Mgombea Urais CCM 2015: Vita kali yatabiriwa kati ya Wasira, Lowassa na Nchimbi

Mgombea Urais CCM 2015: Vita kali yatabiriwa kati ya Wasira, Lowassa na Nchimbi

Mhh! yeyote atakayefikiri kwamba anaweza akabebwa kwa mitandao au makundi na kwa gharama yeyote kupitia ccm akiamini kabisa kwamba akiteuliwa ndiyo kibali cha kuwa Rais wa Tanzania kama ilivyokua ada atakuwa anafanya kosa kubwa sana. Kiongozi atakaye chaguliwa au anayetaka kujiwekea mazingira ya kuchaguliwa mwaka 2015 iwapo Mungu atamjalia kufika lazima awekeze kwa wananchi na hasa vijana ambao karibu ya asilimia 40 ya wapiga kura wapya wasiotaka hadithi za Paukwa pakawa .Labda iwapo ni mtifuano wa Magazetini na Habari maelezo.
 
Habari hii ingetoka gazeti lingine lolote makini ningekaa chini kusoma sio hili limesheheni upuuzi wa kifisadi

Taarifa hiyo kwa muono wangu sio ya kupuuza hata kidogo. Hebu jaribu kuangalia vuguvugu linaloendelea hapa nchini halafu rudi upande wa pili Hasa kwa EL na movement ambazo amekuwa akizifanya aidha za kijamii au katika maendeleo ya kiimani utapata picha fulani ambayo inapaswa kufanyiwa kazi.

Ukimkuta kichaa anaongelea kitu fulani mara nyingi kuliko vingine ukichunguza utakuta kwa kiasi kikubwa ndicho kilichomsababishia ukichaaa
 
Naomba nikurekebishe Mkuu!

Ataitwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Stephen Masato Wasira.
Huyu Mkurya hana mpinzani ndani ya Chama chake na nje ya ccm, kinachoonekana hapa ni majungu ya wafuasi wa Ugaidi.

Inapendeza hebu tuige umagharibi kidogo, tupe CV yake
 
Nawashauri nyie mnaojiita wapambanaji wa za umma, hebu anzeni kukijenga chama chenyu katika ngazi za vijiji, kata, tarafa na hata wilaya na ndipo muwazie ngazi kuu ya taifa kwa maana ya urais, hivi mnajua hamna hata jengo la makao makuu wachilia mbali ya taifa, hata ya mikoa? mnataka tuwape nchi mtushindishe na njaa kwa miaka yote mitano mkijijengea makao makuu na kupata rasilimali nyingine kama watu wenye uwezo wa kuongoza, fedha za kendeshea inji pamoja nyinginezo?
CCM akisimama yeyote yule atapewa asilimia 85 ipo vijijini na ndio wapiga kura na huko CDM haipo!

ushauri huu ni wa bure msiulipie.:shut-mouth:
 
Wajaribu kukata jina la lowassa waone moto.watakuwa wamemwaga
ugali, nayeye atamwaga mboga,;
 
Juzi kati , katika moja ya mahoteli Jijijini Dar, Waziri Emmanuel Nchimbi alikutana na kamati maalum aliyoiunda kuanza mchakato (matayarisho) ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi. Kikao cha hawali kiliafikiana kuanza mikakati ya kuanza kampeni za chini kwa chini kuwashawishi wajumbe wa kamati kuu kuanza kumkubali.

My Take:
Mnyukano naona unaanza rasmi ndani ya CCM, ambako makambi yaanza kujitokeza. Kuna kambi la Lowassa, Membe, Sitta na Sasa Nchimbi ambao wote watagombea urais kupitia CCM.
 
Juzi kati , katika moja ya mahoteli Jijijini Dar, Waziri Emmanuel Nchimbi alikutana na kamati maalum aliyoiunda kuanza mchakato (matayarisho) ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi. Kikao cha hawali kiliafikiana kuanza mikakati ya kuanza kampeni za chini kwa chini kuwashawishi wajumbe wa kamati kuu kuanza kumkubali.

My Take:
Mnyukano naona unaanza rasmi ndani ya CCM, ambako makambi yaanza kujitokeza. Kuna kambi la Lowassa, Membe, Sitta na Sasa Nchimbi ambao wote watagombea urais kupitia CCM.
with all due respect hiyo siyo nuzi it is a joke the man's iq is closer to zero.
 
with all due respect hiyo siyo nuzi it is a joke the man's iq is closer to zero.

Anakaribishwa kwenye ulingo, kama hawezi kuwatafuta hao wanaopiga watu mabomu, ataweza vita dhidi ya mafisadi wa chama chake?

Du ama kweli nchi ya Tanzania ni swa na kichwa cha mwenda wazimu kila mtu anaweza kujifunzia kunyoa. Je amepitia chuo kikuu cha ufisadi? Na ameshajenga mtandaao kama ule wa 2005?
 
Nchimbi huyuhuyu aliyefukuzwa kwenye maombolezo ya Mwangosi ? Ha! Ha! Ha! Ha! Kweli nimeamini ccm sasa ni kama T/ Stars , yaani kila mtu anajifunzia kunyoa , au ndiyo maana MWIGULU NA NAPE ni viongozi wake ?
 
Wizara na mabomu kila siku je akiwa raisi itakuaje??? Wizara tu imemshinda
 
Hakuna lolote hapo maana hao wote wapo nyuma ya mauaji haya rejareja ya Watanzania. Nchimbi ndiye mkuu wa wanausalama kila wakati matukio yanatokea na hataki kuwajibika. Lowassa yeye ni mnunuzi wa kura na muandaa genge la fujo kama alivyofanya Makuyuni. Wasira ndio kabisa yeye Nape, Nchemba na Kinana wako nyuma ya Video ya Lwakatare, ung'oaji watu kucha, meno na macho na kujaribu kutumia Bavicha kuihujumu Chadema.
 
Doh kinachonisikitisha humu watu wanategemea magazeti na redio na tv kuthibitisha position zao hatri sana hawana uhalisia wala uhakika wa mambo yalivyo jikoni... duh poleni sana tarajienimsilolitarajia mwenye haki atasimama kuwa Raisi wa nci
 
Hebu fikiria au weka picha kichwani raisi ni WASIRA , the ugliest president ever. Hata wakati mwingine uso wa ndani huonekana kwa uso wa nje. Ukatili unaohuishwa na sura ya ukatili. Gombe boy. LOH
 
CCM ni ile ile oligarchs on the wheel.

Nyie kina Mwashambwa mtaendelea kuwa vidampa hadi siku mjue chama mlichopo hakitoi nafasi za uongozi kama sio "fisi" mwenzao.
 
Back
Top Bottom