wewe ndo unatetea nimekuambia lete ushahidi siyo unaandika uharo humu ,unatetea kitu we mwenyewe huna uhakika msione watu wajinga kama nye,mmekuwa misukule kila kitu unatetea yaani mmekuwa vilaza grade IKawaulize wanufaika wa mikopo wanakigamboni. Halafu ukishapata majibu ujifunze kuongea vitu unavyovijua sio kuongea ongea tuu
Alisemaga alivyoingia madarakani Sukari aliikuta ikiuzwa Kilo 1= Tsh. 5000,tangu pale nikawa namuona ni mtu wa saundi.Kawaulize wanufaika wa mikopo wanakigamboni. Halafu ukishapata majibu ujifunze kuongea vitu unavyovijua sio kuongea ongea tuu
Upunguze jazba usije kufa burewewe ndo unatetea nimekuambia lete ushahidi siyo unaandika uharo humu ,unatetea kitu we mwenyewe huna uhakika msione watu wajinga kama nye,mmekuwa misukule kila kitu unatetea yaani mmekuwa vilaza grade I
Bado nasubiri anitajie jina la bank.wewe ndo unatetea nimekuambia lete ushahidi siyo unaandika uharo humu ,unatetea kitu we mwenyewe huna uhakika msione watu wajinga kama nye,mmekuwa misukule kila kitu unatetea yaani mmekuwa vilaza grade I
hata kujibu hajibu tena yaani hawanaga aibu kutetea kila ujinga wanaoambiwa jiwe ,jiwe ni mwongo alishazoelekaBado nasubiri anitajie jina la bank.
nimekuambia ulete jibu usilete blabla za kijingaUpunguze jazba usije kufa bure
Hahah umemnyoshoosha aisee.hata kujibu hajibu tena yaani hawanaga aibu kutetea kila ujinga wanaoambiwa jiwe ,jiwe ni mwongo alishazoeleka
Nenda kigamboni na kitambulisho cha mmachinga upewe taratibu za mkoponimekuambia ulete jibu usilete blabla za kijinga
nimekuuliza bank gani?we kilaza mbona huelewi swaliNenda kigamboni na kitambulisho cha mmachinga upewe taratibu za mkopo
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM
Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Benki inawakopesha kwa dhamana ya vitambulisho vya umachinga?Hujui maisha wewe mtoto wa mama. Mnaunda kikundi cha watu watano mnaofahamiana ili iwe rahisi kupatikana. Na benki inawakopesha.
ππππAcheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe. Theni ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?