Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 1,064
- 2,076
Tumekusikia mmiliki wa bajaji,si nasikia unazo zako 10 barabara ya huko kwako dampArusha msituondoe kwenye Mada: BANDARI KWANZA
Bajaji wanaua biashara za wenzaoMadereva wa Daladala Mkoani Arusha wamegoma leo Kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala.
Idadi kubwa ya wanafunzi na watu wazima wamekuwa wakitembea kwa miguu na wengine wakiwa tu vituoni wakiwa hawajui cha kufanya.
====
UPDATE;
View attachment 2676983
View attachment 2677010
Hali ilivyo katika Kituo Kikuu cha Daladala Kilombero Jijini Arusha ambapo daladala zipo katika mgomo wa kutoa huduma wakidai Bajaj zinaingilia njia zao na hivyo kuathiri mapato yao ya kila siku.
View attachment 2677007View attachment 2677008View attachment 2677009
Hali ilivyo Kwa Morombo jijiji Arusha Kwenye mgomo wa Daladala usiokuwa na kikomo madereva wakilalamikia kuongezeka kwa Bajaji jijini Arusha na Kuwaingilia kwenye Ruti zao ambapo Wananchi wametumia usafiri wa Mguta leo kuingia mjini
Daladala za kutoka Morombo kwenda Mjini, daladala za kutoka Engo kuelekea Mjini.
Daladala za kutoka Uswahili kwenda Mjini. Ngusero kwenda Mjini
Ndani ya Kituo cha Daladala cha Kilombero hakuna daladala kabisa, Bajaj na bodaboda ndo zinafanya kazi tu na hazitoshelezi abiria ni wengi.
Bajaj zimepandisha bei kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000.
HujitambuiiMgomo wa daladala na mkataba wa dpw vinahusiana vipi?
Nimesoma baadhi ya comments za wajinga Fulani hapo juu nimeshangaa wanasapoti UJINGA wa bajaj bila kujua kuwa mamlaka haziruhusu bajaj kuingia katikati na kupakia abairia kama daladala...Hakuna mtu anayesema bajaji zisifanye kazi, tatizo ni utitiri wa bajaji na kutokuwa na mpangilio wa njia/barabara zipi wapite
Sheria ilikuwa bajaji zitumike kwa kokodisha kama taxi, sasa zinafanya kazi ya kubeba abiria kama daladala, tatizo lingine hazipakiii wanafunzi, kitu ambazo kinafanya wanafunzi wengi wapakie daladala. Unakuta daladala imejaa wanafunzi tu, na hivyo kufanya gharama za uendeshaji daladala kuwa kubwa kwani wanafunzi wanalipa 200/= tu.
Kumaliza ili tatizo, ni vizuri mamlaka husika zichukue hatua na kuamuru bajaji zitumike kama taxi tu kama sheria iliyowasajili inavyo wataka.
Madereva wa Daladala Mkoani Arusha wamegoma leo Kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala.
Idadi kubwa ya wanafunzi na watu wazima wamekuwa wakitembea kwa miguu na wengine wakiwa tu vituoni wakiwa hawajui cha kufanya.
====
UPDATE;
View attachment 2676983
View attachment 2677010
Hali ilivyo katika Kituo Kikuu cha Daladala Kilombero Jijini Arusha ambapo daladala zipo katika mgomo wa kutoa huduma wakidai Bajaj zinaingilia njia zao na hivyo kuathiri mapato yao ya kila siku.
View attachment 2677007View attachment 2677008View attachment 2677009
Hali ilivyo Kwa Morombo jijiji Arusha Kwenye mgomo wa Daladala usiokuwa na kikomo madereva wakilalamikia kuongezeka kwa Bajaji jijini Arusha na Kuwaingilia kwenye Ruti zao ambapo Wananchi wametumia usafiri wa Mguta leo kuingia mjini
Daladala za kutoka Morombo kwenda Mjini, daladala za kutoka Engo kuelekea Mjini.
Daladala za kutoka Uswahili kwenda Mjini. Ngusero kwenda Mjini
Ndani ya Kituo cha Daladala cha Kilombero hakuna daladala kabisa, Bajaj na bodaboda ndo zinafanya kazi tu na hazitoshelezi abiria ni wengi.
Bajaj zimepandisha bei kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000.
Sahihi kabisaNadhani utaratibu uwekwe Bajaji/Daladala zoote vifanye kazi na sio Bajaji zipigwe marufuku hii itakuwa ni uonevu.
Usitukane kabla hujajua changamoto zilizoko.Lazima kuna hoja za msingi zawao kufanya hivyo.Na mara nyingi migomo inakuja baada ya ufumbuzi kukosekana.Ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu kuona mtu anagoma kisa tu bajaji zinafanya kazi kama zao,huu ni ubinafsi na roho mbaya,pumbavu kabisa
Vichwa vyetu vina shida sana.ni mwendo wakukurupuka tu.Nimesoma baadhi ya comments za wajinga Fulani hapo juu nimeshangaa wanasapoti UJINGA wa bajaj bila kujua kuwa mamlaka haziruhusu bajaj kuingia katikati na kupakia abairia kama daladala...
Serikali inatoza tozo nyingi Sana kwenye daladala na wanatolewa macho kuanzia halmashauri, traffic,na TRA
Mzazi anakuja na watoto anapakia kwenye daladala afu yeye anaenda panda bajajiAkili mgando kwenye dunia hii ya soko huria,kama wanaona bajaji wanapata hela sana wauze daladala nawao wanunue bajaji. Huwezi mchagulia abiria apande usafiri gani,kwanza bajaji haikai foleni pili bajaji inakufikisha hadi mlangoni kwako.
Huu mgogoro haunaga suluhu..Madereva wa Daladala Mkoani Arusha wamegoma leo Kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala.
Idadi kubwa ya wanafunzi na watu wazima wamekuwa wakitembea kwa miguu na wengine wakiwa tu vituoni wakiwa hawajui cha kufanya.
====
UPDATE;
View attachment 2676983
View attachment 2677010
Hali ilivyo katika Kituo Kikuu cha Daladala Kilombero Jijini Arusha ambapo daladala zipo katika mgomo wa kutoa huduma wakidai Bajaj zinaingilia njia zao na hivyo kuathiri mapato yao ya kila siku.
View attachment 2677007View attachment 2677008View attachment 2677009
Hali ilivyo Kwa Morombo jijiji Arusha Kwenye mgomo wa Daladala usiokuwa na kikomo madereva wakilalamikia kuongezeka kwa Bajaji jijini Arusha na Kuwaingilia kwenye Ruti zao ambapo Wananchi wametumia usafiri wa Mguta leo kuingia mjini
Daladala za kutoka Morombo kwenda Mjini, daladala za kutoka Engo kuelekea Mjini.
Daladala za kutoka Uswahili kwenda Mjini. Ngusero kwenda Mjini
Ndani ya Kituo cha Daladala cha Kilombero hakuna daladala kabisa, Bajaj na bodaboda ndo zinafanya kazi tu na hazitoshelezi abiria ni wengi.
Bajaj zimepandisha bei kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi mnayoo hukooNa sisi abiria tutagoma kupanda daladala zao
Wanatuomea abiria
Tumewahi vituoni tuwahi makazini hakuna magari
wameru mnaubishi wa kijinga sana..biasharainapaswa kuwa huria mkuu kinachotakiwa ni kuzipa maeneo ya kufanya kazi na mipaka yao basi
Madereva wa Daladala Mkoani Arusha wamegoma leo Kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala.
Idadi kubwa ya wanafunzi na watu wazima wamekuwa wakitembea kwa miguu na wengine wakiwa tu vituoni wakiwa hawajui cha kufanya.
Mamia ya wakazi wa jiji la Arusha wakiwemo wanafunzi wa shule,wamekumbwa na adha ya usafiri mara baada ya madereva wa daladala Mkoani hapa kugoma kwa kile wanachodai kuwa ni Bajaji kufanya Kazi kama daladala na hivyo kuwalazimu abilia kupanda Guta na kutembea kwa miguu.
Mgomo huo ambao umeanza mapema leo ,umewaathiri zaidi wanafunzi ambao wamefungua shule leo,ambao walionekana wakiwa kwenye vituo vya usafiri wakisubiri magari mbalimbali na wengine wakilazimika kudandia pikipiki za mizigo( guta )na wengine kutembea kwa mguu umbali mrefu.
Baadhi ya madereva wa daladala eneo la kwa Mirombo walionekana wakicheza mpira huku magari yao ya usafiri wakiwa wameyaficha maeneo mbalimbali wakiwa na madai kwamba hawatapeleka gari barabarani mpaka serikali itoe tamko juu ya utaratibu mpya kati yao na bajaji ambao hautaathiri mapato yao.
====
UPDATE;
View attachment 2676983
View attachment 2677010
Hali ilivyo katika Kituo Kikuu cha Daladala Kilombero Jijini Arusha ambapo daladala zipo katika mgomo wa kutoa huduma wakidai Bajaj zinaingilia njia zao na hivyo kuathiri mapato yao ya kila siku.
View attachment 2677007View attachment 2677008View attachment 2677009
Hali ilivyo Kwa Morombo jijiji Arusha Kwenye mgomo wa Daladala usiokuwa na kikomo madereva wakilalamikia kuongezeka kwa Bajaji jijini Arusha na Kuwaingilia kwenye Ruti zao ambapo Wananchi wametumia usafiri wa Mguta leo kuingia mjini
Daladala za kutoka Morombo kwenda Mjini, daladala za kutoka Engo kuelekea Mjini.
Daladala za kutoka Uswahili kwenda Mjini. Ngusero kwenda Mjini
Ndani ya Kituo cha Daladala cha Kilombero hakuna daladala kabisa, Bajaj na bodaboda ndo zinafanya kazi tu na hazitoshelezi abiria ni wengi.
Bajaj zimepandisha bei kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000.
Pia soma: Arusha: Usafiri wa daladala kurejea, madereva wamaliza mgomo