#Uchaguzi2020 Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Muttamwega Mgaywa na mgombea mwenza Satia Musa, walipowasili hii leo Agosti 7, 2020, kwenye ofisi za NEC wakiwa peku bila Viatu kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa TZ.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha SAU, Mutamwega Bati Mgaiwa (kushoto) katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma leo Agosti 6,2020. Chama hicho kimekuwa cha tano kuchukua fomu
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha SAU, Mutamwega Bati Mgaiwa (kushoto) katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma leo Agosti 6,2020. Chama hicho kimekuwa cha tano kuchukua fomu