Mgomo mkali katika maduka yaliyopo stendi ndogo Arusha uliofanyika siku ya Ijumaa na Jumamosi ulileta maumivu na hasara kubwa

Mgomo mkali katika maduka yaliyopo stendi ndogo Arusha uliofanyika siku ya Ijumaa na Jumamosi ulileta maumivu na hasara kubwa

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Mnamo siku ya tarehe 21 na tarehe 22 mwezi huu, yaani ijumaa na jumamosi, jiji la Arusha lilitikiswa na mgomo mkubwa uliofanyika katika eneo la stendi ndogo, mgomo ambao ulisababisha maduka yote karibia 400 kufungwa.

Mgomo huu ulituathiri sana sisi wafanyabiashara halisi ambao tunafanya biashara kwenye maduka haya, ambao tayari tumeshalipa kodi za pango kwa watu wanaoitwa "wajenzi" ambao kimsingi ni madalali ama watu wa kati wa vibanda hivyo ambavyo ni mali ya serikali. Tumeshangazwa sana na watu hao kuchukua fedha kwetu na kisha kumbe hawalipi fedha hizo jiji, hali iliyosababisha deni linalofikia zaidi ya bilioni.
Swala hili sio jipya, kila mara migogoro hutokea eneo hili,na husababishwa na madeni ambapo madalali hawa hukusanya kwetu fedha na hua wanazitumia kwa matumizi yao binafsi hivyo kusababisha migogoro ya mara kwa mara ambayo hutuathiri sisi moja kwa moja.

Mgomo huu pia ulileta kero kubwa kwa wananchi ambao walikuwa wanahitaji mahitaji na huduma mbalimbali ikiwemo huduma za choo pamoja na maliwato.

Kinachouma sana ni watu hawa kutuonea na kututisha. Kuna kipindi walitulazimisha kuweka leseni madukani mwetu zenye majina yao na hawakufanywa kitu, serikali ilinyamaza. Kuna wakati walitufungia maduka yetu na serikali ilikaa kimya. Kuna wakati tulishiriki tenda na tulilipa fedha yetu lakini tukaombwa tuwe nao na tuwe tunalipa laki nne, laki mbili wapewe wao laki mbili iende jiji lakini bado wanachukua hela nyingi. Hawalipi kodi popote wameingilia mpaka JWT (jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania) na kujipa vyeo Ili waendelee kutuumiza. Tumewalipa Kodi na hiyo fedha ya jiji hawajaioeleka zaidi ya mwaka bado serikali inawalea....Tukijaribu kuulizia tunafukuzwa, tunanyang'anywa mali zetu na serikali inawalinda watu hao kutukandamiza.

Tunaomba majibu sahihi kutoka serikalini, je ni nani yupo NYUMA ya hili sakata na tutaendelea kuonewa hadi lini?? Nani mnufaika wa haya maeneo??

Serikali itambue sisi wafanyabiashara halisi ni wengi tupo takribani 400, tuna wafanyakazi mathalan mmoja kila duka ni 400, maduka mengine kuna zaid ya mfanyakazi mmoja, hii inapelekea zaid ya kaya 900 ziwe zinategemea mahali hapa. Hao wawekezaji kwa idadi yao hawafiki 50, ni wachache ambao wamehodhi hapa, wapo wenye vibanda kumi, kuna yule maarufu ambae ni mwenyekiti wa halmashauri fulani anavyo zaidi ya thelathini, hata mwenyekiti wa chama fulani anavyo lakini hataki kuiambia serikali ukweli na kuisababishia serikali hasara.
Sisi wafanyabiashara halisi ndio walipa kodi zote, na hawa madalali hawalipii hiyo fedha kodi popote pale, JE KWANINI SISI TUNAUMIZWA NA MIGOGORO ISIYOISHA BAINA YA SERIKALI NA WATU HAWA?? MGOGORO HUU UTAISHA LINI??.

TUMEUMIA SANA KUSHURUTISHWA TUFUNGE MADUKA KWA MASLAHI YA WATU WACHACHE, NA IMEKUWA HULKA KUTISHWA SABABU TUKIKAIDI TUNAAMBIWA TUTAFUKUZWA NA KUNYANG'ANYWA MALI ZETU KAMA WENZETU WALIOJARIBU KUHOJI AMBAO WALIFUKUZWA NA KUNYANG'ANYWA MALI ZAO. NA SERIKALI ILIWALINDA KWA NGUVU KUBWA MADALALI HAWA. SERIKALI ITAMBUE TUMECHOKA NA HII KADHIA NA TUNATAKA MAJIBU SAHIHI NA UFUMBUZI WA HILI

NB: Tunafahamu wapo watu waliingia mkataba na manispaa ya wakati huo na walipewa ardhi wajenge vibanda na walipewa grace period ya miaka kumi na walikaa miaka kumi bure kurudisha gharama zao. Huo ulikuwa mwaka 1990. Mikataba ya namna hii sio migeni hata kariakoo wapemba wengi wamejenga magorofa kwa mikataba hiyo. Hapa Arusha gorofa lenye jengo lenye Equity Bank Ile ardhi ni ya NHC na waliingia mkataba na Justine Nyari wa hivyo. Je miaka zaidi ya thelethini watu hawa bado hawajarudisha faida na wanalipwa wastani wa shilingi million sita kwa mwaka?
Baada ya kipindi cha miaka kumi kuisha, maduka yalirudi jiji na walianza kulipa kodi..wengi wa wajenzi waliuza vibanda na kuhamia kariakoo na wengine kufanya mambo mengine. Waliopo sasa wengi ni wanunuzi hivyo hawana hata Ile mikataba ya wakati huo. Vibanda hivi ni mali ya halamashaur ya jiji kwa 100% lakini watu hawa walibatizwa jina la "wajenzi wawekezaji" na aliekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ambae kwa sasa ni mbunge wa Arusha mjini. Na walichangia kila kibanda shilingi laki tano kama rushwa akakabidhiwa bwana huyo mnamo mwaka 2017 na kuamua kuwapa cheo hicho. Hivi sasa bado anawalinda na kuwatetea akisema eti ni viinua mgongo vilijenga vibanda kwamba Ile ni mali binafsi. Kwanini mkataba wa mwanzo haufatwi, unavunjwa na hata kama vibanda vilijengwa kwa kiinua mgongo inahusu nini?? SI walikaa bure miaka kumi?? Mbona masoko mengine pia ambayo yalijengwa na watu binafsi hayana migogoro ya hivi??
 
Hizo ishu zimefanyika Sana hapa DAR kariakoo na city centre hasa kwenye nyumba za NHC kuna wajanja wamepangisha wanachukua Kodi lkn wao wenyewe hawalipi deni Kwa NHC

Mitaa ya kariakoo zile nyumba za NHC Ambazo walikuwa wamepangisha kama makazi zinavunjwa na wanajenga fremu ni kama wamejiongeza angalau maana hizi nyumba walijimiliksha wahuni wachache na wahindi
 
Hizo ishu zimefanyika Sana hapa DAR kariakoo na city centre hasa kwenye nyumba za NHC kuna wajanja wamepangisha wanachukua Kodi lkn wao wenyewe hawalipi deni Kwa NHC

Mitaa ya kariakoo zile nyumba za NHC Ambazo walikuwa wamepangisha kama makazi zinavunjwa na wanajenga fremu ni kama wamejiongeza angalau maana hizi nyumba walijimiliksha wahuni wachache na wahindi
Hakika, maumivu wanayapata wafanyabiashara waliopo ndani. Issue ya stendi ndogo Kuna kakikudi ka watu wachache wenye nguvu ambao mkurugenzi yeyote atakaejaribu kukusanya Kodi lazima atatafutiwa visa na figisu afukuzwe. Mrisho Mashaka Gambo hudiriki kuwatetea hadharani kwakuwa ana maslahi yake. Sasa wamesabanisha ngono ijumaa na jumamosi, hawajaluoa Kodi za pango na wanalazimisha wafanyabiashara wafunge maduka kama hufungi wanakufukuza. Serikali imekaa kimya walio wengi wanatumia sababu ya wanasiasa wachache wenye vibanda maeneo Yao wanaojali matumbo Yao. Wengi wameumizwa sana na watu hawa.
 
Mnamo siku ya tarehe 21 na tarehe 22 mwezi huu, yaani ijumaa na jumamosi, jiji la Arusha lilitikiswa na mgomo mkubwa uliofanyika katika eneo la stendi ndogo, mgomo ambao ulisababisha maduka yote karibia 400 kufungwa.

Mgomo huu ulituathiri sana sisi wafanyabiashara halisi ambao tunafanya biashara kwenye maduka haya, ambao tayari tumeshalipa kodi za pango kwa watu wanaoitwa "wajenzi" ambao kimsingi ni madalali ama watu wa kati wa vibanda hivyo ambavyo ni mali ya serikali. Tumeshangazwa sana na watu hao kuchukua fedha kwetu na kisha kumbe hawalipi fedha hizo jiji, hali iliyosababisha deni linalofikia zaidi ya bilioni.
Swala hili sio jipya, kila mara migogoro hutokea eneo hili,na husababishwa na madeni ambapo madalali hawa hukusanya kwetu fedha na hua wanazitumia kwa matumizi yao binafsi hivyo kusababisha migogoro ya mara kwa mara ambayo hutuathiri sisi moja kwa moja.

Mgomo huu pia ulileta kero kubwa kwa wananchi ambao walikuwa wanahitaji mahitaji na huduma mbalimbali ikiwemo huduma za choo pamoja na maliwato.

Kinachouma sana ni watu hawa kutuonea na kututisha. Kuna kipindi walitulazimisha kuweka leseni madukani mwetu zenye majina yao na hawakufanywa kitu, serikali ilinyamaza. Kuna wakati walitufungia maduka yetu na serikali ilikaa kimya. Kuna wakati tulishiriki tenda na tulilipa fedha yetu lakini tukaombwa tuwe nao na tuwe tunalipa laki nne, laki mbili wapewe wao laki mbili iende jiji lakini bado wanachukua hela nyingi. Hawalipi kodi popote wameingilia mpaka JWT (jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania) na kujipa vyeo Ili waendelee kutuumiza. Tumewalipa Kodi na hiyo fedha ya jiji hawajaioeleka zaidi ya mwaka bado serikali inawalea....Tukijaribu kuulizia tunafukuzwa, tunanyang'anywa mali zetu na serikali inawalinda watu hao kutukandamiza.

Tunaomba majibu sahihi kutoka serikalini, je ni nani yupo NYUMA ya hili sakata na tutaendelea kuonewa hadi lini?? Nani mnufaika wa haya maeneo??

Serikali itambue sisi wafanyabiashara halisi ni wengi tupo takribani 400, tuna wafanyakazi mathalan mmoja kila duka ni 400, maduka mengine kuna zaid ya mfanyakazi mmoja, hii inapelekea zaid ya kaya 900 ziwe zinategemea mahali hapa. Hao wawekezaji kwa idadi yao hawafiki 50, ni wachache ambao wamehodhi hapa, wapo wenye vibanda kumi, kuna yule maarufu ambae ni mwenyekiti wa halmashauri fulani anavyo zaidi ya thelathini, hata mwenyekiti wa chama fulani anavyo lakini hataki kuiambia serikali ukweli na kuisababishia serikali hasara.
Sisi wafanyabiashara halisi ndio walipa kodi zote, na hawa madalali hawalipii hiyo fedha kodi popote pale, JE KWANINI SISI TUNAUMIZWA NA MIGOGORO ISIYOISHA BAINA YA SERIKALI NA WATU HAWA?? MGOGORO HUU UTAISHA LINI??.

TUMEUMIA SANA KUSHURUTISHWA TUFUNGE MADUKA KWA MASLAHI YA WATU WACHACHE, NA IMEKUWA HULKA KUTISHWA SABABU TUKIKAIDI TUNAAMBIWA TUTAFUKUZWA NA KUNYANG'ANYWA MALI ZETU KAMA WENZETU WALIOJARIBU KUHOJI AMBAO WALIFUKUZWA NA KUNYANG'ANYWA MALI ZAO. NA SERIKALI ILIWALINDA KWA NGUVU KUBWA MADALALI HAWA. SERIKALI ITAMBUE TUMECHOKA NA HII KADHIA NA TUNATAKA MAJIBU SAHIHI NA UFUMBUZI WA HILI

NB: Tunafahamu wapo watu waliingia mkataba na manispaa ya wakati huo na walipewa ardhi wajenge vibanda na walipewa grace period ya miaka kumi na walikaa miaka kumi bure kurudisha gharama zao. Huo ulikuwa mwaka 1990. Mikataba ya namna hii sio migeni hata kariakoo wapemba wengi wamejenga magorofa kwa mikataba hiyo. Hapa Arusha gorofa lenye jengo lenye Equity Bank Ile ardhi ni ya NHC na waliingia mkataba na Justine Nyari wa hivyo. Je miaka zaidi ya thelethini watu hawa bado hawajarudisha faida na wanalipwa wastani wa shilingi million sita kwa mwaka?
Baada ya kipindi cha miaka kumi kuisha, maduka yalirudi jiji na walianza kulipa kodi..wengi wa wajenzi waliuza vibanda na kuhamia kariakoo na wengine kufanya mambo mengine. Waliopo sasa wengi ni wanunuzi hivyo hawana hata Ile mikataba ya wakati huo. Vibanda hivi ni mali ya halamashaur ya jiji kwa 100% lakini watu hawa walibatizwa jina la "wajenzi wawekezaji" na aliekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ambae kwa sasa ni mbunge wa Arusha mjini. Na walichangia kila kibanda shilingi laki tano kama rushwa akakabidhiwa bwana huyo mnamo mwaka 2017 na kuamua kuwapa cheo hicho. Hivi sasa bado anawalinda na kuwatetea akisema eti ni viinua mgongo vilijenga vibanda kwamba Ile ni mali binafsi. Kwanini mkataba wa mwanzo haufatwi, unavunjwa na hata kama vibanda vilijengwa kwa kiinua mgongo inahusu nini?? SI walikaa bure miaka kumi?? Mbona masoko mengine pia ambayo yalijengwa na watu binafsi hayana migogoro ya hivi??
Mgomo Ijumaa..unatos taarifa jumapili jioni.....ulishindwa Nini kufanya hivyo Ijumaa yenyewe au jumamosi jana!??...... CCM Mitano Tena ...mpakaaaa tukomeeee...
 
Mgomo Ijumaa..unatos taarifa jumapili jioni.....ulishindwa Nini kufanya hivyo Ijumaa yenyewe au jumamosi jana!??...... CCM Mitano Tena ...mpakaaaa tukomeeee...
Nilikuwa na uchungu mkubwa sana, tunashurutishwa kuingia kwenye mgomo bila hiari yetu. Tunatishiwa tusipofunga maduka tutanyang'anywa mali zetu. Inauma sana
 
Nilikuwa na uchungu mkubwa sana, tunashurutishwa kuingia kwenye mgomo bila hiari yetu. Tunatishiwa tusipofunga maduka tutanyang'anywa mali zetu. Inauma sana
Ungewataja tu nao ....Sasa unapoficha mara mwenyekiti wa Halmashauri fulani mara mwenyekiti wa chama fulani haisaidiii...mbona huyo mwengine wa NHC umemtaja!??......
 
Hilo eneo la stendi ndogo ni chakula ya wakubwa. Hao kina Morisi Makoi ambao ni vinara wa mgogoro wanalindwa na wakubwa. Ndio maana Makoi miaka nenda ana mavibanda, anafukuza watu, anaanzisha migogoro na hakuna wa kuwafanya kitu ye na wenzie wale kina lokeni na shokia.
Nikiwa hapo zamani ilikuja kamati ya bunge na ving'ora hapo kufatilia Makoi na akaitwa hakuja na bado anadunda. Ana mavibanda kama yote. Unajua aliyapataje hayo mavibanda? aliotea tenda ya kukusanya kodi za pango kwenye hivo vibanda apeleke manispaa. Baada ya Ile mikataba ya miaka kumi kukaa bure kwisha kuna watu wakawa wanachelewesha kodi. Akipita akikuta mtu ana deni anakwambia lipa yote na anakufungia duka, ukichelewa siku tatu anakuambia manispaa wamechukua duka lao. Basi analichukua yeye halafu ndo akaanza kupandisha makodi kimaku, anae tamaa hatari. Ukiwa mpangaji wake huwezi endelea maana anakunyonya labda uwe mchawi kama yeye. Nakumbuka siku moja usiku alivunja duka la yule bro anaitwa Steve akatoa vitu yote usiku wa manane akaunganisha duka jamaa akiwa hosital kalazwa kafanyiwa operesheni na hakufanywa kitu oote. Ule ni meli na ni hanja na ndie msababishaji wa migogoro hapo. Na hao wafanyabiashara atakaekiuka anachotaka atafanyiwa kitu mbaya kama ule sista alikuwaga kiongozi wao. Hapo baba saambaya ana mavibanda, bulembwe anawalinda. Mi nliuzaga changu m25 nikapita hivi na nilikinunuaga kwa ule lokeni wa akiboa anavaaga mazaabu. Yani hapo hata Makonda hatawaweza hao watu maana yule ni best ake mbunge wenu, nae ana mrija wake hapo anaingiza fweza. Cha kuwashauri hapo jilipueni kama gen Z andamaneni kadaini sehemu yenu maana serikali yenu imeamua kuwapa manyang'au ardhi wawatese
 
Mnamo siku ya tarehe 21 na tarehe 22 mwezi huu, yaani ijumaa na jumamosi, jiji la Arusha lilitikiswa na mgomo mkubwa uliofanyika katika eneo la stendi ndogo, mgomo ambao ulisababisha maduka yote karibia 400 kufungwa.

Mgomo huu ulituathiri sana sisi wafanyabiashara halisi ambao tunafanya biashara kwenye maduka haya, ambao tayari tumeshalipa kodi za pango kwa watu wanaoitwa "wajenzi" ambao kimsingi ni madalali ama watu wa kati wa vibanda hivyo ambavyo ni mali ya serikali. Tumeshangazwa sana na watu hao kuchukua fedha kwetu na kisha kumbe hawalipi fedha hizo jiji, hali iliyosababisha deni linalofikia zaidi ya bilioni.
Swala hili sio jipya, kila mara migogoro hutokea eneo hili,na husababishwa na madeni ambapo madalali hawa hukusanya kwetu fedha na hua wanazitumia kwa matumizi yao binafsi hivyo kusababisha migogoro ya mara kwa mara ambayo hutuathiri sisi moja kwa moja.

Mgomo huu pia ulileta kero kubwa kwa wananchi ambao walikuwa wanahitaji mahitaji na huduma mbalimbali ikiwemo huduma za choo pamoja na maliwato.

Kinachouma sana ni watu hawa kutuonea na kututisha. Kuna kipindi walitulazimisha kuweka leseni madukani mwetu zenye majina yao na hawakufanywa kitu, serikali ilinyamaza. Kuna wakati walitufungia maduka yetu na serikali ilikaa kimya. Kuna wakati tulishiriki tenda na tulilipa fedha yetu lakini tukaombwa tuwe nao na tuwe tunalipa laki nne, laki mbili wapewe wao laki mbili iende jiji lakini bado wanachukua hela nyingi. Hawalipi kodi popote wameingilia mpaka JWT (jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania) na kujipa vyeo Ili waendelee kutuumiza. Tumewalipa Kodi na hiyo fedha ya jiji hawajaioeleka zaidi ya mwaka bado serikali inawalea....Tukijaribu kuulizia tunafukuzwa, tunanyang'anywa mali zetu na serikali inawalinda watu hao kutukandamiza.

Tunaomba majibu sahihi kutoka serikalini, je ni nani yupo NYUMA ya hili sakata na tutaendelea kuonewa hadi lini?? Nani mnufaika wa haya maeneo??

Serikali itambue sisi wafanyabiashara halisi ni wengi tupo takribani 400, tuna wafanyakazi mathalan mmoja kila duka ni 400, maduka mengine kuna zaid ya mfanyakazi mmoja, hii inapelekea zaid ya kaya 900 ziwe zinategemea mahali hapa. Hao wawekezaji kwa idadi yao hawafiki 50, ni wachache ambao wamehodhi hapa, wapo wenye vibanda kumi, kuna yule maarufu ambae ni mwenyekiti wa halmashauri fulani anavyo zaidi ya thelathini, hata mwenyekiti wa chama fulani anavyo lakini hataki kuiambia serikali ukweli na kuisababishia serikali hasara.
Sisi wafanyabiashara halisi ndio walipa kodi zote, na hawa madalali hawalipii hiyo fedha kodi popote pale, JE KWANINI SISI TUNAUMIZWA NA MIGOGORO ISIYOISHA BAINA YA SERIKALI NA WATU HAWA?? MGOGORO HUU UTAISHA LINI??.

TUMEUMIA SANA KUSHURUTISHWA TUFUNGE MADUKA KWA MASLAHI YA WATU WACHACHE, NA IMEKUWA HULKA KUTISHWA SABABU TUKIKAIDI TUNAAMBIWA TUTAFUKUZWA NA KUNYANG'ANYWA MALI ZETU KAMA WENZETU WALIOJARIBU KUHOJI AMBAO WALIFUKUZWA NA KUNYANG'ANYWA MALI ZAO. NA SERIKALI ILIWALINDA KWA NGUVU KUBWA MADALALI HAWA. SERIKALI ITAMBUE TUMECHOKA NA HII KADHIA NA TUNATAKA MAJIBU SAHIHI NA UFUMBUZI WA HILI

NB: Tunafahamu wapo watu waliingia mkataba na manispaa ya wakati huo na walipewa ardhi wajenge vibanda na walipewa grace period ya miaka kumi na walikaa miaka kumi bure kurudisha gharama zao. Huo ulikuwa mwaka 1990. Mikataba ya namna hii sio migeni hata kariakoo wapemba wengi wamejenga magorofa kwa mikataba hiyo. Hapa Arusha gorofa lenye jengo lenye Equity Bank Ile ardhi ni ya NHC na waliingia mkataba na Justine Nyari wa hivyo. Je miaka zaidi ya thelethini watu hawa bado hawajarudisha faida na wanalipwa wastani wa shilingi million sita kwa mwaka?
Baada ya kipindi cha miaka kumi kuisha, maduka yalirudi jiji na walianza kulipa kodi..wengi wa wajenzi waliuza vibanda na kuhamia kariakoo na wengine kufanya mambo mengine. Waliopo sasa wengi ni wanunuzi hivyo hawana hata Ile mikataba ya wakati huo. Vibanda hivi ni mali ya halamashaur ya jiji kwa 100% lakini watu hawa walibatizwa jina la "wajenzi wawekezaji" na aliekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ambae kwa sasa ni mbunge wa Arusha mjini. Na walichangia kila kibanda shilingi laki tano kama rushwa akakabidhiwa bwana huyo mnamo mwaka 2017 na kuamua kuwapa cheo hicho. Hivi sasa bado anawalinda na kuwatetea akisema eti ni viinua mgongo vilijenga vibanda kwamba Ile ni mali binafsi. Kwanini mkataba wa mwanzo haufatwi, unavunjwa na hata kama vibanda vilijengwa kwa kiinua mgongo inahusu nini?? SI walikaa bure miaka kumi?? Mbona masoko mengine pia ambayo yalijengwa na watu binafsi hayana migogoro ya hivi??
hili nalo mtaliangalia wenyewe mana wafanyabiashara wa Tanganyika hawanihusu.

Mtu ananunua gari japani milioni 1.3 likifika Tanganyika linakua milion 14. Zanzibar mil. 7.

Nchi moja tusikubali kuondoa uzi ulioshona kitambaa hicho.
Maneno ya kisiasa tu na sio kiuchumi wala kimaendeleo.

Siasa siasa tu mana wanaonufaika zaidi na miungano ni wanasiasa . Mana wananchi hata wachina wanakuja Tanganyika na wanaoa na kuzaa na madada poa mpaka wake za watu.
 
hili nalo mtaliangalia wenyewe mana wafanyabiashara wa Tanganyika hawanihusu.

Mtu ananunua gari japani milioni 1.3 likifika Tanganyika linakua milion 14. Zanzibar mil. 7.

Nchi moja tusikubali kuondoa uzi ulioshona kitambaa hicho.
Maneno ya kisiasa tu na sio kiuchumi wala kimaendeleo.

Siasa siasa tu mana wanaonufaika zaidi na miungano ni wanasiasa . Mana wananchi hata wachina wanakuja Tanganyika na wanaoa na kuzaa na madada poa mpaka wake za watu.
Hua nakuelewa sana. Lakini tambua hili limetuuma sana. Hivyo hata kama upo sehemu yoyote Ile Tanzania, Bara ama visiwani tupazie sauti kilio chetu kisikike
 
Hilo eneo la stendi ndogo ni chakula ya wakubwa. Hao kina Morisi Makoi ambao ni vinara wa mgogoro wanalindwa na wakubwa. Ndio maana Makoi miaka nenda ana mavibanda, anafukuza watu, anaanzisha migogoro na hakuna wa kuwafanya kitu ye na wenzie wale kina lokeni na shokia.
Nikiwa hapo zamani ilikuja kamati ya bunge na ving'ora hapo kufatilia Makoi na akaitwa hakuja na bado anadunda. Ana mavibanda kama yote. Unajua aliyapataje hayo mavibanda? aliotea tenda ya kukusanya kodi za pango kwenye hivo vibanda apeleke manispaa. Baada ya Ile mikataba ya miaka kumi kukaa bure kwisha kuna watu wakawa wanachelewesha kodi. Akipita akikuta mtu ana deni anakwambia lipa yote na anakufungia duka, ukichelewa siku tatu anakuambia manispaa wamechukua duka lao. Basi analichukua yeye halafu ndo akaanza kupandisha makodi kimaku, anae tamaa hatari. Ukiwa mpangaji wake huwezi endelea maana anakunyonya labda uwe mchawi kama yeye. Nakumbuka siku moja usiku alivunja duka la yule bro anaitwa Steve akatoa vitu yote usiku wa manane akaunganisha duka jamaa akiwa hosital kalazwa kafanyiwa operesheni na hakufanywa kitu oote. Ule ni meli na ni hanja na ndie msababishaji wa migogoro hapo. Na hao wafanyabiashara atakaekiuka anachotaka atafanyiwa kitu mbaya kama ule sista alikuwaga kiongozi wao. Hapo baba saambaya ana mavibanda, bulembwe anawalinda. Mi nliuzaga changu m25 nikapita hivi na nilikinunuaga kwa ule lokeni wa akiboa anavaaga mazaabu. Yani hapo hata Makonda hatawaweza hao watu maana yule ni best ake mbunge wenu, nae ana mrija wake hapo anaingiza fweza. Cha kuwashauri hapo jilipueni kama gen Z andamaneni kadaini sehemu yenu maana serikali yenu imeamua kuwapa manyang'au ardhi wawatese
Jombaa utatusaidia upelelezi hahaaaaa
 
Huo mkoa wenu wa Arusha bado kuna shida sana, eneo lile linatakiwa kuvunjwa vunjwa lote kuondoa ule ni uchafu wa vibanda na halmashauri ijenge majengo ya maana na hadhi kwaajili ya shughuli za kibiashara kisha ikusanye kodi yenyewe. Hao madalali wakafanye kazi halali na siyo kunyanyasa wafanyabishara. Nawashauri pia hayo majina ya madalali wanyonyaji muyapeleke kwa Makonda atawasaidia.
 
Huo mkoa wenu wa Arusha bado kuna shida sana, eneo lile linatakiwa kuvunjwa vunjwa lote kuondoa ule ni uchafu wa vibanda na halmashauri ijenge majengo ya maana na hadhi kwaajili ya shughuli za kibiashara kisha ikusanye kodi yenyewe. Hao madalali wakafanye kazi halali na siyo kunyanyasa wafanyabishara. Nawashauri pia hayo majina ya madalali wanyonyaji muyapeleke kwa Makonda atawasaidia.
Mitano Tena .....yaaani baaadooooo ...... Makonda... Hana uwezo Hana la kufanya hapo.....
 
Kwamba hao madalali wana mizizi mrefu iliyojichimbia.
Wana mizizi mirefu iliyojichimbia haswaa. Hawamwogopi Makonda na ndio maana walifanya mgomo siku mbili. Na hawakufanywa chochote na hakuna wa kuwafanya kitu. Kwanza wanasema Makonda atawalinda Tunaoumia ni sisi wananchi
 
Kwamba hao madalali wana mizizi mrefu iliyojichimbia.
Sasa kama mpaka Kamati ya Bunge imeeanda wameitwa wamegoma ....nani wa kuwatoa!?? Mitano tena..... Yaani mi nafurahi sana tunavyopigika huku mtaani....mpaka tutapoongea lugha Moja ....Makonda si huyo hapo ....walikuwa wapi kutoa malalamiko wakati anazunguka kukusanya malalamiko....mpaka wakaletewa WADUDU watu weweeeeee vigeregere na mbinja ..... Kiko wapi..... CCM mbeleeee Kwa mbeleeeee ......Wacha waisomeeee nambaaaaa weeeeee.....CCMMMM mbele kwa mbeleeeeeee.......
 
Mnamo siku ya tarehe 21 na tarehe 22 mwezi huu, yaani ijumaa na jumamosi, jiji la Arusha lilitikiswa na mgomo mkubwa uliofanyika katika eneo la stendi ndogo, mgomo ambao ulisababisha maduka yote karibia 400 kufungwa.

Mgomo huu ulituathiri sana sisi wafanyabiashara halisi ambao tunafanya biashara kwenye maduka haya, ambao tayari tumeshalipa kodi za pango kwa watu wanaoitwa "wajenzi" ambao kimsingi ni madalali ama watu wa kati wa vibanda hivyo ambavyo ni mali ya serikali. Tumeshangazwa sana na watu hao kuchukua fedha kwetu na kisha kumbe hawalipi fedha hizo jiji, hali iliyosababisha deni linalofikia zaidi ya bilioni.
Swala hili sio jipya, kila mara migogoro hutokea eneo hili,na husababishwa na madeni ambapo madalali hawa hukusanya kwetu fedha na hua wanazitumia kwa matumizi yao binafsi hivyo kusababisha migogoro ya mara kwa mara ambayo hutuathiri sisi moja kwa moja.

Mgomo huu pia ulileta kero kubwa kwa wananchi ambao walikuwa wanahitaji mahitaji na huduma mbalimbali ikiwemo huduma za choo pamoja na maliwato.

Kinachouma sana ni watu hawa kutuonea na kututisha. Kuna kipindi walitulazimisha kuweka leseni madukani mwetu zenye majina yao na hawakufanywa kitu, serikali ilinyamaza. Kuna wakati walitufungia maduka yetu na serikali ilikaa kimya. Kuna wakati tulishiriki tenda na tulilipa fedha yetu lakini tukaombwa tuwe nao na tuwe tunalipa laki nne, laki mbili wapewe wao laki mbili iende jiji lakini bado wanachukua hela nyingi. Hawalipi kodi popote wameingilia mpaka JWT (jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania) na kujipa vyeo Ili waendelee kutuumiza. Tumewalipa Kodi na hiyo fedha ya jiji hawajaioeleka zaidi ya mwaka bado serikali inawalea....Tukijaribu kuulizia tunafukuzwa, tunanyang'anywa mali zetu na serikali inawalinda watu hao kutukandamiza.

Tunaomba majibu sahihi kutoka serikalini, je ni nani yupo NYUMA ya hili sakata na tutaendelea kuonewa hadi lini?? Nani mnufaika wa haya maeneo??

Serikali itambue sisi wafanyabiashara halisi ni wengi tupo takribani 400, tuna wafanyakazi mathalan mmoja kila duka ni 400, maduka mengine kuna zaid ya mfanyakazi mmoja, hii inapelekea zaid ya kaya 900 ziwe zinategemea mahali hapa. Hao wawekezaji kwa idadi yao hawafiki 50, ni wachache ambao wamehodhi hapa, wapo wenye vibanda kumi, kuna yule maarufu ambae ni mwenyekiti wa halmashauri fulani anavyo zaidi ya thelathini, hata mwenyekiti wa chama fulani anavyo lakini hataki kuiambia serikali ukweli na kuisababishia serikali hasara.
Sisi wafanyabiashara halisi ndio walipa kodi zote, na hawa madalali hawalipii hiyo fedha kodi popote pale, JE KWANINI SISI TUNAUMIZWA NA MIGOGORO ISIYOISHA BAINA YA SERIKALI NA WATU HAWA?? MGOGORO HUU UTAISHA LINI??.

TUMEUMIA SANA KUSHURUTISHWA TUFUNGE MADUKA KWA MASLAHI YA WATU WACHACHE, NA IMEKUWA HULKA KUTISHWA SABABU TUKIKAIDI TUNAAMBIWA TUTAFUKUZWA NA KUNYANG'ANYWA MALI ZETU KAMA WENZETU WALIOJARIBU KUHOJI AMBAO WALIFUKUZWA NA KUNYANG'ANYWA MALI ZAO. NA SERIKALI ILIWALINDA KWA NGUVU KUBWA MADALALI HAWA. SERIKALI ITAMBUE TUMECHOKA NA HII KADHIA NA TUNATAKA MAJIBU SAHIHI NA UFUMBUZI WA HILI

NB: Tunafahamu wapo watu waliingia mkataba na manispaa ya wakati huo na walipewa ardhi wajenge vibanda na walipewa grace period ya miaka kumi na walikaa miaka kumi bure kurudisha gharama zao. Huo ulikuwa mwaka 1990. Mikataba ya namna hii sio migeni hata kariakoo wapemba wengi wamejenga magorofa kwa mikataba hiyo. Hapa Arusha gorofa lenye jengo lenye Equity Bank Ile ardhi ni ya NHC na waliingia mkataba na Justine Nyari wa hivyo. Je miaka zaidi ya thelethini watu hawa bado hawajarudisha faida na wanalipwa wastani wa shilingi million sita kwa mwaka?
Baada ya kipindi cha miaka kumi kuisha, maduka yalirudi jiji na walianza kulipa kodi..wengi wa wajenzi waliuza vibanda na kuhamia kariakoo na wengine kufanya mambo mengine. Waliopo sasa wengi ni wanunuzi hivyo hawana hata Ile mikataba ya wakati huo. Vibanda hivi ni mali ya halamashaur ya jiji kwa 100% lakini watu hawa walibatizwa jina la "wajenzi wawekezaji" na aliekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ambae kwa sasa ni mbunge wa Arusha mjini. Na walichangia kila kibanda shilingi laki tano kama rushwa akakabidhiwa bwana huyo mnamo mwaka 2017 na kuamua kuwapa cheo hicho. Hivi sasa bado anawalinda na kuwatetea akisema eti ni viinua mgongo vilijenga vibanda kwamba Ile ni mali binafsi. Kwanini mkataba wa mwanzo haufatwi, unavunjwa na hata kama vibanda vilijengwa kwa kiinua mgongo inahusu nini?? SI walikaa bure miaka kumi?? Mbona masoko mengine pia ambayo yalijengwa na watu binafsi hayana migogoro ya hivi??
Chagueni TLP
 
Kimsingi eneo lote la stendi ndogo linahitaji uwekezaji mpya. New structural design ya majengo ya kisasa ya biashara ya ghorofa. Ikiwezekana mradi ujumuishe eneo lote mpaka makaburi ya zamani. At least fremu ziongezeke kutoka 400 mpaka hata 2500 hivi ku accommodate biashara nyingi zaidi ili serikali ipate kodi zaidi na wananchi ajira zaidi.
Kutatua huu mgogoro ni kuwaondoa wote! kuvunja na ku design mradi mpya wa kisasa. Kwa sasa it's looks local na kudumaa kwa jiji.
Serikali kazi kwenu ..
 
Back
Top Bottom