Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM

Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.


VITAMBULISHO gani havina PICHA za Wamiliki wake?

Ni wapi Mikopo inatolewa kwa kutumia VITAMBULISHO visivyokuwa na PICHA ya MHUSIKA?

TUWE WAKWELI.
 
labda benki ya damu hospital unazungumzia
Huna akili bichwa kubwa wewe.
Screenshot_20200930-184934.png
 
Hivyo haya maneno ni kweli kabisa yametamkwa na Rais wetu mpendwa aliye na Phd!? mhhh!
 
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM

Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.

Hivi elfu ishilini inaweza kukuwezesha kukopa malaki au mamilioni ya fedha? CCM msitufanye cc wajinga[emoji848][emoji848][emoji848]
 
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM

Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Anawala akili tu
 
Kwa hiyo ulitaka wajasiriamali Tanzania nzima wapewe bure? Wewe utauwa na akili timamu kweli? Hata Cdm inaweza kufanya hivi?
Wewe ndiyo boya kabisa, vitambulisho vile vyakuchukulia mkopo bank, labda bank za chato.
Mtu anadanganya waziwazi alafu unamsupport?

Amakweli ccm ni laana
 
Kamanda mwenya akili hawezi kuwa shoga. Nyie mnaenshabikia Lissu ambae atawalinda ili mfanye ushoga nawapa pole.
chadema hakuna vilaza kama wewe unachafua Nembo ya chama chetu kwa kuandika uharo wako humu JF,ccm mmekuwa wehu hadi mmeamua kutumia nembo za chadema maana kujiita CCM hadi mnaona aibu ,mapunguani nye
 
Ukisikia kuna watu waongo duniani huyu ni kiboko yao kitambulisho hewa kisicho na risiti kikopee Bank shikamoo Magu
 
Back
Top Bottom