Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
- Thread starter
- #21
Naomba ujibu swali kwa nini ana ona kuwa watanzania watamkataa? Jibu swali anaegombea ndio anaesema sio wewe Kwa nini anahofu? Kaona nini? Na Kwa nini anashangaa watu kujitokeza kugombea? Ina maaana hajui kuwa Tanzania ni ya vyama vingi?Unaposema Ina maana ...... unajijibu kwa hisi zako, wewe hujui huu ni wakati wa kampeni, wakati wa kuamua. Mtindio wa ubongo hauhusiki, usidhani wenye utindio hawana upeo, nakazia jipange kihisia za matokeo, tumaini la mwelekeo unaowazia halipo.
Pia nauliza anaposema kuwa mkapa walipewa kumi inamaana amechanganyikiwa na kuona hicho ndio kigezo cha yeye kupewa? Je hajui kuwa kipindi hicho kulikuwa Hakuna mateso, mauwaji, utekaji, udhalilishaji, Ubaguzi, ukabila, ubabe, kukamata Kamata na kuweka gerezani Halafu unasema toa hela nikuachie, ikatiri na kuvunja haki xa biandamu, inamaaana hajui kuwa vikundi vya wasiojulikana hawakuwepo?