Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Juzi tu apa tumeambiwa kua "Vitambulisho vya wajasiriamali" sio vya lazima, lakini leo tunaambiwa pia unaweza kupatiwa mkopo na vikatumika kwenye Bima ya afya. Je walikua wapi tukueleza haya yote kipindi zinatoka ndo wanakuja kutueleza leo kwenye Kampeni kua vina tumika kuombea mkopo na kwenye Bima ya afya? Kitu ambacho si lazima unaweza kuombea mkopo. Wenye akili tunaelewa. Tulioibiwa 20000 ya Vitambulisho vya ujasiriamali tuna Jambo letu trh 28-10-2020
 
Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe. Theni ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?

Halafu utakuta wanaccm walilipuka kwa shangwe huo utapeli!
 
Halafu utakuta wanaccm walilipuka kwa shangwe huo utapeli!
Mikopo bwerere ili mradi uwe mjasirimali. Acha ubwege wewe kamanda mwenzangu.
Screenshot_20200930-184934.png
 
Vinatumika kuunda vikundi vya wajasiriamali na wanachukua mikopo kama vikundi. Hivi vinakuwa kama uthibitisho kuwa wana kikundi ni wajasiriamali. Tatizo Chadema ni kupinga pinga tu. Hii haitusaidii

Peleka upuuzi mbali, vikundi vipo miaka na miaka, na utaratibu wa kutambua wanakikundi kigezo siku hicho kitambulisho. Ndiyo maana nakuambia hakuna mwanacdm duwazi. Kiungo cha uzazi cha kike ww muhuni pori.
 
Peleka upuuzi mbali, vikundi vipo miaka na miaka, na utaratibu wa kutambua wanakikundi kigezo siku hicho kitambulisho. Ndiyo maana nakuambia hakuna mwanacdm duwazi. Kiungo cha uzazi cha kike ww muhuni pori.
Nini maana ya kitambulisho cha mjasiriamali? Hivi vimewekwa kuwatambua rasmi. Mimi kusema ukweli usinitukane we bwege.
 
Sasa kuna uhusiano gani hapo na hicho kitambulisho cha kihuni? Au unadhani hiyo taasisi ya FINCA ilianza baada hicho kitambulisho cha wezi? Shubamiit.
Kuwatambua rasmi,ili waweze kufanya shughuli kwa ufanisi.
 
Kwa hiyo ulitaka wajasiriamali Tanzania nzima wapewe bure? Wewe utauwa na akili timamu kweli? Hata Cdm inaweza kufanya hivi?
Ni baba mpumbavu pekee kama stone anayeweza kusifiwa kwa kumnunulia mkewe Iphone X lakini aliacha mwanae akafa kwa kukosa laki moja ya matibabu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 8[1](a) inasema "Lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa (wananchi) WATU sio ustawi wa VITU. Asomaye na afahamu.!
 
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM

Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Huyu rais kigeugeu sana. Haaminiki sijui ilikuwaje akawa rais wa wanaccm
 
Back
Top Bottom