Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Sasa kama mnafahamiana tayari kuna haja gani ya hivyo vitambulisho ili kuunda hicho kikundi? Besides kitambulisho kinatolewa bila hata kujiridhisha kwamba muhusika anamiliki hiyo biashara ndogo au la!
 
Ukipata wajasiriamali 100,000 tu kwenye jiji kama Dar es salaam ukawauzia kwa sh 20,000/ ni sh 2,000,000,000/ zimeingia mfuko gani, hazina? CAG anazijua?

Je Tanzania nzima kwa uchache ukapata wamachinga 1,000,000 hiyo ni tsh trillion 2 mfukoni kwa mzee Baba, halafu ni mwaka mmoja.

Anaomba ridhaa akakusanye miaka mitano mingine akitoka kashiiba!

Au kuna ambaye amewahi kusikia kila mkoa vimeuzwa vingapi na pesa imefanyia nini?
 
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi

Meko aache kuruka ruka;

1. Hoja ni kwa nini kama ni vitambulisho vilipiwe?

2. Na kwa nini vilipiwe kila mwaka hata kama havija haribika au kupotea?

3. Fedha zinazokusanywa ni kiasi gani na zinaingia mfuko gani?

4. Kwa kuwa yeye ni mtu wa matamko kwa nini asiagize tu bila kutoza hela kwa hawa 'wanyonge'?

Alisema sio lazima, je inawezekanaje kitambulisho kikawa hiyari[emoji116][emoji116]

tapatalk_1600752423126.jpeg
 
Vinatumika kuunda vikundi vya wajasiriamali na wanachukua mikopo kama vikundi. Hivi vinakuwa kama uthibitisho kuwa wana kikundi ni wajasiriamali. Tatizo Chadema ni kupinga pinga tu. Hii haitusaidii

Kijana muongo sana wewe!! Na ukiendelea hivi huko uzeeni utakuwa ni mtu mwenye kuona donge tu kwa watu waliofanikiwa. Hapa ulipaswa kuleta takwimu za watu wangapi wamekopeshwa na benki zipi kupitia vikundi. Useme collateral ya hivo vikundi ni nini. Haya hilo tufanye uko sahihi. Je bima ya afya nayo inahitaji kikundi? Mbona mambo haya hayakusemwa wakati vilitolewa na sasa vinasema sio muhimu na siku chache baadae tunaambiwa faida zake?? Shilingi elfu 20 imlipie bima ya afya mtu kwa mwaka - kweli??? Ona aibu!!

Mimi sio chadema wala sina mrengo wa kisiasa. I try to make sense of things I hear and this is one big lie!!
 
Meko aache kuruka ruka;

1. Hoja ni kwa nini kama ni vitambulisho vilipiwe?

2. Na kwa nini vilipiwe kila mwaka hata kama havija haribika au kupotea?

3. Fedha zinazokusanywa ni kiasi gani na zinaingia mfuko gani?

4. Kwa kuwa yeye ni mtu wa matamko kwa nini asiagize tu bila kutoza hela kwa hawa 'wanyonge'?

Alisema sio lazima, je inawezekanaje kitambulisho kikawa hiyari[emoji116][emoji116]

View attachment 1585767
Magufuli anapenda kuhutubia mikutano ya hadhara ambako hakuna atakaemuuliza swali. Anaongea yeye na kuimbiwa mapambio muda ukiisha anaondoka.
 
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM

Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Huyu mzee sasa hivi ana bichwa lisilokuwa na ubongo maana akili yote amekabidhi kwa Polepole! Kanatembea na kopo tupu! Benki gani inapokea kitambulisho kwa ajili ya kutoa mkopo?
 
Ndiyo maana alikazana kununua wabunge na madiwani ili 2020 hata kampeni asifanye kwa kuwa hawezi kupambana. Meko ni muoga first class, afu anajiita jiwe labda la mfinyanzi.
Magufuli anapenda kuhutubia mikutano ya hadhara ambako hakuna atakaemuuliza swali. Anaongea yeye na kuimbiwa mapambio muda ukiisha anaondoka.
 
Kwanza hakuna Benk inayokopesha fedha kwa dhamana ya kitambulisho tu. kuna vitu vingi vinasababisha kupata mkopo ikiwemo biashara na vitu vingine ambavyo vinaweza kukava mkopo wako ikiwa hukuweza kulipa fedha za Bank.
Haya maneno matamu wakati wa kampeni halafu baadaye wanaota mapembe na mkia na kuanza kutufokea kwamba hamna hela ya bure
 
Kijana muongo sana wewe!! Na ukiendelea hivi huko uzeeni utakuwa ni mtu mwenye kuona donge tu kwa watu waliofanikiwa. Hapa ulipaswa kuleta takwimu za watu wangapi wamekopeshwa na benki zipi kupitia vikundi. Useme collateral ya hivo vikundi ni nini. Haya hilo tufanye uko sahihi. Je bima ya afya nayo inahitaji kikundi? Mbona mambo haya hayakusemwa wakati vilitolewa na sasa vinasema sio muhimu na siku chache baadae tunaambiwa faida zake?? Shilingi elfu 20 imlipie bima ya afya mtu kwa mwaka - kweli??? Ona aibu!!

Mimi sio chadema wala sina mrengo wa kisiasa. I try to make sense of things I hear and this is one big lie!!
We bwege unajua nini? Unajua hata ujasiriamali?

Bima ya afya kwa wakulima huwa haitolewi kwa vikundi? Acha ubwege.
 
Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe. Theni ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?
Benki zenyewe kazifilisi hazina pesa ya kukopesha ,wanadanganya wateja eti mtandao unasumbua.CRDB ndo imekwisha kabisa ,wanakwambia ujaze fomu ya mkopo kisha unalipa 12,000 ya stamp na muhuri wa Wakili baada ya hapo wanaanza longolongo.
 
Kijana muongo sana wewe!! Na ukiendelea hivi huko uzeeni utakuwa ni mtu mwenye kuona donge tu kwa watu waliofanikiwa. Hapa ulipaswa kuleta takwimu za watu wangapi wamekopeshwa na benki zipi kupitia vikundi. Useme collateral ya hivo vikundi ni nini. Haya hilo tufanye uko sahihi. Je bima ya afya nayo inahitaji kikundi? Mbona mambo haya hayakusemwa wakati vilitolewa na sasa vinasema sio muhimu na siku chache baadae tunaambiwa faida zake?? Shilingi elfu 20 imlipie bima ya afya mtu kwa mwaka - kweli??? Ona aibu!!

Mimi sio chadema wala sina mrengo wa kisiasa. I try to make sense of things I hear and this is one big lie!!
Sisi tunakopa na tunajua maendeleo hayana vyama. Tunatumia vitambulisho vya wajasiriamali kuunda vikundi
View attachment 1585861
 
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM

Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Wewe sio mjasiriamali unalalamika nini? Sisi tuko Chadema lakini ni wajasiriamali na vinatusaidia kupata mikopo.
Screenshot_20200930-184934.jpg
 
Back
Top Bottom