kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,111
Habari wakuu,
nimeipata hii taarifa ambayo sio rasmi kuwa kesho tarehe 14/09/2016 daladala za Daressalaam zinatarajia kugoma. Madai ni kukithiri kwa faini za barabarani au wengine wanaita vyeti au kifurushi cha wiki pia kitendo cha madereva wanapelekwa selo kwa kosa la barabarani kila kukicha.
Madereva wanahamasishana kwa SMS kutotoa gari kesho na endapo dereva akijifanya kukaidi gari lake litavunjwa vioo kwa kupigwa na mawe.
Haya wale wenzangu na mimi watumiaji usafiri wa uma nawaasa kuwahi kutoka ili kuepuka usumbufu.
nimeipata hii taarifa ambayo sio rasmi kuwa kesho tarehe 14/09/2016 daladala za Daressalaam zinatarajia kugoma. Madai ni kukithiri kwa faini za barabarani au wengine wanaita vyeti au kifurushi cha wiki pia kitendo cha madereva wanapelekwa selo kwa kosa la barabarani kila kukicha.
Madereva wanahamasishana kwa SMS kutotoa gari kesho na endapo dereva akijifanya kukaidi gari lake litavunjwa vioo kwa kupigwa na mawe.
Haya wale wenzangu na mimi watumiaji usafiri wa uma nawaasa kuwahi kutoka ili kuepuka usumbufu.