Hadi Sasa ni saa 2:24 asubuhi maduka mengi hayajafunguliwa.
Your browser is not able to display this video.
Licha ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila, kuwasisitiza Wafanyabiashara wa Kariakoo kuendelea na shughuli zao kama kawaida, hadi Saa 9 Asubuhi Wafanyabiashara wengi wamefunga Biashara zao katika Mitaa ya Kariakoo, leo Juni 24, 2024
Awali, Chalamila akizungumzia taarifa za mgomo wa Wafanyabiashara wa #Kariakoo alisema "Yawezekana Wafanyabiashara wana Malalamiko ya dhati kabisa lakini Masuala ya mgomo yasichukuliwe kuwa ni jambo la pamoja."
Taarifa ya mgomo ilianza kusambaa kupitia vipeperushi ambavyo havikuwa na jina la Mwandishi, Juni 22, 2024 na sababu zilizotajwa ni kupinga masuala ya Kodi Kandamizi.
Wale wa kwenye meza huwa wanahifadhi mizigo katika stoo kubwa pale Kariakoo, na stoo zile huwa chini ya viongozi. Sidhani kama wanaweza kuruhusu kutoa mizigo wakati tumekubaliana kwamba leo tuna jambo moja.
Na vilevile wenye vimeza muda mwingine wanapewa mzigo na watu wa kwenye fremu kuuza mzigo ambao umekaa muda mrefu na mzigo mpya ushaingia hivyo bado kuna kutegemea kwa kiasi fulani.
Wale wa kwenye meza huwa wanahifadhi mizigo katika stoo kubwa pale kariakoo, na stoo zile huwa chini ya viongozi. Sidhani kama wanaweza kuruhusu kutoa mizigo wakati tumekubaliana kwamba leo tuna jambo moja.
Na vilevile wenye vimeza muda mwingine wanapewa mzigo na watu wa kwenye fremu kuuza mzigo ambao umekaa muda mrefu na mzigo mpya ushaingia hivyo bado kunakutegemea kwa kiasi fulani.
Wale wa kwenye meza huwa wanahifadhi mizigo katika stoo kubwa pale kariakoo, na stoo zile huwa chini ya viongozi. Sidhani kama wanaweza kuruhusu kutoa mizigo wakati tumekubaliana kwamba leo tuna jambo moja.
Na vilevile wenye vimeza muda mwingine wanapewa mzigo na watu wa kwenye fremu kuuza mzigo ambao umekaa muda mrefu na mzigo mpya ushaingia hivyo bado kunakutegemea kwa kiasi fulani.