SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
- Thread starter
- #21
utakuwa na matatizo ya akili ama unafurahia wenzako kumeza vitini tu pasipo mafunzo ya vitendo.kimsingi hakuna mgomo udom vjn jiaendaeni na ue mlikua wapi cku zote acha kushambulia waalimu nyie mnafundishwa na nani huko mgomo una hatua na sio kukurupuka kama CIVE huo sio mgomo ni riot take care na acha uchochezi but sory 4that