Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa ACT Wazalendo ni Zitto au Membe? Tuko hoi Jamani

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa ACT Wazalendo ni Zitto au Membe? Tuko hoi Jamani

Zitto amehojiwa kuhusu hilo akajibu kuwa Bw. Membe yupo bize kupanga baraza la mawaziri maana ameshashinda!

Mimi nadhani NEC inachezewa mchezo flani! Nadhani kuna makubaliano flani yasiyo rasmi kati ya ACT na CHADEMA. Muda utasema
Uko sahihi. This is a political arsenal to the opposition. Tusubiri kuona.
 
Uvccm Bashiru alivyowaambia mjibu hoja ndiyo mnajibu hivi? Hahahahahaaaaa.

Yaani kwa akili yenu mnataka Membe asimame majukwaani ili awachanganye wapiga kura hatimaye kura zigawanywe. Zitto ataenedelea kuwanadi wagombea Ubunge wa ACT maana jina lake halipo karatasi ya wagombea uraisi, na Membe watu watakuwa wamesahau kama aligombea uraisi.

By the way kwani Membe ni mgombea uraisi wa CCM?
Sasa kama hamkutaka kugawanya kura Kwanini mliweka mgombea? Jamaa keshakata upepo bado huyu mwengine mropokaji.
 
Upepo ushavuma tayari - Bara ni Lissu na Zenji ni Maalim Self. Muda ukifika Membe atapanda jukwaani kukoleza moto wa Mzee wa Maono.
 
Sasa kama hamkutaka kugawanya kura Kwanini mliweka mgombea? Jamaa keshakata upepo bado huyu mwengine mropokaji.


Kumbe wewe hakuna anachokijua. Kulikuwa na mtego wa kukata wagombea wanaokubalika kukwepa mtego huo ndiyo wakasimama wote wawili ili mmoja aje kumuachia anayekubalika zaidi. CCM hawakugundua wakaona wawaache wote ili wagawane kura. Utauliza sasa mbona Membe hajitoi na kumuunga mkono Lissu,huo in mtego mwingine wakifanya hivyo tu NEC na msajili watavishughulikia vyama vyote viwili ndiyo maana unaona Membe hapigi kampeni anayezinguka kuwanadi wagombea ubunge wa ACT ni Zitto.

Kama hujaelewa basi wewe ni kilaza kumekucha wa uvccm uliyeandika hii makala kwa kushirikiana na vilaza wenzako wa uvccm.
 
Kumbe wewe hakuna anachokijua. Kulikuwa na mtego wa kukata wagombea wanaokubalika kukwepa mtego huo ndiyo wakasimama wote wawili ili mmoja aje kumuachia anayekubalika zaidi. CCM hawakugundua wakaona wawaache wote ili wagawane kura. Utauliza sasa mbona Membe hajitoi na kumuunga mkono Lissu,huo in mtego mwingine wakifanya hivyo tu NEC na msajili watavishughulikia vyama vyote viwili ndiyo maana unaona Membe hapigi kampeni anayezinguka kuwanadi wagombea ubunge wa ACT ni Zitto.

Kama hujaelewa basi wewe ni kilaza kumekucha wa uvccm uliyeandika hii makala kwa kushirikiana na vilaza wenzako wa uvccm.
Mgombea anaekubalika ni mmoja tu Magufuli peke yake hawa wengine uliowataja ni wakimbiza upepo.
 
Mgombea anaekubalika ni mmoja tu Magufuli peke yake hawa wengine uliowataja ni wakimbiza upepo.


Anakubalika kwa kusomba wanafunzi wa chekechea,shule za msingi na sekondari sasa hawa tokea lini wakawa wapiga kura. Pia analazimisha watumishi wote wakamsikilize wakati anajua hawamtaki ndiyo maana kila siku mpaka leo amesema wenzie wote Mwinyi,Mkapa na Kikwete walipewa miaka kwanini watanzania wanataka kumpa yeye miaka Kitano kwani amefanya dhambi gani. Anajua hata huko ndani ya CCM hawamtaki,unawatia watu njaa halafu utegemee wakachague asiubirie kuiba kura tu na mbaya zaidi mshindani wake mkuu wa mwaka akili zake kama za Magufuli tofauti mmoja in mwanasheiria mwingine mtaalamu wa maganda ya korosho zilizobanguliwa kwa mabomu ya JWTZ,akimuibia patachimbika mwaka huu halafu atadhangaa polisi watakavyomsaliti maana hajawaongezea mishahara kwa miaka mitano.
 
ACT tuunganishe nguvu na CHADEMA tuing'oe ccm mapema October.
Hivi itabidi membe asitokee kwenye karatasi ya kupigia kura au??! Maana si NEC washampitisha na kama karatasi labda zishachapishwa?
Maana technically jina lake likiingia kwa karatasi kuna bado kugawana kura hata akijitoa.
 
Wewe aliyekwambia ndani ya CCM hawamtaki ni nani wakati wewe upo nje? Hakuna mwana CCM yeyote asiemkubali labda wale mamluki waliopigwa chini kama kina Membe na wenzake na woye wenye uroho na uchu wa madaraka.
 
Anakubalika kwa kusomba wanafunzi wa chekechea,shule za msingi na sekondari sasa hawa tokea lini wakawa wapiga kura. Pia analazimisha watumishi wote wakamsikilize wakati anajua hawamtaki ndiyo maana kila siku mpaka leo amesema wenzie wote Mwinyi,Mkapa na Kikwete walipewa miaka kwanini watanzania wanataka kumpa yeye miaka Kitano kwani amefanya dhambi gani. Anajua hata huko ndani ya CCM hawamtaki,unawatia watu njaa halafu utegemee wakachague asiubirie kuiba kura tu na mbaya zaidi mshindani wake mkuu wa mwaka akili zake kama za Magufuli tofauti mmoja in mwanasheiria mwingine mtaalamu wa maganda ya korosho zilizobanguliwa kwa mabomu ya JWTZ,akimuibia patachimbika mwaka huu halafu atadhangaa polisi watakavyomsaliti maana hajawaongezea mishahara kwa miaka mitano.
Acha kutuchonganisha na jeshi letu la Polisi.
 
Acha kutuchonganisha na jeshi letu la Polisi.


Subiri uone Polisi watakavyowalinda raia wanaoandama kupinga wizi kura mpaka Magufuli aachie Ikulu,si alikuwa anawatuma wale vinyago wake kule bungeni wakiongozwa na Ndugai eti wakirudi wanakuja kubadilisha katiba ili Magufuli aongoze mpaka kifo.

Tatizo Magufuli alijisahau sana akawa anawajibu watu jeuri tu siongezi mishahara Mimi akitegemea upinzani utakufa kwa sababu ya vitisho na ubabe wake kumbe ndiyo alikuwa anaimarisha upinzani kwenye yonyo za watu. Hata kipindi hiki cha kampeni bado anaendelea na vitisho na ubabe.

Nikushauri tu ndigu yangu husimchahue huyu jamaa miaka mitano ya majaribio inamtosha maana 2015 aliokota dodo chini ya mbuyu tu,ilikuwa zari la mentali tu akalitumia kukandamiza watu huku akijificha kwenye kichaka cha maendeleo ya vitu wakati Kikwete alifanya maendeleo ya vitu na maendeleo ya watu udhaifu wake ulikuwa kwenye kudhibiti nidhamu kwenye utumishi wa Umma,Magufuli angerekebisha hapa tu angekuwa bonge la Raisi.

Eti leo hii ajira mpaka kwa hisani ya magufuli,hakuna kuongeza mishahara,sekta kaiangusha kabisa. Kikwete alikuwa anaajiri sekta ya elimu na afya from certificate to graduate wote kila mwaka,na watumishi wanaongezewa mishahara na kupanda madaraja,maendeleo ya vitu aliyoyafanya ni kazi kuyahesabu.

2015 nilimshabikia na kumpigia kura Magufuli nikitegemea ataleta nidhamu kwenye utumishi wa umma. Niligundua magufuli hafai kwenye sakata la vyeti feki pale alipofumbua macho suala la Makonda,nikajua hapa hakuna kitu na kweli yaliyofuatia ni Mateso tu njaa kila kona ya nchi. Kila sehemu anayogusa anaharibu amebaki kuwa yule yule waziri wa ujenzi wa Kikwete.
 
Membe simuoni katika mizunguko ya kuwanadi wagombea ubunge wala kampani, what is happening?
Hana pesa hana kitu wamempora kila kitu na kumwacha mtupu A/C zake zimefungwa na baadhi ya A/c za rafiki zake zimefungwa
 
Mgombea anaekubalika ni mmoja tu Magufuli peke yake hawa wengine uliowataja ni wakimbiza upepo.
Mtukufu magufuli anakubalika kwako wewe mnufaika wa utawala kandamizi wa kidikteta
 
MGOMBEA URAIS WA ACT NI ZITTO AU MEMBE? TUKO HOI JAMANI

WARAKA WA KWANZA WA VIJANA

Sisi Vijana wa ACT kutoka mikoa mbalimbali tunaendelea kusikitishwa na mwenendo wa uendeshaji wa Chama chetu ambapo mpaka sasa hatuelewi kampeni inaendeshwa vipi zaidi ya kuona kila kitu kiko kwa mtu mmoja.

Pale Mlimani City tena kwa mbwembwe, Chama chetu kilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa mgombea Urais na akaahidi kampeni ya kishindo. Kiongozi wa Chama naye akaahidi hivyo hivyo.

Cha ajabu na ambacho sasa tunahitaji majibu kwa Chama ni badala ya mgombea huyo rasmi wa Urais kufanya kampeni sasa hivi tunamuona kiongozi wa Chama, Zitto Kabwe akifanya mikutano mingi ya kampeni kuliko hata mgombea Urais.

Juzi tu Zitto Kabwe alikuwa Dar, akaenda Kigoma na tukamionankwenye ndege za ATC, akarudi Dar, akaenda Mafia, akaenda Mtwara sasa kaenda Kigoma, swali huyu ndiye mgombea Urais wetu mpya? Ameteuliwa kimya kimya? Mzee wetu Membe kapatwa na nini?

Hivi kwa stratejia hizi zilizoshindwa mapema tukipata kura kiduchu tutaanza vurugu za kudai tumeibiwa kura? Na nani kama mgombea wiki nne sasa hayuko majukwaani badala yake anafanya mtu ambae sio mgombea na kujibrand yeye.

Tena bahati mbaya Ndugu Zitto wala hamwombei kura mgombea, yeye ni kuhangaika na Magufuli na CCam na kumsifu na kujipendekeza kwa Lissu wa Chadema. Hakika hivi ni vituko!

Zaidi sasa kiongozi wetu wa vijana naye akitoka Kigoma kama Zitto, Abdul Nondo, anamzidi Membe eti kwa naye kusafiri kwenda kuzindua mikutano ya Wabunge nchi nzima!!

Hiki Chama hakina uongozi, hakina stratejia na kimechoka katika umri mdogo sana. Tunasikitika.

Yani tunaumia sasa sisi vijana tunaohangaika huku mitaani kukitangaza Chama, huku kiongozi wa Chama na mgombea Urais wakituahidi kampeni ya kishindo ndio hii ya Zitto kuzunguka kula per diem na Nondo aliyetoka chuoni mwaka jana kuwa ndio mwanasiasa wa kwenda kuzindua kampeni za majimbo na wakongwe wa siasa ndani ya Chama kuachwa??

Kweli!!!!!Ndio tumefikia this low?

Tunahitaji majibu. Yani ACT kimekuwa chama cha kikabila, utasikia Maalim Seif yuko Pemba, Zitto yuko Kigoma, mikoa mingine chama ziiiii. Inatuuma sana.

*Waraka wa Vijana wa ACT, Tanzania Bara*
CHAMA DUME NI CCM TU......!!#mpigieni kura #Magufuli
 
Back
Top Bottom