Zanzibar 2020 Mgombea Urais Wa CCM Zanzibar Hussein Mwinyi Ashindwa Kutokea Kwenye Kampeni Bububu

Zanzibar 2020 Mgombea Urais Wa CCM Zanzibar Hussein Mwinyi Ashindwa Kutokea Kwenye Kampeni Bububu

Katika hali ya kushangaza na kusuasua kwa kampeni za CCM bara na visiwani , Jana mgombea wa urais wa Zanzibar Hussein Mwinyi hakutokea kwenye mkutano wa hadharani Bububu, watu wanaulizana kulikoni?

View attachment 1582306
anasubiri huku bara kuna nati imekazwa sana na spana za Lisu mzee jiwe anahangaika nayo kuilegeza pale dodoma,kesho watajikongoja
 
huyu jamaa upepo umekata.

Maalim Seif ameshafanya mikutano 15 kwa uchache mpaka sasa, yeye ni mitatu tu. Na leo wanne kaingia mitini
 
Pengine mtalii katumia googlemap na hii ina matatizo kwa gari, hususan kama mitaa ya zenji huijuwi vizuri 😉
 
Imebidi tu nicheke ccm ni wanaharamu sana wanaweza wakalipua kisiwa tukose wote
Wamesema staff wa Serikali (polisi, vyombo vingine vya ulinzi etc) watapiga kura siku moja kabla eti ili kesho yake wawe busy kusimamia zoezi.

Hili sio bao la mkono tu.... yaani hapa CCM wamezama chumvini kabisa. Kura za siku ya pili zitatupwa na kuchomwa moto saa 3 asubuhi
 
hivi Kijana mkakamavu na Mzee aliekongoroka na kuchoka mwili na akili na alieshindwa uchaguzi kwa miaka sitini tangu uhuru ukiwa na akili zako timamu unachagua yupi?

hao wawili wakishindana kutimua mbio nani atashinda? wakishindana kick box nani ataua mwenzake? wakishindana kupiga kasia kutoka mchambawima kupitia mji Mkongwe, Nungwi kisha Kojani , Jang’ombe , Bububu, hadi mferejiwima nani atashinda? wakishindana kula pweza, uduvi, ngisi na chaza nani atamaliza bakuli kubwa? wakishindana kula urojo na mapembe nani ataibuka kidedea?

wakipiga push up mchangani nani atapiga nyingi?

hata hakuna haja kupiga kampeni kijana keshashinda kabla ya mechi!!

kijana anawaza kujenga nyumba ya familia, mzee anawaza kujenga nyumba yake peke yake tena huko Oman!!

wazenji tuchague kilicho bora!! Mzee hana maajabu tena kwanza ni kinyonga leo kavaa nyeupe kesho kijani!!
 
Katika hali ya kushangaza na kusuasua kwa kampeni za CCM bara na visiwani , Jana mgombea wa urais wa Zanzibar Hussein Mwinyi hakutokea kwenye mkutano wa hadharani Bububu, watu wanaulizana kulikoni?

View attachment 1582306
Mwinyi hana aiba ya uongozi, amezoea kubebbwa kwa hehma ya baba yake, lakini hata kuongoza familia ni ngumu, kampeni zake ni kama za kugombea uenyekiti wa mtaa, he is too low.
 
Back
Top Bottom