Tetesi: Mgomo wa Daladala kesho tarehe 14/09/2016

Tetesi: Mgomo wa Daladala kesho tarehe 14/09/2016

kunguni wa ulaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
4,131
Reaction score
6,111
Habari wakuu,
nimeipata hii taarifa ambayo sio rasmi kuwa kesho tarehe 14/09/2016 daladala za Daressalaam zinatarajia kugoma. Madai ni kukithiri kwa faini za barabarani au wengine wanaita vyeti au kifurushi cha wiki pia kitendo cha madereva wanapelekwa selo kwa kosa la barabarani kila kukicha.
Madereva wanahamasishana kwa SMS kutotoa gari kesho na endapo dereva akijifanya kukaidi gari lake litavunjwa vioo kwa kupigwa na mawe.

Haya wale wenzangu na mimi watumiaji usafiri wa uma nawaasa kuwahi kutoka ili kuepuka usumbufu.
 
Habari wakuu,
nimeipata hii taarifa ambayo sio rasmi kuwa kesho tarehe 14/09/2016 daladala za Daressalaam zinatarajia kugoma. Madai ni kukithiri kwa faini za barabarani au wengine wanaita vyeti au kifurushi cha wiki pia kitendo cha madereva wanapelekwa selo kwa kosa la barabarani kila kukicha.
Madereva wanahamasishana kwa SMS kutotoa gari kesho na endapo dereva akijifanya kukaidi gari lake litavunjwa vioo kwa kupigwa na mawe.

Haya wale wenzangu na mimi watumiaji usafiri wa uma nawaasa kuwahi kutoka ili kuepuka usumbufu.
Kwa kweli Inabidi ufike wakati watanzania tuweke mazoea pembeni..ivi kama huna kosa,gari liko sawa kila kitu huyo trafic akukamate tu.Ingekuwa amri yangu ningepiga matufuku daladala zote maana hakuna hata moja iliyokamilika..iki tuanze upya na asiyetaka aache.pambafuu
 
Kwa hiyo wanataka wasikamatwe na kupigwa faini au kuwekwa ndani wakifanya makosa ya barabarani, kwa hili nipo upande wa serikali


Maisha yangu yote nimekuwa nikipingana na takwimu zinazotolewa na institutes mbali mbali Duniani kwamba sisi Waafrika tuna lowest IQ Duniani, lkn kila siku zinavyozidi kwenda nadiriki kusema kwamba Sayansi haidanganyi kwamba ni kweli kabisa sisi tuna lowest IQ Duniani!

Fikiria Mtuhumiwa anagoma kwa sababu hataki Askari amkamate kwa kufanya kosa, na hii ni nchi ambayo ukiondoka nyumbani kurudi salama kama haujavunjika mguu kwa ajali unashukuru Mungu!
Cha kushangaza kabisa kuna kundi la watu hapa watafurahia na kuwaunga mkono daladala wakifikiri kwamba wanamkomoa Raisi Magufuli kwa kuwa hawampendi kumbe hata huyo Magufuli anajaribu tu kuwalinda hao hao wanaompinga, Raisi Magufuli anasafishiwa njia na gari la lake huchunguzwa kabla hajalipanda, hivyo hahitaji daladala ...
 
Back
Top Bottom