Uchaguzi 2020 Mgombea Urais CCM kuhutubia kwa kisukuma huko Mwanza. Huu ni ukabila. NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yake

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais CCM kuhutubia kwa kisukuma huko Mwanza. Huu ni ukabila. NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yake

Nani alisema rais hawezi kutoka kaskazini? Ni maneno rasmi au ya vijiweni?.

Ukabila haupo kwa Magufuli, wala udini.

Samia anatoka Unguja.

Majaliwa Lindi.

Ummy Tanga.

Hao ni wasaidizi wachache tu muhimu wa rais na wote waislam na wenyeji wa mikoa ya mbali kabisa. Hapo sijawaongelea wakurugenzi wa mamlaka ambao ni waislam.
Mkuu unatumia nguvu nyiiingi pasipo sababu, imesemwa; mtu mzima akivukwa nguo huchutama ili aibu yake isionekane...
Sasa naona kama unazidi kutandaza miguu KULIKONI?
 
Nani alisema rais hawezi kutoka kaskazini? Ni maneno rasmi au ya vijiweni?.

Ukabila haupo kwa Magufuli, wala udini.

Samia anatoka Unguja.

Majaliwa Lindi.

Ummy Tanga.

Hao ni wasaidizi wachache tu muhimu wa rais na wote waislam na wenyeji wa mikoa ya mbali kabisa. Hapo sijawaongelea wakurugenzi wa mamlaka ambao ni waislam.
Mkuu unatumia nguvu nyiiingi pasipo sababu, imesemwa; mtu mzima akivukwa nguo huchutama ili aibu yake isionekane...
Sasa naona kama unazidi kutandaza miguu KULIKONI?
 
Mkuu unatumia nguvu nyiiingi pasipo sababu, imesemwa; mtu mzima akivukwa nguo huchutama ili aibu yake isionekane...
Sasa naona kama unazidi kutandaza miguu KULIKONI?
Ni kueleweshana tu mkuu. Hakuna ukabila wala udini kwani rasilimali zote zinatumika kwa faida ya wote.

Bandari zinajengwa kote, watoto wanasomeshwa kote, reli itatumiwa na wote. Ndege zinatumiwa na wote.

Tuhuma za ukabila ni michezo michafu ya kisiasa.
 
Ni kueleweshana tu mkuu. Hakuna ukabila wala udini kwani rasilimali zote zinatumika kwa faida ya wote.

Bandari zinajengwa kote, watoto wanasomeshwa kote, reli itatumiwa na wote. Ndege zinatumiwa na wote.

Tuhuma za ukabila ni michezo michafu ya kisiasa.
Hakuna atakaehoji wala hakuna atakaeguna yote ni sawa tu kwa maana MALOFA WAPUMBAVU HAWANA UTASHI!
ILA CHOCHOTE KITENGENEZWACHO NA KIKAPEWA SIFA BADALA YA KUSIFIWA KWA UBORA WAKE, KOKOTE AMBAKO HULAZIMISHWA VINAVYOONEKANA VIONWE NA KASORO ZISITAJWE HATA KAMA ZIPO "KUNA TATIZO KUBWA"
 
Hakuna atakaehoji wala hakuna atakaeguna yote ni sawa tu kwa maana MALOFA WAPUMBAVU HAWANA UTASHI!
ILA CHOCHOTE KITENGENEZWACHO NA KIKAPEWA SIFA BADALA YA KUSIFIWA KWA UBORA WAKE, KOKOTE AMBAKO HULAZIMISHWA VINAVYOONEKANA VIONWE NA KASORO ZISITAJWE HATA KAMA ZIPO "KUNA TATIZO KUBWA"
Kisukuma ni lugha kama zingine na hao watu ni wapole sana kwani wangekuwa ni wa makabila mengine yenye kujiona ndio kila kitu muda huu jamii yetu ingekuwa na ufa mkubwa.

Wasukuma wamedhalilishwa kisa rais anatoka Geita.
 
Jamii husika inafahamu sana Kisukuma. JPM anaongea lugha nyingi tu za Tanzania tuache wivu.
 
Tafuteni watu wawatafsirie. Jamaa anachanja mbuga nyie endeleeni kujifariji na hoja nyepesi zisizo na jipya.
Hoja za maana anazo huyo aliyefilisika kisiasa kama Nyerere alivyowahi sema. Aliyefilisika kisiasa hutumia kete ya ukabila na udini kupata madaraka. Na ndivyo huyo utopolo anavyofanya.
 
Hoja za maana anazo huyo aliyefilisika kisiasa kama Nyerere alivyowahi sema. Aliyefilisika kisiasa hutumia kete ya ukabila na udini kupata madaraka. Na ndivyo huyo utopolo anavyofanya.
Aliyefilisika ni yule anayetafuta kuhalalisha matatizo yake kwa kuyahamisha kwa wengine.

Hamjui maana ya ukabila zaidi ya kuongozwa na chuki za kipuuzi tu.
 
Hii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.

Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?

Huu ni udhaifu mkubwa, halafu eti ndo anajifananisha na Baba Wa Taifa, shame. Nashangaa hata wanaomtetea, huu ni ukabila wa wazi wazi.

Ingekuwa ni mgombea ubunge sawa ila rais anahutubia kisukuma?

Hivi hawa ndo CCM walikuwa wanasema watu wa kaskazini ni wakabila? Au ni tabia ya Nyani kutokuona Kundule?

Sheria ya Maadili ya Uchaguzi, kifungu 2.1k kinasema vyama vya siasa na wagombea wana wajibu wa "kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili itakuwa ndiyo lugha pekee itakayotumika katika kampeni za uchaguzi"

View attachment 1560689
Katika kosa ccm watalijutia ni kumchaguakabila la kisukuma kuwa Rais.kwa mantiki hiyo urais kupitia ccm hautakaa utoke Kanda ya ziwa. Kipindi Cha uchaguzi mkuu itakuwa ni ngumu kuondoka mgombea wa Kanda ya ziwa asipitishwe hata Kama Hana sifa. Watu wa Kanda ya ziwa ni wengi na Wana uzao mkubwa na wanaendelea kuwa wengi na waliambiwa zaeni.
 
Aliyefilisika ni yule anayetafuta kuhalalisha matatizo yake kwa kuyahamisha kwa wengine.

Hamjui maana ya ukabila zaidi ya kuongozwa na chuki za kipuuzi tu.
Chuki za kipuuzi anazo huyo utopolo wen anayejaribu kuufuta mfumo wa vyama vingi ambao umewekwa na katiba ya nchi.
 
Back
Top Bottom