Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa chama kimoja aweza muunga mkono mgombea urais wa chama kingine tofauti bila ridhaa ya Mkutano Mkuu wa chama chake?

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa chama kimoja aweza muunga mkono mgombea urais wa chama kingine tofauti bila ridhaa ya Mkutano Mkuu wa chama chake?

Ukisikia udikteta ndio huu sasa.

Kwa mujibu wa katiba za Chadema na ACT - Wazalendo maamuzi yote makubwa na muhimu yanatolewa na vikao halali vya chama kama kamati kuu, halmashauri kuu, mkutano mkuu nk...
Taja kwa bayana Ibara ya Katiba ya ACT- Wazalendo ambayo Maalim Seif Sharrif Hamad amevunja kwa kumuunga mkono Tundu Lissu vinginevyo maneno yako ni umbea na majungu katika macho ya sheria.

Pia, taja kwa bayana Ibara ya Katiba ya Chadema ambayo Tundu Lissu amevunja kwa kumuunga mkono Maalim Seif Sharrif Hamad vinginevyo maneno yako ni umbea na majungu katika macho ya sheria.

Mwanasheria yoyote ambaye ni professionally competent na anaheshimu taaluma yake atakwambia hivi hivi kama nilivyosema mimi.
 
Kuna maajabu yanayovunja katiba za vyama kwenye uchaguzi huu mkuu.

Tumeona Lisu Makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA na mgombea uraisi kupitia Chadema akitoa tamko kuwa anamuunga mkono Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif wa Act wazalendo....
Acha uongo webwege hawajasema wanachama wavyama vyao waungane ispokuwa kila moja amesema anamuunga mkono mwenzie tulieni mpate moto mmeanza kuhaha hampati pakutokea
 
Taja kwa bayana Ibara ya Katiba ya ACT- Wazalendo ambayo Maalim Seif Sharrif Hamad amevunja kwa kumuunga mkono Tundu Lissu vinginevyo maneno yako ni umbea na majungu katika macho ya sheria.

Pia, taja kwa bayana Ibara ya Katiba ya Chadema ambayo Tundu Lissu amevunja kwa kumuunga mkono Maalim Seif Sharrif Hamad vinginevyo maneno yako ni umbea na majungu katika macho ya sheria.

Mwanasheria yoyote ambaye ni professionally competent na anaheshimu taaluma yake atakwambia hivi hivi kama nilivyosema mimi.
Kwa hiyo mfano Lisu akisema anamuunga mkono Magufuli itakuwa sawa?
 
Mbona tlp, ccm, nccr na cuf wameungana kwa matamko ya wenyeviti wao tu. Tupe ushahidi kua kuna vikao vilikaliwa na wanaccm wakabariki umoja huu
 
Ninachohoji kwa mujibu wa katiba za vyama vyao hayo maamuzi yalitakiwa kufanywa na kamati kuu na mikutano mikuu yao sio wao kujiamulia kwenye majukwaa!
Ungekata rufaa ingependeza
 
Kuna maajabu yanayovunja katiba za vyama kwenye uchaguzi huu mkuu.

Tumeona Lisu Makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA na mgombea uraisi kupitia Chadema akitoa tamko kuwa anamuunga mkono Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif wa Act wazalendo.

Pia tumeona Maalim SEIF Mwenyekiti wwa ACT wazalendo taifa akimuunga mkono Tundu Lissu.

Sina shida na kuungana mikono hata kuungana miguu ruksa.

Ninachohoji kwa mujibu wa katiba za vyama vyao hayo maamuzi yalitakiwa kufanywa na kamati kuu na mikutano mikuu yao sio wao kujiamulia kwenye majukwaa!

Ninaomba ufafanuzi kuhusu hili kutoka kwa wataalamu wa sheria na katiba liko sahihi? kama haliko sahihi nini kinatakiwa kufanyika?
Kwa mfano Membe ni Mgombea uraisi wa ACT wazalendo aliyepitishwa na vikao halali kuanzia kamati kuu hadi mkutano mkuu. Na kapoteza pesa zake za kuchukua fomu na gharama za kuzunguka nchi nzima kutafuta wadhamini na akaanza kugharimia kampeni zake leo mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Maalim Seif anasema hamtambui anamtambua Lissu.

Pia upande wa Zanzibar kuna mgombea uraisi kupitia Chadema Vikao vya chama vya kamati kuu na mkutano mkuu walimptisha Said Issa MOHAMED kuwa mgombea uraisi wa Zanzibar kaingia gharama za kuchukua fomu na kuzunguka nchi nzima ya zanzibar kutafuta wadhamini leo Makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu LIsu anasema hamtambui anamtambua Maalim Seif wa ACT wazalendo kinyume cha katiba ya chadema na maamuzi ya kamati kuu na mkutano mkuu wa Chadema.
We unajuaje kuwa hawakufata utaratubu wa kichama. La kutambua Ni kwamba Hawa wanashirikiana na Wala sio kulingana.
 
Acha waendelee kujazana ujinga, ila CCM mbele kwa mbele.
 
Kuna maajabu yanayovunja katiba za vyama kwenye uchaguzi huu mkuu.

Tumeona Lisu Makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA na mgombea uraisi kupitia Chadema akitoa tamko kuwa anamuunga mkono Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif wa Act wazalendo.

Pia tumeona Maalim SEIF Mwenyekiti wwa ACT wazalendo taifa akimuunga mkono Tundu Lissu.

Sina shida na kuungana mikono hata kuungana miguu ruksa.

Ninachohoji kwa mujibu wa katiba za vyama vyao hayo maamuzi yalitakiwa kufanywa na kamati kuu na mikutano mikuu yao sio wao kujiamulia kwenye majukwaa!

Ninaomba ufafanuzi kuhusu hili kutoka kwa wataalamu wa sheria na katiba liko sahihi? kama haliko sahihi nini kinatakiwa kufanyika?
Kwa mfano Membe ni Mgombea uraisi wa ACT wazalendo aliyepitishwa na vikao halali kuanzia kamati kuu hadi mkutano mkuu. Na kapoteza pesa zake za kuchukua fomu na gharama za kuzunguka nchi nzima kutafuta wadhamini na akaanza kugharimia kampeni zake leo mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Maalim Seif anasema hamtambui anamtambua Lissu.

Pia upande wa Zanzibar kuna mgombea uraisi kupitia Chadema Vikao vya chama vya kamati kuu na mkutano mkuu walimptisha Said Issa MOHAMED kuwa mgombea uraisi wa Zanzibar kaingia gharama za kuchukua fomu na kuzunguka nchi nzima ya zanzibar kutafuta wadhamini leo Makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu LIsu anasema hamtambui anamtambua Maalim Seif wa ACT wazalendo kinyume cha katiba ya chadema na maamuzi ya kamati kuu na mkutano mkuu wa Chadema.

Umesahau Mrema na Cheyo walimuunga mkono JPM?
 
Wapinzani wana sarakasi nyingi sana, yaani wanamtosa mwenzao hivi hivi!

Ila ndivyo inavyotokeaga uwanjani timu ikizidiwa naona JPM amelikamatia dimba kisawasawa sasa wapinzani wanahaha tu.

CCM 5 Tenaa
 
ACT Wazalendo 80% Waislamu safi..hoja ya kuwatoa mahabusu masheikh inaenda kuwamaliza mbona mboga..ndio maana wanakaza kalio wakati wa kudungwa Sundance..
 
Kuna maajabu yanayovunja katiba za vyama kwenye uchaguzi huu mkuu.

Tumeona Lisu Makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA na mgombea uraisi kupitia Chadema akitoa tamko kuwa anamuunga mkono Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif wa Act wazalendo...
Declare interest, wewe ni mwanachama wa ACT wazalendo au ni wa CHADEMA? Hata hivyo katiba ya JMT na katiba ya vyama hivyo viwili ni tofauti
.
 
Ukisikia udikteta ndio huu sasa.

Kwa mujibu wa katiba za Chadema na ACT - Wazalendo maamuzi yote makubwa na muhimu yanatolewa na vikao halali vya chama kama kamati kuu, halmashauri kuu, mkutano mkuu nk...
Sasa hivi katiba inaheshimiwa na walio madarakani?
 
Back
Top Bottom