Uongo unapanda lift na ukweli ndo hupanda ngazi taratibu ule unafiki unaaza kuisha .ukienda kariakoo ukiwaliza wafabyabuashara watakuambia ni bora kipindi cha mag mara 10Si mlisema JPM ameharibu uwekezaji na wafanya biashara? Sasa haya maandamamo yanatokea kwa huyu aliyeleta maridhiano.. ukweli upo wapi?