!Nafasi ya kuzunguka dunia, kuhudhuria misiba ya watu maarufu,
kupiga picha na wasanii wa Hollywood na kupewa title ya Doctor...
toa pumba zako hapa. kwani sasa hivi mnapanga kwenda kumteka nani?