CRDB imetoa sana mikopo Wilaya ya Kigamboni tawi la Kibada.Nitajie benki moja iliyotoa mkopo kwa kitambulisho kisicho na jina. Ambacho Leo anaweza kuwa nacho Hamis kesho akakiokota Maiko kikawa chake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CRDB imetoa sana mikopo Wilaya ya Kigamboni tawi la Kibada.Nitajie benki moja iliyotoa mkopo kwa kitambulisho kisicho na jina. Ambacho Leo anaweza kuwa nacho Hamis kesho akakiokota Maiko kikawa chake.
Kwani kitambulisho cha NIDA au cha mpiga kura wewe umevilipia bei gani? Au TIN inalipiwa bei gani?Kwa hiyo ulitaka wajasiriamali Tanzania nzima wapewe bure? Wewe utauwa na akili timamu kweli? Hata Cdm inaweza kufanya hivi?
Hiyo mbona ilikuwepo kabla ya vitambulisho??? Kampuni kama black wamekopesha sana tena muda mrefu bila hata hivyo vitambulisho.Hujui maisha wewe mtoto wa mama. Mnaunda kikundi cha watu watano mnaofahamiana ili iwe rahisi kupatikana. Na benki inawakopesha.
Vinatumika kuunda vikundi vya wajasiriamali na wanachukua mikopo kama vikundi. Hivi vinakuwa kama uthibitisho kuwa wana kikundi ni wajasiriamali. Tatizo Chadema ni kupinga pinga tu. Hii haitusaidii
Unajua taratibu ya kuwa na kikundi kinachoweza kukopesheka bank au unadhani unaongea na mabwege wenzio hapa?Dhamana ndio hicho kikundi,na lazima mthibitishe kama ni wajasiriamali. Na ni mikopo ya pesa ambazo sio uweke bond ya nyumba. Tumia akili wewe.
Tumia akiri, kila mwananchi anapaswa kulipa kodi, uwe wa hali gani utalipa kodi ilimladi unajishughulisha, sasa wewe unasema wasilipe wakati miundombinu wanatumia?"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM
Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Kusema uongo kwenye kampeni, au mnasubiria na kutafuta tafuta wapi mtampata Lissu?
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM
Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
wewe ndo utueleze wamekopeshwaje siyo unatetea tu upuuziWaulizeni kigamboni wanavitumiaje kupata mikopo na bima sio mnapinga you vitu msivyovijua
Mkopo ulianza lini kuwa upuuzi? Au wakopeshwaji na wakopeshaji ndio wapuuzi???wewe ndo utueleze wamekopeshwaje siyo unatetea tu upuuzi
niambie ni bank gani inatoa mikopo kwa hiyo kitambulisho,bank inaitwaje siyo unaleta bla blaMkopo ulianza lini kuwa upuuzi? Au wakopeshwaji na wakopeshaji ndio wapuuzi???
Cha ajabu nilimsikia akiongea yule 'mtoto wa dada wa pale wizara ya fedha' ambae Lissu hua anamsema na yeye kiswahili kinampa shida,sasa sijui ni tatizo la familia/ukoo hilo.Dokta wa korosho! Hahahahaaaaaaa
Huyu sijui hata kama anastahili kuhitimu kidato cha nne!
Mtu asiyeweza japo kuongea Kiswahili, unategemea nini?
Nasubiri alete jibu mzee babaniambie ni bank gani inatoa mikopo kwa hiyo kitambulisho,bank inaitwaje siyo unaleta bla bla
Kawaulize wanufaika wa mikopo wanakigamboni. Halafu ukishapata majibu ujifunze kuongea vitu unavyovijua sio kuongea ongea tuuniambie ni bank gani inatoa mikopo kwa hiyo kitambulisho,bank inaitwaje siyo unaleta bla bla
hawa lumumba akili zao ni sawa na kunguni tofauti wao na kunguni ni miili tuNasubiri alete jibu mzee baba