1. Kubenea alipoitwa na Rostam na Lowassa, kwa nyakati mbali mbali hwakumuuliza maswali kuhusu kutembea na mke wa mtu yoyote,
- Mshahara wa ukuwadi wa mafisadi, unatakiwa kuwa kifo when the times come.
2. - Mafisadi wameshikwa pabaya, interpol kwa kushikirkiana na UN, wamempa rais majina matano ya viongozi wazito wa Tanzania, ambao wengine wapo na wengine wawili wameshatoka, kuwa ni wala rushwa na wanaotakwia kuchukuliwa hatua za kisheria kama vile Tanzania tulivyokubali tulipojiunga na hilo shirika la kutokomeza rushwa dunaini, na pia huwa tunapewa hela na hayo mashirka kwa ajili ya kupigana na corruption nchini, Sasa Kikwete amemomba muda kwanza, mawili either Tanzania tutanganze kujitoa huko au awachukulie hatua za kisheria hao mafisadi, hana jinsi!
3. - Wabunge wameshapeleka azimio kwa Spika, kwamba next bunge wanataka kuanzisha sheria itayoiondoa Takukuru under rais, na kuwa resonsible kwa bunge moja kwa moja, mara tu baada ya hiyo sheria kupitishwa.
4. - Sasa hivi almost kila siku wahusika wa ufisadi huitwa kwenye vyombo vya sheria kuhusiana na ufisadi wao, mashitaka yalishatayarishwa na lists nzima, kinachusbiriwa ni uamuzi wa rais tu kazi ianze.
5. - Kiwira kufikishwa mahakamani kama kampuni, kutokana na mapendekezo ya kamati ya Bomani, nako huko tayari mashitaka yameshatengenezwa, ambako Mkapa atabanwa kama Mjasiriamali kwa sababu ndicho kilichoandikwa kwenye sheria wakati wa kulianzisha shirika hilo na walitumia anuani ya Breda.
6.- Accounts zote za Chenge zilishazuiwa siku nyingi sana, anaruhusiwa kutumia moja tu ambayo iko monitored na uwt kila wakati.
Sasa nilitaka tu kuwakumbusha wananchi wenzangu kuwa ndio maana sasa rais sasa ukimuona amechoka sana, na according to the dataz ni kwamba sasa ameamua kuanza kampeni za urais wa 2010 ndio hiyo ameanzia Mbeya, kama ni mafisadi uamuzi wa mwisho ni wake lakini kila kitu kipo ready watu wanasubiri umauzi wake tu!
Ahsante Wakuu.