bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Huyu Mzee kazidisha uongo Mungu atamuadhibu vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe. Theni ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?
Kwa hiyo ulitaka wajasiriamali Tanzania nzima wapewe bure? Wewe utauwa na akili timamu kweli? Hata Cdm inaweza kufanya hivi?
Mikopo bwerere ili mradi uwe mjasirimali. Acha ubwege wewe kamanda mwenzangu.Halafu utakuta wanaccm walilipuka kwa shangwe huo utapeli!
Vinatumika kuunda vikundi vya wajasiriamali na wanachukua mikopo kama vikundi. Hivi vinakuwa kama uthibitisho kuwa wana kikundi ni wajasiriamali. Tatizo Chadema ni kupinga pinga tu. Hii haitusaidii
Mikopo bwerere ili mradi uwe mjasirimali. Acha ubwege wewe kamanda mwenzangu.View attachment 1585911
Nini maana ya kitambulisho cha mjasiriamali? Hivi vimewekwa kuwatambua rasmi. Mimi kusema ukweli usinitukane we bwege.Peleka upuuzi mbali, vikundi vipo miaka na miaka, na utaratibu wa kutambua wanakikundi kigezo siku hicho kitambulisho. Ndiyo maana nakuambia hakuna mwanacdm duwazi. Kiungo cha uzazi cha kike ww muhuni pori.
Kuwatambua rasmi,ili waweze kufanya shughuli kwa ufanisi.Sasa kuna uhusiano gani hapo na hicho kitambulisho cha kihuni? Au unadhani hiyo taasisi ya FINCA ilianza baada hicho kitambulisho cha wezi? Shubamiit.
Kuwatambua rasmi,ili waweze kufanya shughuli kwa ufanisi.
Maendeleo hayana chama kamanda.Nasema hivi peleka upuuzi mbali ww muhuni pori.
Labda Dr MagumashiEti huyu ni Dr.!
Ni baba mpumbavu pekee kama stone anayeweza kusifiwa kwa kumnunulia mkewe Iphone X lakini aliacha mwanae akafa kwa kukosa laki moja ya matibabu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 8[1](a) inasema "Lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa (wananchi) WATU sio ustawi wa VITU. Asomaye na afahamu.!Kwa hiyo ulitaka wajasiriamali Tanzania nzima wapewe bure? Wewe utauwa na akili timamu kweli? Hata Cdm inaweza kufanya hivi?
Maendeleo hayana chama kamanda.
we gasho acha kujiita kamanda...pia toa alama ya chadema kwenye avatar yako nyambafKwa hiyo ulitaka wajasiriamali Tanzania nzima wapewe bure? Wewe utauwa na akili timamu kweli? Hata Cdm inaweza kufanya hivi?
Kamanda mwenya akili hawezi kuwa shoga. Nyie mnaenshabikia Lissu ambae atawalinda ili mfanye ushoga nawapa pole.we gasho acha kujiita kamanda...pia toa alama ya chadema kwenye avatar yako nyambaf
Huyu rais kigeugeu sana. Haaminiki sijui ilikuwaje akawa rais wa wanaccm"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM
Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Chukua kitambulisho,jiunge na wenzako kama wanne unapata mkopo.Huyu rais kigeugeu sana. Haaminiki sijui ilikuwaje akawa rais wa wanaccm