enery
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 368
- 437
Yaaan wagome ili vyeti vizidi hawana akil kabisa hao na tatizo kubwa tanzania kufundishana wenyewe magar watu shule ya udereva hakuna kichwan, wacha mtu akasome apate maarifa na awe na uchungu na ada yake. Unamfundisha mtu udereva halafu anakosa kazi kesho kwa bosi wako unagoma mshahara mdogo anakuambia acha gar ukiacha anakuja mwanafunzi wako asiye na uchungu na ada anakwenda safar unabaki unaduwaa, polen madereva wa tz kwa kutojitambua