Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu kaahidi Bima ya Afya kwa wote

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu kaahidi Bima ya Afya kwa wote

Watu wengi hapa hamuelewi umuhimu wa economy of scale.

ukinunua sukari ya watu kumi. Kila mtu atatoa pesa kubwa kuliko ukinunua sujari ya watu milioni moja.

Bima nayo ni hivyo hivyo. Kama kila mtu atalipa bima, bei yake itashuka sana.

let assume bei ya chini itakuwa laki moja kwa mwaka kwa familia.
Katika nchi ya watu milioni karibu 60. Lets assume watu milioni 20 watalipa bima. Hii namba inakuja kwasababu Kuna familia Baba na mama wanafanya kazi Kwahiyo wote watakuwa na bima. Kuna watu ni single na wana Nina zao tu. Kuna watu baba na mama na watoto wanafanya kazi. Kwa hiyo kadirio la milioni 20 ni reasonable.

kila mtu akilipa average laki moja, hizo ni trilioni 2 ambazo ni zaidi ya bajeti ya wizara ya afya.
Lakini hapo kulingana na mishahara yao kuna watu watalipa milioni kwa bima ya mwaka. Wengine laki kadhaa na wa mwisho laki moja kwa mwaka.

serikali itawalipia wale wasio na uwezo. Kirahisi tu unapata trilioni tatu kwa mwaka. Je hiyo pesa haiwezi kuendesha huduma ya afya kwa mwaka?

Katika hizo trilioni tatu, serikali itatoa chini ya bilioni moja. Pesa nyingi itakuwa michango ya watu wenye kazi pamoja na biashara.
 
Lissu hajasema atamlipia kila mtu bima.

Kasema kila Mtanzania atakuwa na bima.

Wenye pesa watalipia wenyewe kama sasa. Ila kutokana na the economy of scale bei yake itakuwa chini kuliko sasa.

Wale wasio na uwezo ndio serikali itawalipia. Bima ya laki moja kwa mwaka kwa familia ya watu wanne Watanzania wengi wanaweza kulipa.

Bima ya afya kwa watu milioni 60!!
 
Tayari Magufuri na CCM yake wamedandia hii ahadi.Je unaweza tena kutoka hadharani kupinga kuwa ahadi hii ni ya uongo na CCM hawawezi kutekeleza?.
Kampeni za uchaguzi zishaanza.

Wagombea wanakatiza nyika sehemu mbalimbali za nchi kuzinadi sera zao. Wanatoa kila aina ya ahadi. ‘Mimi nitafanya hivi, nitafanya vile, nitafanya haya, nitafanya yale’.

Sasa mimi ni mmoja wa watu ambao huwa sitegemei mwanasiasa au mtu mwingine kuniboreshea maisha yangu. Naamini hilo jukumu linaanzia na kuishia kwangu mimi mwenyewe. Nimemsikia mgombea wa CHADEMA akitoa ahadi tele. Ahadi zinazowapagawisha misukule wake.

Moja ya ahadi anazotoa ni ile ya bima ya afya kwa wote. Yaani kila mtu, kila raia, eti awe na bima ya afya. Mimi si mtaalamu wa mambo ya bima wala mambo ya afya. Na wala sina ‘usomi’ wowote ule. Nimeishia kidato cha nne tu [emoji1787][emoji6]. Hivyo, huenda nikawa na uwezo mdogo wa kuelewa na kuchanganua mambo.

Katika ahadi zake hizo, sijasikia namna ambayo mgombea huyo wa CHADEMA ataweza kumpatia kila raia hiyo bima.

Hizo hela atazitoa wapi? Ataenda kuziomba kwa nchi hisani? Ataongeza viwango vya kodi ili kuongeza mapato yatayotumika kuileta hiyo bima? Au ataomba kwa Mungu atudondoshee hizo hela toka mbinguni?

Ahadi ni tele. Namna ya kuzifanikisha ahadi hizo, mpaka sasa ni sufuri!

Oh, na jingine ambalo sijamsikia kabisa akilizungumzia ni hili suala la Corona.

Kulikoni wewe mbeba maono wa CHADEMA? Ushakubali sasa kuwa Corona haipo? Au ushakubali kuwa ipo, lakini si hatari kama tulivyolishwa matango pori na Wazungu?

Manake we mwenyewe tokea urudi, zaidi ya mwezi sasa, huvai cha barakoa na wala hujitengi na jamii!

Unajichanganya kama ilivyo ada na sijakuona hata mara moja ukipiga chafya wala kukohoa.

Kwenye suala la Corona, hata kama huwezi kukiri kwa sauti, nahisi kimoyomoyo unakubaliana na jinsi Ngosha alivyoamua kukabiliana nalo[emoji6].

Sisi akina Ngosha hatukutishika. Mfano mimi, hakuna hata siku moja niliyojifungia ndani. Sijawahi kuvaa barakoa. Na bado nipo nadunda nikibeba maboksi tena yale mazito kwelikweli ilhali kuna watu eti mpaka leo hii wamejifungia ndani kama mwali.

Mangosha wa ukweli hawawezi kujifungia ndani wakiogopa mafua na kikohozi[emoji1548][emoji1548].
 
Lissu hajasema atamlipia kila mtu bima.

Kasema kila Mtanzania atakuwa na bima.

Wenye pesa watalipia wenyewe kama sasa. Ila kutokana na the economy of scale bei yake itakuwa chini kuliko sasa.

Wale wasio na uwezo ndio serikali itawalipia. Bima ya laki moja kwa mwaka kwa familia ya watu wanne Watanzania wengi wanaweza kulipa.
Kwa hizo mbinu za maendeleo walizonazo kwanini wameshindwa kujenga hata ofisi ya chama?
 
Kwa hizo mbinu za maendeleo walizonazo kwanini wameshindwa kujenga hata ofisi ya chama?
Kumbe wewe hutaki kuelewa bali unataka ubishi?

Kwanini CRDB na mapesa yao yote hayo hawajengi matawi yao na badala yake wanapanga branches zao?

Ukielewa hilo utajua kwanini Chadema hawajengi ofisi. Kuwa na assets sio always faida. Muulize hata Kimei atakupa jibu.
 
Kumbe wewe hutaki kuelewa bali unataka ubishi?

Kwanini CRDB na mapesa yao yote hayo hawajengi matawi yao na badala yake wanapanga branches zao?

Ukielewa hilo utajua kwanini Chadema hawajengi ofisi. Kuwa na assets sio always faida. Muulize hata Kimei atakupa jibu.
unajibu kitapeli tapeli tu au hujaelewa mantiki ya swali
 
Hiyo ya kiwanja cha ndege CH Charo, wakisema igawike kwa watanzania wote unadhni itakuwa sh ngapi kwa kila mtu?
Je itamsaidia kuishi hata kwa mwezi mmoja?
Tumia akiri dogo
Unafikili Tundu lisu akisema atulipie bima kila mtanzani kuna kazi ingine hapa inchini itafanyika?
Kila kitu kitasimama na hata pesa ya dawa itakosa, sasa unabaki na bima kisha dawa hamna.
CCM mna elimu ndogo sana, unaweza anzisha sovereign wealth fund ambapo pesa ikiingia humo inazungushwa kuongeza faida ila mfuko ujiendeshe bila kuathiri mapato ya serikali.
Mnaweza changa watu million 15 pool inatanuka then pesa inawekezwa trust me pesa inazaa wakati huo huo inatoa huduma.
Mfano REA mbona mlitengeneza tozo na imecover mradi kwa kiasi chake, hakuna kinachoshindikana na nikwambie tu crowd funding mnavyokuwa wengi ndio mchango unapungua. Na mnaweza sema mwaka wa kwanza unachanga tu then kuanzia 2nd year ndio huduma inatolewa!! Utakua umeraise kiasi gani?

Tuwe opitmistic kidogo mbona Rwanda huko masuala ya bima wamesogea sana ilihali wametoka vitani juzi tu
 
Kampeni za uchaguzi zishaanza.

Wagombea wanakatiza nyika sehemu mbalimbali za nchi kuzinadi sera zao. Wanatoa kila aina ya ahadi. ‘Mimi nitafanya hivi, nitafanya vile, nitafanya haya, nitafanya yale’.

Sasa mimi ni mmoja wa watu ambao huwa sitegemei mwanasiasa au mtu mwingine kuniboreshea maisha yangu. Naamini hilo jukumu linaanzia na kuishia kwangu mimi mwenyewe. Nimemsikia mgombea wa CHADEMA akitoa ahadi tele. Ahadi zinazowapagawisha misukule wake.

Moja ya ahadi anazotoa ni ile ya bima ya afya kwa wote. Yaani kila mtu, kila raia, eti awe na bima ya afya. Mimi si mtaalamu wa mambo ya bima wala mambo ya afya. Na wala sina ‘usomi’ wowote ule. Nimeishia kidato cha nne tu 🤣😉. Hivyo, huenda nikawa na uwezo mdogo wa kuelewa na kuchanganua mambo.

Katika ahadi zake hizo, sijasikia namna ambayo mgombea huyo wa CHADEMA ataweza kumpatia kila raia hiyo bima.

Hizo hela atazitoa wapi? Ataenda kuziomba kwa nchi hisani? Ataongeza viwango vya kodi ili kuongeza mapato yatayotumika kuileta hiyo bima? Au ataomba kwa Mungu atudondoshee hizo hela toka mbinguni?

Ahadi ni tele. Namna ya kuzifanikisha ahadi hizo, mpaka sasa ni sufuri!

Oh, na jingine ambalo sijamsikia kabisa akilizungumzia ni hili suala la Corona.

Kulikoni wewe mbeba maono wa CHADEMA? Ushakubali sasa kuwa Corona haipo? Au ushakubali kuwa ipo, lakini si hatari kama tulivyolishwa matango pori na Wazungu?

Manake we mwenyewe tokea urudi, zaidi ya mwezi sasa, huvai cha barakoa na wala hujitengi na jamii!

Unajichanganya kama ilivyo ada na sijakuona hata mara moja ukipiga chafya wala kukohoa.

Kwenye suala la Corona, hata kama huwezi kukiri kwa sauti, nahisi kimoyomoyo unakubaliana na jinsi Ngosha alivyoamua kukabiliana nalo😉.

Sisi akina Ngosha hatukutishika. Mfano mimi, hakuna hata siku moja niliyojifungia ndani. Sijawahi kuvaa barakoa. Na bado nipo nadunda nikibeba maboksi tena yale mazito kwelikweli ilhali kuna watu eti mpaka leo hii wamejifungia ndani kama mwali.

Mangosha wa ukweli hawawezi kujifungia ndani wakiogopa mafua na kikohozi💪🏿💪🏿.
Nacheka sana kila ninapobahatika kusikiliza hotuba za Tundu Antipasi Lissu, bima ya Afya maana yake ukatibiwe bure, pesa ya kununulia madawa atato wapi?? Haihitaji nguvu hii kuipangua
 
We ushasikia hizo ahadi atazifanikishaje? Hela za bima ya afya kwa watu wote atazitoa wapi? Atazichapisha labda?
Kama ulivyo sema, ni kweli! Una ufahamu kiduchu kuhusu Bima! Anaye pewa Bima analipa yeye pesa, haina tofauti na Bima ya magari. Mimi nimelipa Bima ya gari miaka 10 sasa, na sijawai kupata tatizo lolote la gari la kufanya Bima yangu inilipe.
Bima ya afya kwa Watanzania wote, itaendeshwa kwa kutibu watakao ugua, ambao siyo hata robo ya waliokata Bima! Bima inajiendesha kwa makati ya wateja, umewapa watu milioni 10 Bima, wanaugua laki moja. Pia unatoa pesa kidogo, lakini ukipata tatizo kubwa unatibiwa kwa pesa nyingi, usipo pata tatizo, pesa yako inakua sehemu ya kuendesha Bima firm!
 
Manake we mwenyewe tokea urudi, zaidi ya mwezi sasa, huvai cha barakoa na wala hujitengi na jamii!. LISU HAKUWEPO NDANI YA NCHI. ALIZUNGUMZIA COVID-19 AKIWA KWA MABWANA ZAKE, KWA KUELEZWA NA MABWANA ZAKE AMBAO LEO HII NDO WANAITUMA KENYA KUITANGAZA TANZANIA KUWA INA HALI MBAYA YA COVID-19 WAKATI WAPO KENYA.

AKILI ZA WAZUNGU ZA AJABU. HUWEZA KUSHUPALIA JAMBO WAKATI HALIPO KWA KIWANGO HICHO. LEO UNICEF HAWATAKI KUKIRI KUWA TZ TUKO SALAMA KISA NI MASKINI.
Mko salama wakati hampimi ! Mara ya mwisho kupima ni lini? Au unataka watangaze mko salama based on what?
 
Hiyo ya kiwanja cha ndege CH Charo, wakisema igawike kwa watanzania wote unadhni itakuwa sh ngapi kwa kila mtu?
Je itamsaidia kuishi hata kwa mwezi mmoja?
Tumia akiri dogo
Unafikili Tundu lisu akisema atulipie bima kila mtanzani kuna kazi ingine hapa inchini itafanyika?
Kila kitu kitasimama na hata pesa ya dawa itakosa, sasa unabaki na bima kisha dawa hamna.
Ndugu mataga, umemwelewa kweli Lissu?
 
Kampeni za uchaguzi zishaanza.

Wagombea wanakatiza nyika sehemu mbalimbali za nchi kuzinadi sera zao. Wanatoa kila aina ya ahadi. ‘Mimi nitafanya hivi, nitafanya vile, nitafanya haya, nitafanya yale’.

Sasa mimi ni mmoja wa watu ambao huwa sitegemei mwanasiasa au mtu mwingine kuniboreshea maisha yangu. Naamini hilo jukumu linaanzia na kuishia kwangu mimi mwenyewe. Nimemsikia mgombea wa CHADEMA akitoa ahadi tele. Ahadi zinazowapagawisha misukule wake.

Moja ya ahadi anazotoa ni ile ya bima ya afya kwa wote. Yaani kila mtu, kila raia, eti awe na bima ya afya. Mimi si mtaalamu wa mambo ya bima wala mambo ya afya. Na wala sina ‘usomi’ wowote ule. Nimeishia kidato cha nne tu 🤣😉. Hivyo, huenda nikawa na uwezo mdogo wa kuelewa na kuchanganua mambo.

Katika ahadi zake hizo, sijasikia namna ambayo mgombea huyo wa CHADEMA ataweza kumpatia kila raia hiyo bima.

Hizo hela atazitoa wapi? Ataenda kuziomba kwa nchi hisani? Ataongeza viwango vya kodi ili kuongeza mapato yatayotumika kuileta hiyo bima? Au ataomba kwa Mungu atudondoshee hizo hela toka mbinguni?

Ahadi ni tele. Namna ya kuzifanikisha ahadi hizo, mpaka sasa ni sufuri!

Oh, na jingine ambalo sijamsikia kabisa akilizungumzia ni hili suala la Corona.

Kulikoni wewe mbeba maono wa CHADEMA? Ushakubali sasa kuwa Corona haipo? Au ushakubali kuwa ipo, lakini si hatari kama tulivyolishwa matango pori na Wazungu?

Manake we mwenyewe tokea urudi, zaidi ya mwezi sasa, huvai cha barakoa na wala hujitengi na jamii!

Unajichanganya kama ilivyo ada na sijakuona hata mara moja ukipiga chafya wala kukohoa.

Kwenye suala la Corona, hata kama huwezi kukiri kwa sauti, nahisi kimoyomoyo unakubaliana na jinsi Ngosha alivyoamua kukabiliana nalo😉.

Sisi akina Ngosha hatukutishika. Mfano mimi, hakuna hata siku moja niliyojifungia ndani. Sijawahi kuvaa barakoa. Na bado nipo nadunda nikibeba maboksi tena yale mazito kwelikweli ilhali kuna watu eti mpaka leo hii wamejifungia ndani kama mwali.

Mangosha wa ukweli hawawezi kujifungia ndani wakiogopa mafua na kikohozi💪🏿💪🏿.
Tazama sukuma puuzi hili kama korosho sijui lisingekua ulaya lingekua kama zombie.....ushuzi mtupu
 
CCM mna elimu ndogo sana, unaweza anzisha sovereign wealth fund ambapo pesa ikiingia humo inazungushwa kuongeza faida ila mfuko ujiendeshe bila kuathiri mapato ya serikali.
Mnaweza changa watu million 15 pool inatanuka then pesa inawekezwa trust me pesa inazaa wakati huo huo inatoa huduma.
Mfano REA mbona mlitengeneza tozo na imecover mradi kwa kiasi chake, hakuna kinachoshindikana na nikwambie tu crowd funding mnavyokuwa wengi ndio mchango unapungua. Na mnaweza sema mwaka wa kwanza unachanga tu then kuanzia 2nd year ndio huduma inatolewa!! Utakua umeraise kiasi gani?

Tuwe opitmistic kidogo mbona Rwanda huko masuala ya bima wamesogea sana ilihali wametoka vitani juzi tu
Nchi gani ilishifanya hilo?
Tundu tu kasem huko uberigiji ilibidi alipe bila Dara Mia mbili na usher ni sawa na lakisaba na usher,
je Bibi yako kujijini nani atamlipia hiyo hapa TS kama bila ya 50000 bado ni shida?
 
Selikali ya CCM inadhurumu watanzania.
Bima ya Afya ninayo nakatwa kwenye mshara wangu. Lakini nikienda hospital Hakuna Dawa, hakuna vifaa tiba, hakuna Madaktari, glaves ni aibu sana kwa kweli. Unaelekezwa duka unalopaswa kwenda kununua hivyo fifaa na dawa.

Bila matibabu Bima ya Afya ni mzigo.
Mie siajawahi kununua dawa toka nimekua na bima ya NHIF.
hata Kama dawa isipokuwepo hospital huwa napewa karatasi naenda maduka ya dawa napewa dawa bure kabisa.
Wewe unaonewa sana Kama unabima ya NHIF na dawa unanunua kuna tatizo Mahali.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Nimesikia jiwe naye kadandia hiyo sera
Sio kadandia iko kwenye ilani ya CCM ukurasa wa 136
Nanukuu
"Kuimarisha mfumo wa bima ya afya nchini ikiwemo mifuko ya bima
za afya (NHIF na CHF) ili kufikia lengo la Serikali la kuwa na bima ya afya kwa wananchi wote;"

Tunashukuru wagombea wameona suala hili la bima ni muhimu.

Naomba mwenye ilani ya CDM aniPM sijafanikiwa kuipata wakuu.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Nchi gani ilishifanya hilo?
Tundu tu kasem huko uberigiji ilibidi alipe bila Dara Mia mbili na usher ni sawa na lakisaba na usher,
je Bibi yako kujijini nani atamlipia hiyo hapa TS kama bila ya 50000 bado ni shida?
Norway wana SWF ya mifuko ya hifadhi ya jamii.
Rwanda wanafanya hii pia ya kuhakikisha kila raia anapata bima ya afya.
 
Back
Top Bottom