Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Sasa hata mdudu wa typhoid ni bacteria pia .. S.Typhii. Vile vile wa vidonda vya tumbo ni bacteria pia ila aina ya H. Pylori..

Na huenda hiyo dawa ya asili ina ingredients za antibiotics..

Kwa hiyo hata ungekunywa ya dokta ungepona pia.

Tatizo mmekariri kuwa madaktari wanasoma dawa na. Magonjwa kama matching items..

Kwamba Septrin ni dawa ya tumbo... Na dokta akikuandikia ukiwa unaumwa homa ya mapafu.. Unaona kakosea.
 
Madaktari tusiwashitaki kaka.
 
Uko kwa wenzetu wangekua na mawazo kama haya yakwako kamwe wasingefikia level walizozifika kwenye sekta zote wanazozifanya.
Wenzetu kina nani?
Backgrounds ya madaktari wao ikoje? Na ya hawa wa kwetu ikoje?

Sheria zetu zinasemaje? Je wao pia wana shida ya madaktari? Wana shida ya vifaa tiba? Wana upungufu wa hospital?
 
Sasa kama ametoka familia ya shida au amesoma kwa shida ndio asiwajibike kwa makosa ya uzembe wake?
Walimu huwa wanakosea sana na ni wengi mnoo mitaani huwa mnawawajibishaje?

akisusa mwalimu mmoja tunao elfu 1 mtaani je akisusa daktari?
 
Million 500 chache sana, maana wamemsababishia kilema cha maisha
 
Sasa waendelee tu kufanya kazi kwa mazoea
Alaf baada ya kufanya kosa mtu ametulia tu akiangalia mtu anadhoofika
Kwani ni makosa ya mara kwa mara? Na tiba ya kinachomsumbua mgonjwa wapi imeandikwa kuwa akipewa ni lazima iwe sahihi?

Unaweza kuumwa kichwa wakakupima ukapewa painkillers na zikakudhuru na ulifata maelezo ya physician ipasavyo utaenda kushitaki ushinde?
 
Ukienda hospital una uvimbe wa koo na madaktari baada ya kukufanyia uchunguzi wakagundua ni thyroid cancer wakaamua kukufanyia tiba baadae ukaenda Nairobi wakagundua ni uvimbe wa kawaida utarudi kuwashitaki ushinde?

Na wakati mwingine ukiumwa nani atakutibu?
 
Unaleta huruma kwenye roho ya mtu? Alisoma kwa shida so what? Amemaliza masomo salama why asiwe makini na kazi zake?
Imeandikwa wapi ni lazima awe sahihi kwa kila tiba anayoitoa?
 
Anhaa miungu yako ? Maana mimi Mungu wangu mmoja tu hana sifa yeyote ya kiumbe chochote halali, hali, hajazaa wala hakuzaliwa , hamtegemei yeyote katika alivyoviumba bali sisi viumbe ndiyo tunamtegemea yeye, alikuwepo na atakuwepo daima.
Pumba mfate mwamposa akakutibie sasa
 
Ni tafiti gani iko sahihi kwa 100%
Kila tiba na dawa zina side effects umepata tiba kimakosa unaruhusiwa kumuwajibisha Daktari ni sawa ila kiungwana tu tusiwashitaki.

Hatutoshinda
 
Fidia alitakiwa Adai 5 billion. Tezi ya thyroid ni kuhimili mkuu kwenye mwili wa binadamu. Madaktari hivyo na Hospital ya Hindumsndal ni hivyo mno. Serikali imulikeni. Nilitibiwa pale na nilipoona wataniharakisha siku za kuishi nikaachana nao. Napambana kivingine.
 
Mbona amedai hela kidogo namna hiyo ,Ningekuwa mimi ningeanza na bilioni .
 
Wewe alivyorudi akakutana na Dr mwengine alishangaa kwanini ameanzishiwa dozi wakati ndio mara ya kwanza tuu ameumwa kuna dawa za pressure hazina madhara makubwa
 
Nakuona mganga mkuu mpiga ramli umekuja tetea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…