Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Hiyo ni kesi au ni hukumu?! Wabongo vichwa vyetu ni hopeless kabisa.

Mahakama ndio itaamua kama kweli kuna kosa la kulipiwa fidia.

Kwa maoni yangu, mfungua kesi atashindwa vibaya sana. Kwanza sampuli za viungo hazisafirishwi kiholela kwenda nje ya nchi. Lazima upate vibali maalumu vya kufanya hivyo.

Kwahiyo Apollo watakuja kama mashahidi wake?! Hii kesi imefeli mapema sana.
 
Thank you Mr Don.

Ukigundulika na papilarry thyroid carcinoma ( Thyroid cancer) ata upasuaji wa mwanzo ( partial surgery au lobectomy ) iliweza kuondoa ugonjwa wote bado inatakiwa kufanya procedure ya pili ( Total thyroidectomy). Hii procedure ya pili ni mihumu sana ili wakati wa kumfatilia mgonjwa baada ya tiba basi kuwa na uwezo wa kung'amua kama saratani inataka kurejea mapema kwa kutumia vipimo vya damu ( Serum thyroglobuln).

Sasa ukishafanya total thyroidectomy lazima utakuwa na upungufu wa homoni ya thyroxine na lazima upewe tiba ya homoni.Ukifanya partial surgery bado kunakuwa na tezi lilibakia ambalo inaendelea kutengeneza hiyo homoni na hakuna haja ya tiba ya homoni.

Nadhani kuna mkanganyiko na ukweli wa taarifa za mgonjwa na huenda ni kweli mgonjwa ana saratani ila bado hajakubalina na huo ukweli ( In denial stage) na hakuwa tayari kutibiwa.

Are we together??? 😳
 
Sasa je, ni kwanini baada ya kuondoa hiyo tezi moja kwa moja, hawakumoa hizo dawa za homoni ya thyroxine? Badala yake wakamdanganyabkwamba kusinyaa kwa ngozi na kunyonyoka kwa nywele ni sababu ya cancer?
 
Kesi inayotaka kufanana na hiyo iliwahi kumtokea dada mmo hapo hapo Dae group alienda kusafishwa baada ya mimba kuharibika kufika nyumbani kesho yake tumbo limejaa kumbe walitoboa kizazi.
Jamani [emoji849][emoji15]
 
Huyo Mavura ni kimeo kabisa..Yaani yeye ishu ndogo tu anakimbiliaga operesheni. sijui analipwaga commision per procedure au!! alimfanyiaga operation ndugu yangu licha ya vpimo kutoonyesha tatizo. Just by guessing! mpaka waleo jamaa kapata permanent damage
 
Dr Mavura ni jina maarufu sana, sasa kwa nini hawakukutana na huyo mgonjwa nje ya mahakama wakaomba msamaha
huyu jamaa mm namfahamu, kukurefer opereshen hata kwa issue ndogo ni kitu cha kawaida, tena hospital anayopenda kufanya operesheni ni hindu mandal. Nadhan kuna commission anapataga per procedure. Hata kama kipimo kikowa negative ila ukawa na dalili zinashabihiana atakufanyi operesheni tu
 
Kuna shemeji yangu, Mamayake alilazwa pale Hindu....... wakasema wanamkata mguu maana kidonda chake kwenye ugoko hakitaweza kupona. Shemeji akampeleka Mama yake Narobi kidonda kikatibiwa mpaka kikapona
hindu mandal ni wasenge sana
 
Sio vizuri sana kuwashitaki madaktari
What the HL! Umeandika Nini hapa? Hakuna aliyeko juu ya Sheria! Hii ninsawa na kuuwa! Wenginea madaktarin wetu wa Tanzania Wana tabia ya kuamua bila kushirikisha madaktarin wenzao kuhakiki ugonjwa Fulani kama ndio.
Sasa hapa yeye mwenyewe atoe rufaa na aende mwenyewe kufanya upasuaji!
Ifike mahali waitwe kweli maDr's.
 
Yaani inasikitisha na kuumiza kichwa,yaani unanifanyia total thyrodectomy kweli,bila kuchukua tahadhari hata kusita husiti?Naanza kunyonyoka nywele unasema kansa,wakati ushaondoa thyroid glands zote ambazo zinamonitor ukuaji wangu,tena ni biology ya O-level huko,aisee
 
Sasa je, ni kwanini baada ya kuondoa hiyo tezi moja kwa moja, hawakumoa hizo dawa za homoni ya thyroxine? Badala yake wakamdanganyabkwamba kusinyaa kwa ngozi na kunyonyoka kwa nywele ni sababu ya cancer?
Kama nilivyoeleza awali mgonjwa inaoneka hakuwa tayari kuanza tiba kwa maana ata alivyopewa rufaa kuanza tiba ya mionzi baada ya kufika kule akata apimwe tene ili kuthibitisha ana mionzi.Hivyo hakukuwa na fursa ya kuanza tiba ya thyroxine nadhani mpaka alivyoenda India
 
Hapo ndipo na kumbuka Raisi wa Marekani wakati huo, Donald Trump his exllence, "wafrika ni manyani".
 
Hospital za bongo tabu sana.

Kuna siku nilienda hospital naumwa vibaya sana dalili zote za malaria ninazo DR akasema eti vipimo vinaonesha siumwi kitu.

Alinipiga kule maabara alikujaga timuliwa kwa vyeti feki.

Nikaona huu huu ufala Hali yangu inazidi kuwa mbaya.

Nikazama famasi nikachuka mseto nikameza nilipomaliza nikawa safi kabisa.

Hizi hospital wanaangalia pesa tu Wala sio matibabu sahihi
 
Soma tena ulichokiandika kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…