Mgomo wa Daladala Jijini Arusha asubuhi hii ya Julai 3, 2023

Mgomo wa Daladala Jijini Arusha asubuhi hii ya Julai 3, 2023

Madereva wa Daladala Mkoani Arusha wamegoma leo Kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala.

Idadi kubwa ya wanafunzi na watu wazima wamekuwa wakitembea kwa miguu na wengine wakiwa tu vituoni wakiwa hawajui cha kufanya.

====

UPDATE;

View attachment 2676983


View attachment 2677010
Hali ilivyo katika Kituo Kikuu cha Daladala Kilombero Jijini Arusha ambapo daladala zipo katika mgomo wa kutoa huduma wakidai Bajaj zinaingilia njia zao na hivyo kuathiri mapato yao ya kila siku.

View attachment 2677007View attachment 2677008View attachment 2677009
Hali ilivyo Kwa Morombo jijiji Arusha Kwenye mgomo wa Daladala usiokuwa na kikomo madereva wakilalamikia kuongezeka kwa Bajaji jijini Arusha na Kuwaingilia kwenye Ruti zao ambapo Wananchi wametumia usafiri wa Mguta leo kuingia mjini

Daladala za kutoka Morombo kwenda Mjini, daladala za kutoka Engo kuelekea Mjini.

Daladala za kutoka Uswahili kwenda Mjini. Ngusero kwenda Mjini

Ndani ya Kituo cha Daladala cha Kilombero hakuna daladala kabisa, Bajaj na bodaboda ndo zinafanya kazi tu na hazitoshelezi abiria ni wengi.

Bajaj zimepandisha bei kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000.
Bajaji wanaua biashara za wenzao
 
Hakuna mtu anayesema bajaji zisifanye kazi, tatizo ni utitiri wa bajaji na kutokuwa na mpangilio wa njia/barabara zipi wapite
Sheria ilikuwa bajaji zitumike kwa kokodisha kama taxi, sasa zinafanya kazi ya kubeba abiria kama daladala, tatizo lingine hazipakiii wanafunzi, kitu ambazo kinafanya wanafunzi wengi wapakie daladala. Unakuta daladala imejaa wanafunzi tu, na hivyo kufanya gharama za uendeshaji daladala kuwa kubwa kwani wanafunzi wanalipa 200/= tu.


Kumaliza ili tatizo, ni vizuri mamlaka husika zichukue hatua na kuamuru bajaji zitumike kama taxi tu kama sheria iliyowasajili inavyo wataka.
Nimesoma baadhi ya comments za wajinga Fulani hapo juu nimeshangaa wanasapoti UJINGA wa bajaj bila kujua kuwa mamlaka haziruhusu bajaj kuingia katikati na kupakia abairia kama daladala...
Serikali inatoza tozo nyingi Sana kwenye daladala na wanatolewa macho kuanzia halmashauri, traffic,na TRA
 
HAO BAJAJI NAO TAMAA MNO...WANGEENDELEA WENYEWE NA BEI ILE ILE...NA WANGEFANYA BIASHARA VIZURI TU...NA HAO DALADALA WANGERUDU WENYEWE KWA NJAA...

ILA WABONGO TUNAUMIZANA WENYEWE KWA WENYEWE. UNAKUTA BAJAJI ALIKUWA ANATOZA NAULI HATA CHINI YA NAULI YA DALADALA...ALAFU GHAFLA KWENYE MGOMO WA DALADALA ATOZA BUKU...HIYO SI TAMAA NA ROHO MBAYA.
 
Ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu kuona mtu anagoma kisa tu bajaji zinafanya kazi kama zao,huu ni ubinafsi na roho mbaya,pumbavu kabisa
 
Bajaji zimeharibu sana ruti za daladala. Mbeya waligoma na baadae wakarudi road wenyewe.
Dar kuna bajaji za kibamba hadi manzese 🤣🤣🤣
Madereva wa Daladala Mkoani Arusha wamegoma leo Kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala.

Idadi kubwa ya wanafunzi na watu wazima wamekuwa wakitembea kwa miguu na wengine wakiwa tu vituoni wakiwa hawajui cha kufanya.

====

UPDATE;

View attachment 2676983


View attachment 2677010
Hali ilivyo katika Kituo Kikuu cha Daladala Kilombero Jijini Arusha ambapo daladala zipo katika mgomo wa kutoa huduma wakidai Bajaj zinaingilia njia zao na hivyo kuathiri mapato yao ya kila siku.

View attachment 2677007View attachment 2677008View attachment 2677009
Hali ilivyo Kwa Morombo jijiji Arusha Kwenye mgomo wa Daladala usiokuwa na kikomo madereva wakilalamikia kuongezeka kwa Bajaji jijini Arusha na Kuwaingilia kwenye Ruti zao ambapo Wananchi wametumia usafiri wa Mguta leo kuingia mjini

Daladala za kutoka Morombo kwenda Mjini, daladala za kutoka Engo kuelekea Mjini.

Daladala za kutoka Uswahili kwenda Mjini. Ngusero kwenda Mjini

Ndani ya Kituo cha Daladala cha Kilombero hakuna daladala kabisa, Bajaj na bodaboda ndo zinafanya kazi tu na hazitoshelezi abiria ni wengi.

Bajaj zimepandisha bei kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000.
 
Ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu kuona mtu anagoma kisa tu bajaji zinafanya kazi kama zao,huu ni ubinafsi na roho mbaya,pumbavu kabisa
Usitukane kabla hujajua changamoto zilizoko.Lazima kuna hoja za msingi zawao kufanya hivyo.Na mara nyingi migomo inakuja baada ya ufumbuzi kukosekana.
 
Nimesoma baadhi ya comments za wajinga Fulani hapo juu nimeshangaa wanasapoti UJINGA wa bajaj bila kujua kuwa mamlaka haziruhusu bajaj kuingia katikati na kupakia abairia kama daladala...
Serikali inatoza tozo nyingi Sana kwenye daladala na wanatolewa macho kuanzia halmashauri, traffic,na TRA
Vichwa vyetu vina shida sana.ni mwendo wakukurupuka tu.
 
Akili mgando kwenye dunia hii ya soko huria,kama wanaona bajaji wanapata hela sana wauze daladala nawao wanunue bajaji. Huwezi mchagulia abiria apande usafiri gani,kwanza bajaji haikai foleni pili bajaji inakufikisha hadi mlangoni kwako.
Mzazi anakuja na watoto anapakia kwenye daladala afu yeye anaenda panda bajaji
 
Madereva wa Daladala Mkoani Arusha wamegoma leo Kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala.

Idadi kubwa ya wanafunzi na watu wazima wamekuwa wakitembea kwa miguu na wengine wakiwa tu vituoni wakiwa hawajui cha kufanya.

====

UPDATE;

View attachment 2676983


View attachment 2677010
Hali ilivyo katika Kituo Kikuu cha Daladala Kilombero Jijini Arusha ambapo daladala zipo katika mgomo wa kutoa huduma wakidai Bajaj zinaingilia njia zao na hivyo kuathiri mapato yao ya kila siku.

View attachment 2677007View attachment 2677008View attachment 2677009
Hali ilivyo Kwa Morombo jijiji Arusha Kwenye mgomo wa Daladala usiokuwa na kikomo madereva wakilalamikia kuongezeka kwa Bajaji jijini Arusha na Kuwaingilia kwenye Ruti zao ambapo Wananchi wametumia usafiri wa Mguta leo kuingia mjini

Daladala za kutoka Morombo kwenda Mjini, daladala za kutoka Engo kuelekea Mjini.

Daladala za kutoka Uswahili kwenda Mjini. Ngusero kwenda Mjini

Ndani ya Kituo cha Daladala cha Kilombero hakuna daladala kabisa, Bajaj na bodaboda ndo zinafanya kazi tu na hazitoshelezi abiria ni wengi.

Bajaj zimepandisha bei kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000.
Huu mgogoro haunaga suluhu..
Watu wa Daladala hamna budi kuvumiliana na wenzenu..

Kila mmoja anajitafutia siku.
 
Na sisi abiria tutagoma kupanda daladala zao
Wanatuomea abiria
Tumewahi vituoni tuwahi makazini hakuna magari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi mnayoo hukoo
 
niliona watu wamepanda guta.. inasikitisha
 
wameru mnaubishi wa kijinga sana..biasharainapaswa kuwa huria mkuu kinachotakiwa ni kuzipa maeneo ya kufanya kazi na mipaka yao basi

Sasa hili la wameru kuwa wana ubishi wa kijinga limetoka wapi tena?

Ina maana wenye daladala huko Arusha ni wameru tu? au wachangiaji wote humu JF wanachangia hii mada kinyume na unavyotaka ni wameru?


Acha mambo ya ukabila, jadili madailiyop mezani.
 
Madereva wa Daladala Mkoani Arusha wamegoma leo Kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala.

Idadi kubwa ya wanafunzi na watu wazima wamekuwa wakitembea kwa miguu na wengine wakiwa tu vituoni wakiwa hawajui cha kufanya.
Mamia ya wakazi wa jiji la Arusha wakiwemo wanafunzi wa shule,wamekumbwa na adha ya usafiri mara baada ya madereva wa daladala Mkoani hapa kugoma kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala na hivyo kuwalazimu abilia kupanda Guta na kutembea kwa miguu.








Mgomo huo ambao umeanza mapema leo ,umewaathiri zaidi wanafunzi ambao wamefungua shule leo,ambao walionekana wakiwa kwenye vituo vya usafiri wakisubiri magari mbalimbali na wengine wakilazimika kudandia pikipiki za mizigo( guta )na wengine kutembea kwa mguu umbali mrefu.



Baadhi ya madereva wa daladala eneo la kwa Mirombo walionekana wakicheza mpira huku magari yao ya usafiri wakiwa wameyaficha maeneo mbalimbali wakiwa na madai kwamba hawatapeleka gari barabarani mpaka serikali itoe tamko juu ya utaratibu mpya kati yao na bajaji ambao hautaathiri mapato yao.

====

UPDATE;

View attachment 2676983


View attachment 2677010
Hali ilivyo katika Kituo Kikuu cha Daladala Kilombero Jijini Arusha ambapo daladala zipo katika mgomo wa kutoa huduma wakidai Bajaj zinaingilia njia zao na hivyo kuathiri mapato yao ya kila siku.

View attachment 2677007View attachment 2677008View attachment 2677009
Hali ilivyo Kwa Morombo jijiji Arusha Kwenye mgomo wa Daladala usiokuwa na kikomo madereva wakilalamikia kuongezeka kwa Bajaji jijini Arusha na Kuwaingilia kwenye Ruti zao ambapo Wananchi wametumia usafiri wa Mguta leo kuingia mjini

Daladala za kutoka Morombo kwenda Mjini, daladala za kutoka Engo kuelekea Mjini.

Daladala za kutoka Uswahili kwenda Mjini. Ngusero kwenda Mjini

Ndani ya Kituo cha Daladala cha Kilombero hakuna daladala kabisa, Bajaj na bodaboda ndo zinafanya kazi tu na hazitoshelezi abiria ni wengi.

Bajaj zimepandisha bei kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000.

Pia soma: Arusha: Usafiri wa daladala kurejea, madereva wamaliza mgomo

AAisee leo nimepakia hicho kipikipiki cha magurudumu matatu bila kutegemea. Nimeshuka mwili unauma kila mahali.
 
Back
Top Bottom