Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Kawaulize wanufaika wa mikopo wanakigamboni. Halafu ukishapata majibu ujifunze kuongea vitu unavyovijua sio kuongea ongea tuu
wewe ndo unatetea nimekuambia lete ushahidi siyo unaandika uharo humu ,unatetea kitu we mwenyewe huna uhakika msione watu wajinga kama nye,mmekuwa misukule kila kitu unatetea yaani mmekuwa vilaza grade I
 
Kawaulize wanufaika wa mikopo wanakigamboni. Halafu ukishapata majibu ujifunze kuongea vitu unavyovijua sio kuongea ongea tuu
Alisemaga alivyoingia madarakani Sukari aliikuta ikiuzwa Kilo 1= Tsh. 5000,tangu pale nikawa namuona ni mtu wa saundi.
 
wewe ndo unatetea nimekuambia lete ushahidi siyo unaandika uharo humu ,unatetea kitu we mwenyewe huna uhakika msione watu wajinga kama nye,mmekuwa misukule kila kitu unatetea yaani mmekuwa vilaza grade I
Upunguze jazba usije kufa bure
 
wewe ndo unatetea nimekuambia lete ushahidi siyo unaandika uharo humu ,unatetea kitu we mwenyewe huna uhakika msione watu wajinga kama nye,mmekuwa misukule kila kitu unatetea yaani mmekuwa vilaza grade I
Bado nasubiri anitajie jina la bank.
 
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM

Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.

Huyu sasa anawadanganya watuu wazi wazi. Eti vinaweza kutumika kukopa kwenye Mabenki hadi kwenye Bima za Afya? Vitambulisho hivyo vinauzwa kama njugu, huwezi kumtambua (ku track mwenye kitambulisho hicho kama ni chake au kaazima.
Watu wana vitambulisho halali vyaTaifa, kadi ya mpiga kura na hata kadi ya bima ya afya, lakini bado haviwasaidii, leo vya wamachinga vitasaidia kweli,
 
Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe. Theni ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom