Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM aelezea faida za Kitambulisho cha Mjasiriamali

Kuna Benki inayoweza kukopesha kwa kitambulisho kisichokuwa na jina lako , picha yako na saini ? Inawezekana wanasiasa wamezoea kutudanganya lakini not to that extent, they should watch it !
 
Vinatumika kuunda vikundi vya wajasiriamali na wanachukua mikopo kama vikundi. Hivi vinakuwa kama uthibitisho kuwa wana kikundi ni wajasiriamali. Tatizo Chadema ni kupinga pinga tu. Hii haitusaidii

Kuna Watu wana Vitambulisho vya kila namna na hawana Sifa ya kukopesheka ,usione Watu kama mazuzu.
 
Vinatumika kuunda vikundi vya wajasiriamali na wanachukua mikopo kama vikundi. Hivi vinakuwa kama uthibitisho kuwa wana kikundi ni wajasiriamali. Tatizo Chadema ni kupinga pinga tu. Hii haitusaidii
Bila shaka hivyo vitakuwa vikundi vya mafundi Maiko!
 
Duuuu hata kama Watanzania wajinga siyo kwa staili hii Tanzania ina viongozi waongo ajabu
 
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM

Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Hiyo benki itakayotoa mikopo kwa kutumia vitambulisho vya umachinga ni ya fundi Maiko.
 
Hapa tuna zungumzia Vitambulisho ,Bank wana hitaji Dhamana na sio blah blah au unafikiri pana mmbadala wa Pesa zaidi kuweka bondi Mali !?
Dhamana ndio hicho kikundi,na lazima mthibitishe kama ni wajasiriamali. Na ni mikopo ya pesa ambazo sio uweke bond ya nyumba. Tumia akili wewe.
 
Vinatumika kuunda vikundi vya wajasiriamali na wanachukua mikopo kama vikundi. Hivi vinakuwa kama uthibitisho kuwa wana kikundi ni wajasiriamali. Tatizo Chadema ni kupinga pinga tu. Hii haitusaidii

Tulia wewe Zuzu la KIMATAGA. Kitambulisho hakina jina wala picha ya mhusika,hakuna anuani ya sehemu anayofanyia,wewe pamoja na akili zako za Kizuzu unaweza kuwapa mkopo wana kikundi kwa kutumia kitambulisho cha aina hiyo?

Yaani watu wanaweza kubadilisha hjvyo vitamvulisho wakaundi vikundi kumi wakachukulia mkopo. Mazuzu wa Lumumba mnashangilia hata bosi wenu akitoa ushuzi 😂 😂😂
 
Kelele hizi nadhani mkuu akiapishwa
Vitambulisho vitaboreshwa na vitakuwa dili kwa wajasiria mali
Alafu hata hivo kusema faida zake si kutengua kauli yake ya kuwa si lazima uchukue,
Ufipa mnapindisha sana tafsiri zenu
HAJALAZIMISHA MTU AWE NACHO, ILA MJASIRIAMALI LAZIMA ALIPE KODI
Ova
 
Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe. Theni ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?
Yani hawana aibu hata chembe ,wamekuwa waongo mpaka wamepitiliza
 
Alikana kuwa hicho kitambulisho siyo lazima ila baada ya kuambiwa kuwa amelegea na kuwa anacheza ngoma ya Lissu, ili kuua soo sasa hivi anadanganya kuwa kina faida sana including kukopa bank!
 
Hivi vitambulisho vinawasaidia sana wananchi wenye vipato duni, namuomba sana Mh. Rais aviendeleze vitambulisho hivi.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Ngoja Lissu amsikie atakoma na huo ujinga wake, ataenda kupumzika wiki kwa lazima.
 
Kwanza hakuna Benk inayokopesha fedha kwa dhamana ya kitambulisho tu. kuna vitu vingi vinasababisha kupata mkopo ikiwemo biashara na vitu vingine ambavyo vinaweza kukava mkopo wako ikiwa hukuweza kulipa fedha za Bank.
Kuna Benki inayoweza kukopesha kwa kitambulisho kisichokuwa na jina lako , picha yako na saini ? Inawezekana wanasiasa wamezoea kutudanganya lakini not to that extent, they should watch it !
 
Vinatumika kuunda vikundi vya wajasiriamali na wanachukua mikopo kama vikundi. Hivi vinakuwa kama uthibitisho kuwa wana kikundi ni wajasiriamali. Tatizo Chadema ni kupinga pinga tu. Hii haitusaidii
Unamaana vikoba ni benki, na bima ipo ya vicoba? Acha ushamba ukadhani wote washamba humu ebo?
 
Back
Top Bottom