Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu kaahidi Bima ya Afya kwa wote

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu kaahidi Bima ya Afya kwa wote

Lissu hawezi kuwa Rais wa JMT, labda akagombee kwa mabeberu hukooo![emoji23]
 
Rwanda: the beacon of Universal Health Coverage in Africa

Sikatai wao huita Mutuelle kwani wenye uwezo wa kulipa hulipia hiyo UHC na waso na uwezo husaidiwa na serikali kulipia gharama za afya.

Ni suala la umakini kwenye matumizi ya fedha za serikali ndo maana wanaweza kutenga fedha za kuwasaidia waso na uwezo.

Na ndicho ambacho kinafanywa hata na serikali ya CCM inakusanya kodi na hayo makato kisha waboresha huduma za afya na kuwasadia wananchi khasa watoto na wazee ambao sasa hivi hawalipi gharama za matibabu kwani ni bure.

Ndo maana wanataka angalau kila kata sasa hivi iwe pana kazahanati na tabibu wa kuhudumia na MSD inahakikisha dawa zafika pale.

Rwanda walianza mbali na ndo wanafikisha dawa huko vijini kwa kutumia "Drones"
 
Kampeni za uchaguzi zishaanza.

Wagombea wanakatiza nyika sehemu mbalimbali za nchi kuzinadi sera zao.

Wanatoa kila aina ya ahadi. ‘Mimi nitafanya hivi, nitafanya vile, nitafanya haya, nitafanya yale...’.

Sasa mimi ni mmoja wa watu ambao huwa sitegemei mwanasiasa au mtu mwingine kuniboreshea maisha yangu.

Naamini hilo jukumu linaanzia na kuishia kwangu mimi mwenyewe.

Nimemsikia mgombea wa CHADEMA akitoa ahadi tele. Ahadi zinazowapagawisha misukule wake.

Moja ya ahadi anazotoa ni ile ya bima ya afya kwa wote. Yaani kila mtu, kila raia, eti awe na bima ya afya.

Mimi si mtaalamu wa mambo ya bima wala mambo ya afya. Na wala sina ‘usomi’ wowote ule. Nimeishia kidato cha nne tu 🤣😉. Hivyo, huenda nikawa na uwezo mdogo wa kuelewa na kuchanganua mambo.

Katika ahadi zake hizo, sijasikia namna ambayo mgombea huyo wa CHADEMA ataweza kumpatia kila raia hiyo bima.

Hizo hela atazitoa wapi? Ataenda kuziomba kwa nchi hisani? Ataongeza viwango vya kodi ili kuongeza mapato yatayotumika kuileta hiyo bima? Au ataomba kwa Mungu atudondoshee hizo hela toka mbinguni?

Ahadi ni tele. Namna ya kuzifanikisha ahadi hizo, mpaka sasa ni sufuri!

Oh, na jingine ambalo sijamsikia kabisa akilizungumzia ni hili suala la Corona.

Kulikoni wewe mbeba maono wa CHADEMA? Ushakubali sasa kuwa Corona haipo? Au ushakubali kuwa ipo, lakini si hatari kama tulivyolishwa matango pori na Wazungu?

Manake we mwenyewe tokea urudi, zaidi ya mwezi sasa, huvai cha barakoa na wala hujitengi na jamii!

Unajichanganya kama ilivyo ada na sijakuona hata mara moja ukipiga chafya wala kukohoa.

Kwenye suala la Corona, hata kama huwezi kukiri kwa sauti, nahisi kimoyomoyo unakubaliana na jinsi Ngosha alivyoamua kukabiliana nalo😉.

Sisi akina Ngosha hatukutishika. Mfano mimi, hakuna hata siku moja niliyojifungia ndani. Sijawahi kuvaa barakoa. Na bado nipo nadunda nikibeba maboksi tena yale mazito kwelikweli ilhali kuna watu eti mpaka leo hii wamejifungia ndani kama mwali.

Mangosha wa ukweli hawawezi kujifungia ndani wakiogopa mafua na kikohozi💪🏿💪🏿.

Bima bure,
Kupunguza kodi,
Kuongeza mishahara
Kulipa pesa ambazo hazikulipwa kwa miaka mitano za kupandisha mishahala
Kulipa fidia watu wote waliobomolewa
Kulipa watu vyeti fake

Hoja kuu hizo pesa zitatokana ni chanzo kipi?
Je ataenda kuongeza deni la taifa wakati kila siku wanasema deni ni kubwa?

Je atapunguza kodi za wawekezaji na madini ili.kuweka mahusiano ya kimataifa na kodi itapungua hivyo bajeti yake itatokana na nini?
Ni wapi atapata kodi wakati inabidi aipunguze?
Jambo hili la kutumia akiri sana kwa huyu mgombea,
Ameona watanzania wote anweza kuwadanganya kwa sasa?

Mwenye kuweza kujibu haya amsaidie kujibu, hiyo pesa atatoa wapi?
 
Bima bure,
Kupunguza kodi,
Kuongeza mishahara
Kulipa pesa ambazo hazikulipwa kwa miaka mitano za kupandisha mishahala
Kulipa fidia watu wote waliobomolewa
Kulipa watu vyeti fake

Hoja kuu hizo pesa zitatokana ni chanzo kipi?
Je ataenda kuongeza deni la taifa wakati kila siku wanasema deni ni kubwa?

Je atapunguza kodi za wawekezaji na madini ili.kuweka mahusiano ya kimataifa na kodi itapungua hivyo bajeti yake itatokana na nini?
Ni wapi atapata kodi wakati inabidi aipunguze?
Jambo hili la kutumia akiri sana kwa huyu mgombea,
Ameona watanzania wote anweza kuwadanganya kwa sasa?

Mwenye kuweza kujibu haya amsaidie kujibu, hiyo pesa atatoa wapi?
Sera za Lissu hazitekelezeki aisee!!
 
Sikatai wao huita Mutuelle kwani wenye uwezo wa kulipa hulipia hiyo UHC na waso na uwezo husaidiwa na serikali kulipia gharama za afya.

Ni suala la umakini kwenye matumizi ya fedha za serikali ndo maana wanaweza kutenga fedha za kuwasaidia waso na uwezo.

Na ndicho ambacho kinafanywa hata na serikali ya CCM inakusanya kodi na hayo makato kisha waboresha huduma za afya na kuwasadia wananchi khasa watoto na wazee ambao sasa hivi hawalipi gharama za matibabu kwani ni bure.

Ndo maana wanataka angalau kila kata sasa hivi iwe pana kazahanati na tabibu wa kuhudumia na MSD inahakikisha dawa zafika pale.

Rwanda walianza mbali na ndo wanafikisha dawa huko vijini kwa kutumia "Drones"

..mimi naamini deep in your hearts mnaelewa manufaa ya UHC.

..lakini mna tatizo lenu binafsi na Tundu Lissu.
 
Msukule ni baba ako na mama ako walioshindwa kukutunza ukakimbilia marekani kwenda kubeba box.

Wewe mbeba box utawashauri Nini watanzania.? Maisha yako tu mtihani.

Elimu bure ndio nyie wapumbavu mlisema haiwezekani? Leo ni bilion 22 tu kwa mwezi kwa nchi inayokusanya trion 1 kwa mwezi..

Bima wapi Lissu amesema atatoa bima bure? Lissu alisema ataleta bima na atahakikisha zinakuwa zenye ufanisi sio za Sasa za kulipa laki 190


Halafu unaambiwa dawa hakuna upumbavu mtupu kweli ukiwa CCM unakuwa mpumbabu Sana .

Swala gani halitekelezeki la TRA kufumuliwa? Na kuanzisha Kodi moja bandalini ambayo Ni 10% ya mzigo unaoagizwa..

Maana ya kupunguza Kodi Ni kuuza Sana kama tulikuwa tunatoza Kodi 50% ya bidhaa zinazoingia nchini ikashushwa mpaka 10% it means tutahakikisha tunaongeza uingizwaji wa mizigo kwa 40% ili kuendana na mapato Yale Yale bila kuwaumiza wafanyabiashara.

Ccm mnaona kwamba vitu havitekelezeki kwa sababu mliishi kwa uongo na upumbavu na ndio nyie mnaowafanya watanzania misukule .


Muache kuwa wapumbavu na kuita watu misukule wakati nyie ndio misukule.
Badala ya kutoa hili povu ungekuja na analysis za hizo ahadi za Lisu kwamba hela atatoa wapi?
.
Vinginevyo umusukule wako uko palepale
 
Watu wenye upeompana wa ufahamu wa mambo wanataka Lissu afafanue fedha za mambo yote anayoahidi anazitoa wapi kama ni kodi basi aseme.
kama JPM kashindwa kuongeza ajira yeye Lissu ataongeza ajira atazitoa wapi?.sio kupayuka tu kama anakula ugali na mrenda.
Mkuu kwa hili ACT wako serious zaidi ha huyu Lisu.
 
Sera za Lissu hazitekelezeki aisee!!
Hata ya elimu bure mlisema vivyo hivyo,mwisho wa siku nini kimetokea!?
Wewe wakati ule nani angeamini kuwa ungeendelea na kale kamchezo ulichokuwa unafanyiwa "at the hill"!?
 
Hizo hela atazitoa wapi? Ataenda kuziomba kwa nchi hisani? Ataongeza viwango vya kodi ili kuongeza mapato yatayotumika kuileta hiyo bima? Au ataomba kwa Mungu atudondoshee hizo hela toka mbinguni?
Swali la kipumbavu kutoka kwa mtu mpumbavu!
 
Kampeni za uchaguzi zishaanza.

Wagombea wanakatiza nyika sehemu mbalimbali za nchi kuzinadi sera zao.

Wanatoa kila aina ya ahadi. ‘Mimi nitafanya hivi, nitafanya vile, nitafanya haya, nitafanya yale...’.

Sasa mimi ni mmoja wa watu ambao huwa sitegemei mwanasiasa au mtu mwingine kuniboreshea maisha yangu.

Naamini hilo jukumu linaanzia na kuishia kwangu mimi mwenyewe.

Nimemsikia mgombea wa CHADEMA akitoa ahadi tele. Ahadi zinazowapagawisha misukule wake.

Moja ya ahadi anazotoa ni ile ya bima ya afya kwa wote. Yaani kila mtu, kila raia, eti awe na bima ya afya.

Mimi si mtaalamu wa mambo ya bima wala mambo ya afya. Na wala sina ‘usomi’ wowote ule. Nimeishia kidato cha nne tu [emoji1787][emoji6]. Hivyo, huenda nikawa na uwezo mdogo wa kuelewa na kuchanganua mambo.

Katika ahadi zake hizo, sijasikia namna ambayo mgombea huyo wa CHADEMA ataweza kumpatia kila raia hiyo bima.

Hizo hela atazitoa wapi? Ataenda kuziomba kwa nchi hisani? Ataongeza viwango vya kodi ili kuongeza mapato yatayotumika kuileta hiyo bima? Au ataomba kwa Mungu atudondoshee hizo hela toka mbinguni?

Ahadi ni tele. Namna ya kuzifanikisha ahadi hizo, mpaka sasa ni sufuri!

Oh, na jingine ambalo sijamsikia kabisa akilizungumzia ni hili suala la Corona.

Kulikoni wewe mbeba maono wa CHADEMA? Ushakubali sasa kuwa Corona haipo? Au ushakubali kuwa ipo, lakini si hatari kama tulivyolishwa matango pori na Wazungu?

Manake we mwenyewe tokea urudi, zaidi ya mwezi sasa, huvai cha barakoa na wala hujitengi na jamii!

Unajichanganya kama ilivyo ada na sijakuona hata mara moja ukipiga chafya wala kukohoa.

Kwenye suala la Corona, hata kama huwezi kukiri kwa sauti, nahisi kimoyomoyo unakubaliana na jinsi Ngosha alivyoamua kukabiliana nalo[emoji6].

Sisi akina Ngosha hatukutishika. Mfano mimi, hakuna hata siku moja niliyojifungia ndani. Sijawahi kuvaa barakoa. Na bado nipo nadunda nikibeba maboksi tena yale mazito kwelikweli ilhali kuna watu eti mpaka leo hii wamejifungia ndani kama mwali.

Mangosha wa ukweli hawawezi kujifungia ndani wakiogopa mafua na kikohozi[emoji1548][emoji1548].
2010 CHADEMA,kupitia mgombea wao Dr Silaa,walikuja na Elimu bure kwa kila Mtanzania anayetakiwa kupata Elimu, shule za sekondari kila kata,mlibisha kwa mistari mirefu Kama Hii,baadae mlianza kutekeleza hayo yote japo kwa wrong way
 
ukitaka CCM wahare damu gusia swala la kuwapa wananchi hasa wazee na walemavu bima ya afya na swala la kuwaongezea mishahara wafanyakazi ambao wameteswa na CCM kwa miaka 5 bila kuongezewa mishahara.
Hata hela za kuongeza mishahara mataahira ya Lumumba yatauliza zitatoka wapi?
 
Badala ya kutoa hili povu ungekuja na analysis za hizo ahadi za Lisu kwamba hela atatoa wapi?
.
Vinginevyo umusukule wako uko palepale
Makamanda hawatumii akili hata kidogo. Wao ni hisia tu.
 
Watu wenye upeompana wa ufahamu wa mambo wanataka Lissu afafanue fedha za mambo yote anayoahidi anazitoa wapi kama ni kodi basi aseme.
kama JPM kashindwa kuongeza ajira yeye Lissu ataongeza ajira atazitoa wapi?.sio kupayuka tu kama anakula ugali na mrenda.
Tanzania ya viwanda ulielezwa kwa push up,na ukashangilia
 
..mimi naamini deep in your hearts mnaelewa manufaa ya UHC.

..lakini mna tatizo lenu binafsi na Tundu Lissu.

Kuiwezesha UHC unatakiwa ueleze utaipatia fedha ama zinazotokana na kodi au zinazotokana na bima za afya.

Hivyo ili uwe na "best UHC" ni lazima ueleze fedha za kuiendesha bila wananchi kuchangishwa chochote yaani bure utazipata wapi.

Kwa mfano Brazil na Uingereza ndizo nchi mbili pekee duniani ambazo zina best NHS zinazoendeshwa kwa kutumia kodi za wananchi na kiasi fulani cha makato ya bima.

Ukisema ni bure basi ni kwa kila raia wa Tanzania ambae anatakiwa kuwa registered kwenye system na si vinginevyo.

Na hata wao (hizi nchi mbili) si kila kitu ni bure kuna huduma kama za macho, meno na kununua dawa ni lazima ulipie.

Kuna mtu kaniambia pale UK kupima macho sasa hivi ni pauni 25.

Suali laja unaposema itakuwa ni bure ni kwa vipi?
 
Kampeni za uchaguzi zishaanza.

Wagombea wanakatiza nyika sehemu mbalimbali za nchi kuzinadi sera zao.

Wanatoa kila aina ya ahadi. ‘Mimi nitafanya hivi, nitafanya vile, nitafanya haya, nitafanya yale...’.

Sasa mimi ni mmoja wa watu ambao huwa sitegemei mwanasiasa au mtu mwingine kuniboreshea maisha yangu.

Naamini hilo jukumu linaanzia na kuishia kwangu mimi mwenyewe.

Nimemsikia mgombea wa CHADEMA akitoa ahadi tele. Ahadi zinazowapagawisha misukule wake.

Moja ya ahadi anazotoa ni ile ya bima ya afya kwa wote. Yaani kila mtu, kila raia, eti awe na bima ya afya.

Mimi si mtaalamu wa mambo ya bima wala mambo ya afya. Na wala sina ‘usomi’ wowote ule. Nimeishia kidato cha nne tu [emoji1787][emoji6]. Hivyo, huenda nikawa na uwezo mdogo wa kuelewa na kuchanganua mambo.

Katika ahadi zake hizo, sijasikia namna ambayo mgombea huyo wa CHADEMA ataweza kumpatia kila raia hiyo bima.

Hizo hela atazitoa wapi? Ataenda kuziomba kwa nchi hisani? Ataongeza viwango vya kodi ili kuongeza mapato yatayotumika kuileta hiyo bima? Au ataomba kwa Mungu atudondoshee hizo hela toka mbinguni?

Ahadi ni tele. Namna ya kuzifanikisha ahadi hizo, mpaka sasa ni sufuri!

Oh, na jingine ambalo sijamsikia kabisa akilizungumzia ni hili suala la Corona.

Kulikoni wewe mbeba maono wa CHADEMA? Ushakubali sasa kuwa Corona haipo? Au ushakubali kuwa ipo, lakini si hatari kama tulivyolishwa matango pori na Wazungu?

Manake we mwenyewe tokea urudi, zaidi ya mwezi sasa, huvai cha barakoa na wala hujitengi na jamii!

Unajichanganya kama ilivyo ada na sijakuona hata mara moja ukipiga chafya wala kukohoa.

Kwenye suala la Corona, hata kama huwezi kukiri kwa sauti, nahisi kimoyomoyo unakubaliana na jinsi Ngosha alivyoamua kukabiliana nalo[emoji6].

Sisi akina Ngosha hatukutishika. Mfano mimi, hakuna hata siku moja niliyojifungia ndani. Sijawahi kuvaa barakoa. Na bado nipo nadunda nikibeba maboksi tena yale mazito kwelikweli ilhali kuna watu eti mpaka leo hii wamejifungia ndani kama mwali.

Mangosha wa ukweli hawawezi kujifungia ndani wakiogopa mafua na kikohozi[emoji1548][emoji1548].
Logically kama mtu aliweza kuahidi milion 50 kwa kila kijiji laptop kwa kila mwalimu ni jambo rahisi kwa mh. Tundu lisu kutekeleza Bima kwa kila raia. Na kama nchi inauwezo wa kulipa pesa ya kustaafu wabunge zaidi ya million 200 X majimbo zaidi ya 200 pesa ya kustaafu inashindwaje bima
Ukijua ni kiasi gani cha pesa kinatolewa bure cash transfer kwa TASAF inashindikanaje kuwafanyia jambo jema kama hili wananchi wako
Inawezekana kabsa usitie hofu
 
Back
Top Bottom