Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Ndio dawa yao, piga account zao wakianza kupata hasara na kufunga hospitali zao ndio tutaheshimiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa nini wana bet kwenye mwili wa mtu?Sio vizuri sana kuwashitaki madaktari
Hiyo ilikua 80's to early 90's..Hiyo Dar group kuna kipindi ndo ilikuwa habari ya mjini kama hospital bora.
Sidhani kama umenielewa, baada ya kuondoa tezi completely, si automatically mtu anapewa dozi ya thyroxine au kuna alternative gland inayozalisha thyroxine mwilini? Hakuoewa hiyo dozi ya thyroxine kiasi nyweli zikanyonyoka na ngozi kusinyaa, kwwanini hakupewa na badala yake akaambiwa hiyo ni kansa na akatibiwe kwa mionzi? Kwanini?Kama nilivyoeleza awali mgonjwa inaoneka hakuwa tayari kuanza tiba kwa maana ata alivyopewa rufaa kuanza tiba ya mionzi baada ya kufika kule akata apimwe tene ili kuthibitisha ana mionzi.Hivyo hakukuwa na fursa ya kuanza tiba ya thyroxine nadhani mpaka alivyoenda India
Ye nae ni katika chain ya ukwamishajiMkuu hakimu hawez nasa
Prosecutionary machine ndio tatizo
MkuuSidhani kama umenielewa, baada ya kuondoa tezi completely, si automatically mtu anapewa dozi ya thyroxine au kuna alternative gland inayozalisha thyroxine mwilini? Hakuoewa hiyo dozi ya thyroxine kiasi nyweli zikanyonyoka na ngozi kusinyaa, kwwanini hakupewa na badala yake akaambiwa hiyo ni kansa na akatibiwe kwa mionzi? Kwanini?
Na kingine, kama sample baada ya kufanyiwa procedure ya kwanza ilionesha hakuna tena malignancy iliyobaki, ni kwanini basi tezi iliyobaki iliondolewa na kumletea thyroxine booster dependency?
Pole sana kwakeInaumiza, saa hizi ndugu yangu kabaki na mtoto mmoja kama wa dawa.
Nadhani hakuamini tena daktari yoyote kutoka Tanzania na ndio maana hakupewa ata hiyo thyroxineOr it could be a true cut biopsy, but In lay man language every inversive investment ni operesheni.
Swali ni je, aliandikiwa hiyo thyroxine? Au mgonjwa mwenyewe Ali ignore ? Au haikuwepo? Coz from the scenario alipoenda India alipewa tu thyroxine .
Huko Ocean road aliagizwa aende kufanya nini? Kwani alikuwa na kansa au alikuwa ana ukosefu wa Thyroxine ndio ikasababisha nywele kunyonyoka na ngozi kusinyaa?Mkuu
1. Hakuanzishiwa thyroxine replacement therapy nadhani kwa sababu baada ya kufika Ocean Road alikuwa bado kwenye denial ( alikuwa bado hajakubali kuwa alikuwa na saratani.Focus yake ilikuwa ni kurudiwa kwa vipimo ili kuthibitisha kama ana sratani.
2.Katika tiba ya saratani ya thyroid ni lazima kuondoa tezi zote mbili ata kama ni tezi moja tu imeathirika.Huenda upasuaji wa kwanza walitoa tezi moja ili kujidhiridhisha kuwa ni saratani na sampuli kweli ilionyesha kuwa ana saratani ili upasuaji wa pili nafhani ulikuwa wa kutoa tezi iliyobakia ili kukamilisha tiba ya sarani ya tezi la thyroid.
Shida watu hawajasoma vizuri na kuelewa ...maana mgonjwa kajieleza clear kabisa.Huko Ocean road aliagizwa aende kufanya nini? Kwani alikuwa na kansa au alikuwa ana ukosefu wa Thyroxine ndio ikasababisha nywele kunyonyoka na ngozi kusinyaa?
Yaani walitaka kumpigisha mwenzao mionzi bila sababu huku tatizo la uhaba wa thyroxine likibaki palepale, tena hiyo mionzi ndio mibaya sanaShida watu hawajasoma vizuri na kuelewa ...maana mgonjwa kajieleza clear kabisa.
Japo naona kwa hiyo kesi na mtu wa maabara(pathologist) ahusishwe
India hajatibiwa. Ila kipimo kili onesha mfumo wa Homoni ume ondolewa! Kwa nn huwa hamsomi vzr b4 ku comment?Aisee,
Ngoja tusubiri na maelezo ya upande wa pili coz hata huko India haya mambo ya makosa ya kimatibabu hua yapo,nalisema hilo kwa experience.
Hayo ndio madili ya madaktari Bingwa waliosomeshwa bure na serikali kwa kodi za watanzania. Appoinment wana kupanga Private Hosp wanako hudumu.Huyu Dr Mavura si ni mfanyakazi wa Muhimbili Sasa ilikuwaje akapewa rufaa aende kwingine? Ina maana Muhimbili haikuwa na uwezo wa ku deal na matibabu ya huyu mgonjwa mpaka wampeleke private?
Nimechomekea tu neno "Makosa ya kimatibabu" wala haihusiani na hilo tukio,ujumbe wangu ulilenga kua hata India makosa hufanyika na wapigaji wapo pia.India hajatibiwa. Ila kipimo kili onesha mfumo wa Homoni ume ondolewa! Kwa nn huwa hamsomi vzr b4 ku comment?
Tamaa za pesa tuHuyu Dr Mavura si ni mfanyakazi wa Muhimbili Sasa ilikuwaje akapewa rufaa aende kwingine? Ina maana Muhimbili haikuwa na uwezo wa ku deal na matibabu ya huyu mgonjwa mpaka wampeleke private?
Naye atasema mashine ndiyo yakulaumiwa!Shida watu hawajasoma vizuri na kuelewa ...maana mgonjwa kajieleza clear kabisa.
Japo naona kwa hiyo kesi na mtu wa maabara(pathologist) ahusishwe
Huku Bongo,wanajifanya ni unique sana,wakati A-Z tunawaiga wazungu,panel inakaa ikitokea kesi kama ya huyu mwamba aliyeshitaki.Nashauri chama cha madaktari,kisiingilie hiyo kesi,jamaa alipwe,tena alitakiwa alipwe zaidi huyo mgonjwa aliyeshtaki,na huyo Dr.Mavura awekwe detention,achunguzwe kusnzia primary school,alipitaje,mitihani yake yote ichunguzwe kuanzia darasa la nne hadi chuo,atolee maelezo alipitajepitaje.Hii isiishie kwake tu,walimu wake waitwe wahojiwe,kuanzia wale wa msingi,hadi chuo alichosoma,hatakama walishastaafu waitwe kwa dharura,wahojiwe kiundani.Leseni yake akibainika alifanya uzembe,anyang'anywe,na walimu waliomfundisha,waondolewe makazini kama bado hawajastaafu.Niishie hapo,ila inatakiwa mnyororo wote uondolewe,iwe fundisho.Halafu sasa wanajifanya ni wajanja na wataalam kupita maelezo. Ulaya ukienda hospital manafanya discussion na dr na anakuuliza mapendekezo yako lakini Bongo dr wana viburi na wanajiona ni wataalam mno.