Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Kipindi cha JPM si ndio maduka yalikuwa yanawekwa kofuli na biashara nyingi zikafungwa? Au upo kulinda legacy?
Unajifanya hujui kusoma au!? Najua umenielewa , lakini jibu lako laweza kuwa "kuntula"
 
Sio kila bidhaa inayouzwa inapitia bandarini, nyingine zinapitia mipakani ambapo Tanzania inazungukwa na nchi nyingi. Nyingine zinazalishwa ndani ya nchi
Na huko mipakani hakuna TRA? Nadhani point ni kwamba waje ma mfumo wa kukwangua kodi yite mara 1 basi..waangakie kama ni nguo inalioiwa kodi kiasi gani toka bandari hadi inaoomfikia mvaaji. Hiyo kodi ipigwe 1 time oale bandarini ama mpakani basi. Then yule anayeingiza ndo akwanguliwe hiyo kodi naye apandishe bei ili kodi yote alipe yeye. Am sure inawezekanaendao TRA wataamua kuwaza. Tatizo la nchi nyingi tunapenda kukoy tu system ya nchi nyingine bila kutaka kukaa chini na kuja na system yetu.
Hapa utaona mtu anasema "nchi zote hadi ulaya ndo zinavofanya". Hakuna jibu huwa linanikera kama hilo. Binadamu tumepewa akili, tuitumie kufikiria na kuja na mawazo mapya ambayo hawajawahi kufanyika sehemu nyingine. Haya mambo ya kuiga iga tu badala ya kukaa chini na kuja na mawazo mapya ndo yanaleta shida zote hizi. Tunaishia kuiga systema za watu badala ya kukaa chini tukasoma mazingira yetu na kuja na mfumo mzuri
 
Na huko mipakani hakuna TRA? Nadhani point ni kwamba waje ma mfumo wa kukwangua kodi yite mara 1 basi..waangakie kama ni nguo inalioiwa kodi kiasi gani toka bandari hadi inaoomfikia mvaaji. Hiyo kodi ipigwe 1 time oale bandarini ama mpakani basi. Then yule anayeingiza ndo akwanguliwe hiyo kodi naye apandishe bei ili kodi yote alipe yeye. Am sure inawezekanaendao TRA wataamua kuwaza. Tatizo la nchi nyingi tunapenda kukoy tu system ya nchi nyingine bila kutaka kukaa chini na kuja na system yetu.
Hapa utaona mtu anasema "nchi zote hadi ulaya ndo zinavofanya". Hakuna jibu huwa linanikera kama hilo. Binadamu tumepewa akili, tuitumie kufikiria na kuja na mawazo mapya ambayo hawajawahi kufanyika sehemu nyingine. Haya mambo ya kuiga iga tu badala ya kukaa chini na kuja na mawazo mapya ndo yanaleta shida zote hizi. Tunaishia kuiga systema za watu badala ya kukaa chini tukasoma mazingira yetu na kuja na mfumo mzuri
Sababu ya kula Bata sana saa ngapi tutapata muda wa kufikiri sana na kupata majibu mapya ya kutatua matatizo yetu ?! Wazungu Wanasemaga If you think hard enough problems could always be solved, but you have to think and think and think and then remember!!
 
Mmmh hii ngumu kumeza Yaani CCM itumie mgomo kuishinikiza Serikali ya CCM itekeleze madai ya wafanyabiashara.

Wakati huohuo Mwenyekiti wa CCM ndiye Rais.
Zungu bado anautaka Ubunge wa Ilala !!
 
Kaa mlioko huko Kariakoo nini kinaendelea muda huu? Bado maduka yamefungwa?
 
Hivi kweli hatuwezi kuja na mfumo mmoja tu TRA pale bandarini kuchukuwa kodi mara moja ili mzigo ukitoka basi watu wasisumbuane? mbona kwenye mafuta wameweza mzigo kwenye meli unakatwa kila kitu basi unaingia sokoni. Kuna nini hii kila siku kukimbizana wakati Tech imekuwa sana kuna njia za kuchukuwa mapato kwa njia ya kisasa tu badala ya haya mambo ya double taxation watu hakuna kuaminiana kwanini lakini? kodi kulipa ni haki basi tuweke mfumo utakaonekana ni wa haki.
Watu wa TRA ndo wanachokipenda hicho kitu kww kuwa ukimfuata mfanyabiashara utapewa fungus lako
 
Kipindi cha JPM wafanyabiashara halali walikuwa wanasikilizwa vizuri na kero zao zinatatuliwa. Lakin sasa serikali ya KULA KWA UREFU WA KAMBA TRA wanakula kwa urefu wa kamba zao na hakuna anayejali sawa
Na wafanyabiashara walikuwa na heshima kwa kwa kuwa walioiwa wanaona kabisa thamani ya kodi zao .maafisa wa TRA waliokuwa wanaomba rushwa walifukuzwa kazi
 
Mimi sijaongelea bandarini tu nimesema TRA kwani unaweza kupita mpakani, bandarini au airport bila uwepo wa TRA? wako kila entry ya nchi waweke mfumo wa kisasa kukusanya kodi sio mambo ya kuviziana madukani mambo ya kishamba sana.
Mambo ya kishamba hasa na matai yao
 
Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya

Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa

1: TRA.
2: FIRE.
3: JIJI.
4: USAFI.
5: Kodi ya store.
6: Makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7: Kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo

Makadilio ya kodi yamekua makubwa mno kiasi kwamba mtu akiangalia biashara yake na kodi haviendani. Kupungua kwa wateja wa nchi jirani kama Kongo,Zambia,Zimbabwe kutokana na kero ya TRA

Kwa wanaofnya biashara ya kusafirisha mizigo Jioni lzm TRA waje wafanye tasmini na Rushwa yao wanataka 3M kutokana na ukubwa wa mzigo
How fire wanafanya nini kwenye buashara na kazi yao ni ipi
 
Hii lazima iangaliwe Kwa kina kama viongozi wote hawaheshimiwi na hawaaminiwi na amebakia mmoja wa Ngazi ya mwisho kabisa!! Hivi akishindwa nini kitafuata?

Ukweli usiopingika taasisi nyingi zimepoteza muelekeo na sababu kubwa ni maslahi binafsi hii inatokana na usimamizi MABOVU mfano juzi nimesafiri Kutoka Tunduma KWENDA DSM tulipofika Mikumi wahamiaji haramu walikamatwa tukawekwa pale zaidi ya nusu saa lakini mwisho wa yote wahamiajia hao walirudi na tukaendelea kusafiri nao nilijaribu kuwauliza wanasema wametoa Tshs.200,000/= najiuliza hivi watumishi wa taasisi nyeti kama hiyo wanakuwa na Mamlaka ya kuingiza wahamiaji haramu na hakuna kuhojiwa! Hivi wao ndiyo wenye Nchi? Nilishindwa kutoa taarifa kwasababu niliwahi kutoa taarifa ya namna hiyo Kwa wahamiaji haramu na mipango miovu wanayoifanya wakiwa Nchini lakini mapokeo ya vyombo vyote ni hasi na badala yake wanaendelea kuwafanya Kuwa kitega uchumi nami naona sasa tumaini limebakia Kwa Mh. Rais nitamuandalia ripoti nzuri nimtumie maana hawa walioaminiwa wameshindwa kazi ingawa naogopa endapo hili la Kariakoo litamshinda basi tutasubiri mpaka awamu mpya.

Pia kama kila Jambo atatakiwa mh.Rais aingilie mambo yatamzidi maana Wananchi wanyonge wamerudishiwa shida zao rasmi na wakipata nafasi watatumia umoja wao Kuwa wenye NGUVU.

Ukiona mtu anagoma KUUZA wakati hiyo ndiyo inayompatia Kula yake UJUE taa ya Atari imeanza kuwaka.
 
Hii issue ni zaidi ya kodi. Kwanza iko well coordinated na inaweza kuchukua muda mrefu ipo chukuliwa hatua za dharura.

Mama Samia atumie vyanzo vyake kwa umakini.
 
Huko kusumbuana ni neema kwa wafanyakazi wa Tra!! Ndipo wanapopatumia kuleta ubabaishaji kwa walipakodi ili wapate rushwa
Mambo yakinyoooka kama tech inavyoruhusu kuna watu watakufa njaa
Thank you for for nice comments. Hata brela registration kipindi cha kupata registration ilikuwa ni msululu kweli kweli na huko Kato ilikuwa ni lazima uache pesa ndo ikeja online registration ugodi father ukafa
 
Serikalini kumevamiwa na majambazi

Mama assfishe korido zake

Taarifa anazooewa na wataalam wa idara azifanyiekazi kuokoa uchumi wetu
Anasadishaje wakati ndo kwanza anawarudisha na kuwapa uongozi wa nchi waamue kwa niaba yetu
 
Back
Top Bottom