Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 999
- 1,683
Alikuwa Dodoma kwenye kikao cha Wakurugenzi pamoja na Magufuli kupanga mipango ya kupora kura za Wananchi maana hawana namna nyingine ya kubaki madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashkolo mageniKatika hali ya kushangaza na kusuasua kwa kampeni za CCM bara na visiwani , Jana mgombea wa urais wa Zanzibar Hussein Mwinyi hakutokea kwenye mkutano wa hadharani Bububu, watu wanaulizana kulikoni?
View attachment 1582306
Hakuna shekhe hata mmoja anaetangazaa kondom ktk maulidi ya kumswalia mtumeSi mtoto wa Shehe huyo?
Nasikia tu aliachiwa msikiti, ilikuwa wapi? mwenye video aweke nione. Maana niliona video moja yupo msikitini na watu wapoSasa mkuu huyu ndugu atapitia wapi ? Watu walimwachia na msikiti?
Hivi huko Akina Zuchu hawafiki?.Mgombea was CCM Zanzibar baada ya kuona hapati watu kwenye mikutano yake amejidai eti anafanya kampeni za nyumba kwa nyumba kumbe anakwepa aibu ya kukosa watu kwenye mikutano yake . Ila Wazanzibar Mungu atawalipa kwa hiki mlichofanya hamna unafiki kabisa nyeupe mnaita nyeupe , nyeusi nyeusi .
yaani upo hapo chato unabishana na sisi tuliopo zenji? taahira kweliSasa zanziba gani unaongelea?
Hali ya maalim sio nzuri kisha mnajifariji
Akiri zennu ni shida.
Watu walitoka msikiti mzima wakasema hawawezi kuswali na mnafiki .Nasikia tu aliachiwa msikiti, ilikuwa wapi? mwenye video aweke nione. Maana niliona video moja yupo msikitini na watu wapo
ccm imekata pumziKatika hali ya kushangaza na kusuasua kwa kampeni za CCM bara na visiwani , Jana mgombea wa urais wa Zanzibar Hussein Mwinyi hakutokea kwenye mkutano wa hadharani Bububu, watu wanaulizana kulikoni?
View attachment 1582306
Kwani wanataka kujitoa?Labda anasubir maamuzi kutoka Dodoma!
Babaake nani ?Mmoja akiwemo baba ake ndiye aliyetoa maneno ya kashifa
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Magari yote ya kubebea raia kuwajaza mikutanoni yapo kwa jiwe kule bara🤣Katika hali ya kushangaza na kusuasua kwa kampeni za CCM bara na visiwani , Jana mgombea wa urais wa Zanzibar Hussein Mwinyi hakutokea kwenye mkutano wa hadharani Bububu, watu wanaulizana kulikoni?
View attachment 1582306
Na wenyewe wapo bize na kibano chao. Mshika mbili moja.......Mtaka yote kwa pupa.......Wachague kusuka au kunyoa.Sijui CCM Bara mwaka huu watakuja na santuri ipi kuiokoa Zanzibar baada ya ile hat-trick ya 2015?
Akiri sio ?Sasa zanziba gani unaongelea?
Hali ya maalim sio nzuri kisha mnajifariji
Akiri zennu ni shida.