Kwetuntwara
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 227
- 151
Usituambie maendeleo hayana vyama wakati tunaambiwa tukichagua wapinzani hatutapewa fedha ya kufanya maendeleo.Ukisikia udikteta ndio huu sasa.
Kwa mujibu wa katiba za Chadema na ACT - Wazalendo maamuzi yote makubwa na muhimu yanatolewa na vikao halali vya chama kama kamati kuu, halmashauri kuu, mkutano mkuu nk....