Mgongano: Serikali Vs. Mwanahalisi - Mipaka ya Maoni?

kumbe kiswahili unajua sasa hivi vibroken inglish vya nini aua tukuone msomi sisi tusio na shule


Kumbe huna shule,nilikua nakulaumu bure tu.Maanke hata mkato hujui kuweka wala alama ya kushangaa.kazi kuchonga vyeti tuu.


I'm so sorry.
 

Ningeshangaa sana usingemtaja Mwandosya hapa. Wewe tatizo lako ni lile lile. USILOLIJUA wewe siku zote HALINA UKWELI! WEWE ni nani hadi ujue kila kitu NCHI hii! Rudi kwenye HOJA alizododosa Mwanakijiji! Makala hiyo ya Kubenea ina TAATHIRA gani hadi Serikali KUIVIMBIA kiasi kile? Wanaomsakama Mwandosya ni hao hao MAfisadi. Tuletee makala ambayo umewahi kusikia Mwanahalisi limemsakama Mwandosya! Hakuna mtu ambaye amekuwa akiufahamisha umma kuhusu Mwandosya kusakamwa na Wanamtandao kama Kubenea na gazeti lake! Lakini sasa unapoteza MAANA nzima ya mjadala huu kwa kumuingiza huyo Profesa Mnyakyusa! HATUTAKI kumsikia humu kwa sababu hahusiki. Sio NEWS kabisa kwenye hii tread! Sawa!
 
Kulikuwa na taarifa za awali kuwa Kubenea anatafutwa kwa nguvu na Polisi hapa JF, kwa sasa taarifa zinazoingia zinadai polisi wamefika ofisi za MwanaHalisi na kukuta gari lake ilhali yeye (Kubenea) akiwa hayupo ofisini hapo.

Awali polisi walimtaka ajisalimishe kwao na hakutekeleza hilo hivyo wakachukua hatua za kumfuata wao (uvamizi?) ofisini kwake.

Polisi wanaendelea na msako wa kumpata, taarifa zaidi tutawafahamisha kadiri muda unavyokwenda. Kuna dokezo kuwa kuna wengine zaidi watafuata katika msako huu.

Just an alert!

*****UPDATE*****

Kubenea atinga polisi Makao Makuu
 
............NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOooooooooo!!!! Pls GOD forbid; Hiii ibakie kuwa tetesi!!! 🙁
 
............NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOooooooooo!!!! Pls GOD forbid; Hiii ibakie kuwa tetesi!!! 🙁

Si tetesi, hayupo nyumbani, ofisini na polisi wanahaha kumtafuta. Alitakiwa toka jana aende na leo wanataka aende, inaonekana yuko nje ya Dar, anadai atakwenda polisi leo akiwa na mwanasheria wake, lakini alipo bado ni kitendawili
 
Something very fishy, gari lake lime onekana ofisini lakini mwenyewe katoweka lets pray for his safety....
 
Tusaidie invisible, ametoweka au ametoweshwa?
Mimi ni mjumbe tu, nina bahati mbaya kuwa sipo maeneo yangu ya kawaida, nilitarajia kuwa huko kesho lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu siendi hata kesho...

Taarifa nilizozipata 'za uhakika' ni kuwa 'katoweka' na kama ulisoma awali MMKJJ alisema 'walimshauri' asiende polisi. Vyombo vya nje vimetumiwa taarifa juu ya hili na wameahidi ushirikiano wa karibu sana.

Still an alert!
 
Jamani Mungu amlinde alipo Kubenea, mimi nadhani mambo haya yalikuwa yakitokea Russia tu....sasa Tanzania tena!! Uhuru wa kujieleza uko wapi?
 
Taarifa nilizozipata 'za uhakika' ni kuwa 'katoweka' na kama ulisoma awali MMKJJ alisema 'walimshauri' asiende polisi. Vyombo vya nje vimetumiwa taarifa juu ya hili na wameahidi ushirikiano wa karibu sana.

Still an alert!

For or against Kubenea?
 
Jamani Mungu amlinde alipo Kubenea, mimi nadhani mambo haya yalikuwa yakitokea Russia tu....sasa Tanzania tena!! Uhuru wa kujieleza uko wapi?
Uhuru?

Tz1, wameahidi protection against journalists like Kubenea.
 
Labda ameenda kwa nyumba ndogo yake katika ile kesi yake si walisema anatembea na mke wa mtu ? Huwezi jua jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…