Uongo unapanda lift na ukweli ndo hupanda ngazi taratibu ule unafiki unaaza kuisha .ukienda kariakoo ukiwaliza wafabyabuashara watakuambia ni bora kipindi cha mag mara 10Si mlisema JPM ameharibu uwekezaji na wafanya biashara? Sasa haya maandamamo yanatokea kwa huyu aliyeleta maridhiano.. ukweli upo wapi?
Wafanyabiashara wa karaiko sio makapuku kama ww ni watu wenye uchumi wa kati wanaweza kuisha hata kwa miez 3 bila kufanya kaziHakuna mgomo usio na kikomo hapo[emoji1787][emoji1787]kesho watafungua frem hizo,mark my words [emoji1787][emoji1787]
Sijawahi na pengine sitakuja kuwahi kuelewa hizi kodi zinavyokatwa
Mzigo ukifika bandarini unatokutana na tra
Mzigo huohuo ukifika dukani unakutana tena na tra
Sasa najiulizaga yule tra wa bandarini ni tofauti na huyu wa dukani????
Na km wote ni TRA, hizi kodi za mara mbilimbili zinalenga Kuna custom revenue ns domestic revenue ila kiukweli kodi Tanzania nikubwa mnoo Yaani bandari unakadiriwa na dukani unakadiriwa kikubwa ili uchumi ukuwe ni Cust tax ndiyo kukuza uchumi siyo kurundika makodi
Duuh hatare jamaa hawana fungu kwenye bajeti ya nchi?Kila duka Mtungi lazima na certificate ya Fire,
Kesho imefika na tupo hapa.. una lolote la kusema?Hakuna mgomo usio na kikomo hapo🤣🤣kesho watafungua frem hizo,mark my words 🤣🤣
Unaambiwa fine 4M utoe fine au uwape 2M unachagua nini?Hili suala linahitaji waziri husika aingilie!! Watu wanadai rushwa sana
Rushwa ya kisomi!! Wangeweka hiyo fine kulingana na asilimia ya ulichokwepa na sio hii ya kuhamasisha rushwaUnaambiwa fine 4M utoe fine au uwape 2M unachagua nini?