Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,042
- 2,417
Uko Dar mkuu? Umeisha ona jinsi polisi walivo wengi barabarani? Wanakukamata hata kama body imebonyea kidogo, sijui indicator, sijui break, sijui triangle na mbaya zaidu unakamatwa hapa, unaenda km 2 unakutana na wengine same thingKwa hiyo wanataka wasikamatwe na kupigwa faini au kuwekwa ndani wakifanya makosa ya barabarani, kwa hili nipo upande wa serikali
... utaratibu huu unaboa, unapoteza muda sana pia hata kama nia ni njema....