Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Nilisha wahi kusema humu Madaktari wote wa Tz Masters na Degree holders ni sawa na Diploma Ulaya.
Marekani Ili usome MD utahenya sana

Kwanza huwezi soma MD bila kuwa na professional yeyote.

Yaani Ili ukasome MD lazima uwe tayari ni graduand wa shahada Fulani.

Hawachukua frehsers form school ambao akili hazijakomaa.
 
Hahahaha daah aisee yeye ni mwendo wa operesheni tu
 
Ipo haja ya kuwafungulia mashtaka mahakimu pia kwa kuchezea watu mda wao kwa kuweka watu mahabusi bila ushahidi kisha baada ya miaka wanawaachia.
Mkuu hakimu hawez nasa
Prosecutionary machine ndio tatizo
 
Hakuna daktari anayeacha mgonjwa kizembe hivyo; kumbukumbu zilizomo kwenye mafaili ya hospitali zitasema ukweli.
 
Huyo ni mgonjwa mtata sana. Hata kesi hatashinda. Tena baada ya hapo ni kumfungulia kesi ya defamation tu.
 
Gharama ya kung'oa Jino na kuziba ipi kubwa?
 
Labda ulikua ushapona kwa hizo dawa ulizotumia
 
Pole mkuu. Yaani bongo watu wanakariri makatasi wanatapika baadaye ndio wanaitwa watalamu. Ungemkomalia kimyakimya ,ameharibu dada yako Hana kazi amekuwa debe tupu
 
Vyuo vyenu vya kata hvo mara unasikia IMTU, mara sijui KAIRUKI mara moshi college of health nao wanatoa MD..

Mtu una div3 unaenda kusoma MD..? Tegemea mambo kama haya
Kuwa na div 3 na kusoma MD sio tatizo, huyo Dr mvula ukimfatilia CV yake sio mtu wa divion 3, Yule dakatari aliepasua kichwa badala ya mguu sio wa division 3, faults katika medical Fields hazihusiani na nini ulipata secondary school.
Learn the situation first, wengi wetu tumetibiwa na clinical officer (watu waliofail form six) na wengine wakajiendeleza kuwa MDs na wakawa madaktari Bora.
 
Hajui analosema, amekariri na matokeo ya sekondari, faults katika medical Fields hazikuanza Leo, ni tangu kipindi cha hypocrites (father of medicine)
 
Or it could be a true cut biopsy, but In lay man language every inversive investment ni operesheni.

Swali ni je, aliandikiwa hiyo thyroxine? Au mgonjwa mwenyewe Ali ignore ? Au haikuwepo? Coz from the scenario alipoenda India alipewa tu thyroxine .
 
Bongo wanataka hata ubongo wako uwe encyclopedia kisa ni daktari, tena ukiona doctor anagoogle shukuru Mungu asije akakuingiza chaka Kama hajagoogle.
 
Hayo sio maswali ya wewe kujiuliza hayo ni maswala ya mahakama...mkuu..
 
Yapo mambo nisiri kubwa sana ya mateso mwanadam anayapata. Ila ktk hali ya kawaida Mungu hapendi watu wake tuteseke au kUkutana na yale yana tukuta. Siri ni nzinto na mm wwcha nikae kimya
 
Huyu Dr Mavura si ni mfanyakazi wa Muhimbili Sasa ilikuwaje akapewa rufaa aende kwingine? Ina maana Muhimbili haikuwa na uwezo wa ku deal na matibabu ya huyu mgonjwa mpaka wampeleke private?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…