Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa ACT Wazalendo ni Zitto au Membe? Tuko hoi Jamani

Mama Ana Mghwira Uko wapi ? Kile chama ulichokisimamia na kusimama kama mgombea Uraisi leo wanakinajisi wale uliowaacha.
 
Mama Ana Mghwira Uko wapi ? Kile chama ulichokisimamia na kusimama kama mgombea Uraisi leo wanakinajisi wale uliowaacha.
Huyo alishakua mchumia tumbo anataga mayai ya kija i sasa
 
We UVCCM hayo ya ACT waachie wenyewe... hangaikia ya kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…