Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu kaahidi Bima ya Afya kwa wote

Norway wana SWF ya mifuko ya hifadhi ya jamii.
Rwanda wanafanya hii pia ya kuhakikisha kila raia anapata bima ya afya.
Wanafanya je wamefanikiwa kwa kiasi gani?
Je hizo nchi zina uchumi wa kiasi gani na zimekuwa kwenye stability ya uchmi kwa muda gani na zinafanya hayo tangu lini baada ya kuwa huru na kuwa na uchumi wa juu?
 
Wanafanya je wamefanikiwa kwa kiasi gani?
Je hizo nchi zina uchumi wa kiasi gani na zimekuwa kwenye stability ya uchmi kwa muda gani na zinafanya hayo tangu lini baada ya kuwa huru na kuwa na uchumi wa juu?
Rwanda ana uchumi wa Juu? Mkuu lolote linawezekana kma mnawekza Trillion 7+ kwa SGR unadhani ingewekwa kwenye SWF izungushwe ili iendeshe Bima bila hasara unadhani ingeshindikana?

Hapo piga hesabu ya opportunity cost... Pesa wanayotumia kugharamikia afya wataitumia kwa vitu vingine ambavyo serikali itakata kodi huko pia!! Masuala ya uchumi ni complex sana hakuna linaloshindikana ukiamua na kuweka nguvu zote huko!
 
Shule hazina walimu, hospitali hazina madaktari, ofisi nyingi za halmashauri hazina watumishi, mahakama hazina mahakimu na makarani.

Hizo zote ni ajira ambazo Magufuli kashindwa kuajiri kwa kufuja pesa za walipa kodi kujenga uwanja wa ndege kwao.
 
Iko kwa trump
 
Unaelewa maana ya bima wewe,
Hiyo SGR itawasaidia watu kufanya shughuli zao za kibiashara na kuweza kulipa bila wenyewe kwa kiwango wanachoweza kuliko kusubili bila ya bei nafuu ambayo kuna sehemu hutibiwi.
Ukizungumzia hayo mataifa makubwa kwenye miundi mbinu walishamaliza sasa ndo wanaboresha maisha ya watu wao.
 
Wapi nimesema SGR haifai? Nilichosema kma kuwekeza Trl 7 imewezekana je ndio mshindwe bima ambayo watu wanachangia kwa kuangalia income bracket?
Rwands kufikia 2016 zaidi ya 95% walikua na bima ya Afya. Najua utasema ni nchi ndogo.... Ila ambacho hujui tumewazidi GDP mara 7 ila ssi hatuna hta mkoa mmoja ambao coverage ya bima ni walau 50%!!

Hakuna linaloshindikana ukiamua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…