Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Kuna mbwiga wengine, kila mjamzito anapasùliwaPoleni sana. Wana JF. Kuna kitu kinachoitwa kupata ushauri mbadala kutoka kwa daktari mwingine. Msikipuuze hata kama aliyefanya dignosis ya kwanza ni dr bingwa. Kuna watu wengi sana, hata nchi zilizoendelea wamekuta ugonjwa walioambiwa na dr wa kwanza siyo wa kweli baada ya kwenda hospital nyingine na kumwona dr mwingine. Tukirudi upande wa Bongo, baadhi ya madaktari walivyo na tamaa na vilaza, wanaweza kukufanyia upasuaji ili tu wapate fedha.
Na ndo maana wanalipwa vizuriUnaleta huruma kwenye roho ya mtu? Alisoma kwa shida so what? Amemaliza masomo salama why asiwe makini na kazi zake?
Kama mtu huna ujasiri wa kupasua mtu, hata ukilewa huwezi pata huo ujasi, ni upumbavu tuKujiongeza au upumbavu tu na upuuzi
Alizopewa ni sampuli za upasuaji wa pili pekee au alipewa sampuli za kwanza na za pili??Jibu la swali lako ni hili
Baada ya kupata fedha hizo akaenda katika hospitali ya Hindu Mandal ili apewe barua pamoja na sampuli za tezi hizo aweze kwenda nazo katika hospitali ya Apollo kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
“Nilipewa sampuli ambazo zilifungwa kama nilivyokabidhiwa, nilizipeleka moja kwa moja hadi katika hospitali ya Apollo iliyopo nchini India, zilifanyiwa uchunguzi na ilionekana sikuwa na kansa ya Thyoid,” alidai Frolence.
Nimecheka kama mazuri,pole sana mkuuhehe hapo nurse station yao wanajivuta hatari...stosahau nlikua naendesha jamaa wakaniambia nina kipindupindu..just tumbo la kawaida..aisee..nkapigwa transfer mwanyamala..mwananyamala walicheka sana..kesho yake asbuhi nkapewa dawa nkarudi home.
Aisee nimepoteza pesa nyingi sana kwa huyu Dr ila sisi bado hatujafanikiwa,Wanajiona final say
Dr Shafiq alimuambia mtu hatazaa maisha yote pale Agha Khan kwa Sasa Ana watoto wawili Yule dada
duhhh nchi ngumu hii[emoji16][emoji16]Nchi hii imejaa siasa..
Mimi niliwahi fanya kazi sehemu boss wa pale yeye anapenda hela vibaya kama huiingizi hela kwake sio Tabibu mzuri nakumbuka kuna jamaa yeye alikua anaweza kukupiga dawa hata 3 za aina moja ili tu aonekane anaingiza hela..nilishindwana na boss shida hiyo mtu kaja kajikwaa kidoleni anahitaji therapy ndogo anataka uweke drip[emoji706]
nchi ina vijana wa ovyo hii[emoji16][emoji16][emoji16]Watakataa hapa mimi kipindi bwana mdogo nilikua nasumbuliwa sana na (pumbu) scrotal nini sijui huko wanajua wenyewe basi nikafika nikajieleza weee huku chozi linalilenga lenga enheee inaitwa scrotal torsion balaa hiyo basi dokta akanisikiliza weee ghafla paap akafuta simu janja na kuanza kugoogle khah jibu akapata eti nifunge kwanza pumbu na rubber band au mpira maumivu yakizidi yaa yaaaw
in english pleaseIt is confusing
It looks like this patient is on thyroxine replacement therapy following total thyroidectomy.It is not possible to have hypothyroidism following partial tryroidectomy.
It looks like the initial surgery was lobectomy (partial thyroiedectomy) where all the malignant tumor was removed and the second surgery was total thyroidectomy. It is unlikely to find malignant cells in the sample after second surgery if the initial surgery removed all the malignant tumor.
Question : Did the take samples from first and secondary surgrery to India?
Utasikia nenda hospitali fulani private mi ndio nafanyiaga hapo upasuaji na bei na vifaa ni vya kisasaHatari wengi wanapenda pesa kuliko kazi yao.
Sasa kama una-ashiria sampuli za pili hazikuwa na tatizo baada ya kuwa ‘malignancy’ iliondolewa na procedure ya kwanza, ni kwanini basi walifanya procedure ya pili ya total ‘thyroidectomy’? Na baada ya kumtoa hiyo tezi, kwanini hawakumpa dawa za kubalance thyroid hormones kiasi akaanza kunyonyoka nywele na ngozi kusinyaa? On top of that wakadai tena ni kansa ndio inaleta hiyo hali, hivyo akapigwe mionzi?!!! What the f*uck??!!!Alizopewa ni sampuli za upasuaji wa pili pekee au alipewa sampuli za kwanza na za pili??